Am I supposed to see something in here??Wahuni,wepi hao?Endeleeni na viroja vyenu wakati wenzenu wanaweka hoja.
Ni Mahiga, si Mahinga.
Ni Mahiga, si Mahinga.
MkamaP,
Naona una tatizo la wengi wetu huku Sikonge. Ukiona Mukama unafikiri Mkama. By the way mbona kimya? Sikuoni kwenye Intervoip siku nyingi. Au umejiweka INVISIBLE kwenye hiyo programs???
Ngoja tuone wanavyojitahidi kujiosha. Hadi mwakani watarushiwa sana madongo ya ndani na nje.
ooh yeah, tumewazoea kuwa against Tanzania, u just want bad things to happen agaisnt our beloved country, so that u have soumething to come out of u'r bad mouth.Am I supposed to see something in here??Wahuni,wepi hao?Endeleeni na viroja vyenu wakati wenzenu wanaweka hoja.
MkamaP,
- Serikali kupitia Mahiga itakabidhi hiyo report ktk usalama
- Mahiga awataka baada ya kuwapatia report hiyo UN waisambaze sambamba na ya kwao.Mahiga jtatu ataitetea report hiyo.
- atawataka hicho kikundi cha wahuni kilicoandika report kwa namba ya simu kiombe radhi
MkamaP,
1. Tanzania itakuwa ni Nchi ya kwanza duniani kuitukana UN kama wahuni, infact Nchi nyingine ambayo imewhai kuitishia UN ni North Korea (Banana republic nyingine kama Tanzania).
2. Nchi zote wajanja, wenye nguvu, hata wanyonge huenda kwa ki-diplomasia na kukanusha shutuma, siyo such un-diplomatic. Tanzania ingejifunza "what Lobbying" is. Kuna member wa UN Securirt council ambao unaweza ukawasiliana nao ukaomba wakusaidie. Siyo kubwabwaja matusi.
3. Katibu Mkuu wa UN ni Mkorea, anayefuatia ni Mtanzania. Hivi Membe alifanya mawasiliano kwanza na kupata mawazo kutoka kwa huyo Mtanzania? Au representative kule Umoja wa Mataifa.
This country is taken by thugs!!
Hatuwezi bembeleza malicious ya UN. Fact zitatolewa jtatu ktk baraza la usalama na tukiwapiga chini tutaka watuombe msamaha.
Nasi tukipigwa chini tuombe msamaha. Sawa?
nyie ngojeni tu watu waje kuumbuliwa! Wamejaribu kina Ahmedinajad na wakaambiwa hadi mtaa ilipo facility yao ya Uranium enrichment!
Uhakika, kama serikali inajuwa wazi haijafanya biashara hiyo hakuna sababu ya kupigwa chini, pale hakuna debate ila facts na facts za namba za simu hazikubariki maana hata Membe kasema anamawasiliano na ya simu na hao waasi si ya kibiashara bali ya kiupatanishi.
Tunataka watuoneshe hizo silaha