AggerFirminho
JF-Expert Member
- Sep 17, 2019
- 2,318
- 4,106
Lakini hizo projection umezipata kwa mabeberu au sio??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Israel ikowapi?, Italy ikowapi?, Britain (wingereza) ikowapi? Japan ikowapi? ina maana dunia nzima kuna nchi 20 pekee, Ukiacha hivo, Africa yenyewe inazaidi ya nchi 50.Habar
Population au idadi ya watu ni suala pevu na lenye mashiko
View attachment 1696468
Linaipa nchi
-bargaining power kwenye soko la dunia
-fulsa ya biashara
-nguvu ya jeshi kwakua na millitary man power
-kupata talent mbalimbali
-n.k
Ifikapo mwaka 2074 tanzania tutakua nchi ya 10 kwa idadi ya watu syo AFRICA bali duniani
View attachment 1696461
Nigeria itakua nchi ya ni ya tatu ikiizidi USA just behind india and China
Wakati DRC ikiwa ya saba na ethiopia ya 8
Actually mwishoni mwa karne ya 21 nchi 20 zenye population kubwa zitatokea Africa
View attachment 1696467
Wakati hapo ifikapo 20100
Tanzania itakua nchi ya 8 kwa idadi ya watu!!...
Hope tutakua tishio duniani kiuchumi,kijeshi na kiushawishi
We unaonajeView attachment 1696469
View attachment 1696470
hakuna MkuuMfano yapiii!!?
Umenisikitisha sana ndugu mtanzania!.Hapana mkuu ishu siyo sifa ishu n kua in headlines duniani
Nani asiyejua china leo??? Au india??
But tanzania nchi nyingine watu hawaijui
With headlines nchi inajitangaza ,kupata wataliii na kuwa target ya uwekezaji
Mikasi iendeleee.
La pumb.u mkuu.Mikasi gan tena
Hakuna mahali penye Pori sasa hivi, labda hifadhi za serikali . Nenda kaguse kila mahali pana wenyeweTanzania tuko vzuri kwenye Sector ya kufyatuana, pia na nchi yetu asilimia 90 ni mapori hayana watu
Jarida la "The Economist" la wiki hii, katika makala ya "Africa's recovery from Covid-19 will be slow", linaandika;Mimi sidhani kama itakuwa sifa au hizo unazosema 'powers' bali ni majanga zaidi.
Katika miaka 20 iliyopita, tumetoka kuwa nchi ya watu milioni takriban 30, mpaka sasa tumefikia kuwa watu takriban milioni 60.Hakuna mahali penye Pori sasa hivi, labda hifadhi za serikali . Nenda kaguse kila mahali pana wenyewe
Yes, hiyo ndiyo nilimaanisha haswa, maana afrika hatufiki kwa malengo.Jarida la "The Economist" la wiki hii, katika makala ya "Africa's recovery from Covid-19 will be slow", linaandika;
"Africa has a young and fast growing population. The median age is 19.5; by 2035 it will be adding more people of working age to the global population than everywhere else put together. A long, sluggish recovery would make it harder for the largest-ever generation of young Africans to find jibs, heaping pressure on ageing leaders".
Tunaongeza watu kuliko uchumi unavyokua.
Matokeo yake, faida za kukua kwa uchumi hazionekani, zinafutwa na kuwa negated na ongezeko la watu.
Huwezi kuwa superpower kwa idadi kubwa ya watu tena wasio na elimu.
Bali unaweza kuwa superpower kwa idadi ndogo tu ya watu wenye elimu bora na maarifa mengi kichwani.
Hivyo basi,Tanzania inatakiwa iwe na mfumo mzuri wa elimu unaoendana na dunia ya sasa ya sayansi na teknolojia.
Kuwa na idadi kubwa tu ya watu hilo halisaidii.