jiwekuu770
JF-Expert Member
- Feb 12, 2015
- 2,246
- 1,645
Habar
Population au idadi ya watu ni suala pevu na lenye mashiko
Linaipa nchi
-bargaining power kwenye soko la dunia
-fulsa ya biashara
-nguvu ya jeshi kwakua na millitary man power
-kupata talent mbalimbali
-n.k
Ifikapo mwaka 2074 tanzania tutakua nchi ya 10 kwa idadi ya watu syo AFRICA bali duniani
Nigeria itakua nchi ya ni ya tatu ikiizidi USA just behind india and China
Wakati DRC ikiwa ya saba na ethiopia ya 8
Actually mwishoni mwa karne ya 21 nchi 20 zenye population kubwa zitatokea Africa
Wakati hapo ifikapo 20100
Tanzania itakua nchi ya 8 kwa idadi ya watu!!...
Hope tutakua tishio duniani kiuchumi,kijeshi na kiushawishi
We unaonaje
Population au idadi ya watu ni suala pevu na lenye mashiko
Linaipa nchi
-bargaining power kwenye soko la dunia
-fulsa ya biashara
-nguvu ya jeshi kwakua na millitary man power
-kupata talent mbalimbali
-n.k
Ifikapo mwaka 2074 tanzania tutakua nchi ya 10 kwa idadi ya watu syo AFRICA bali duniani
Nigeria itakua nchi ya ni ya tatu ikiizidi USA just behind india and China
Wakati DRC ikiwa ya saba na ethiopia ya 8
Actually mwishoni mwa karne ya 21 nchi 20 zenye population kubwa zitatokea Africa
Wakati hapo ifikapo 20100
Tanzania itakua nchi ya 8 kwa idadi ya watu!!...
Hope tutakua tishio duniani kiuchumi,kijeshi na kiushawishi
We unaonaje