Mchambuzi
JF-Expert Member
- Aug 24, 2007
- 4,850
- 9,434
Huu ni uzi maalum wenye lengo la kuelezea na kubadilishana mawazo juu ya maana na umuhimu wa Tanganyika kuelekea kura ya maoni. Tutajadili mengi ikiwa ni pamoja na:
1. Asili ya Tanganyika.
2. Mchakato uliotumika kuifuta Tanganyika:
A) Sheria mbalimbali zilizopitishwa kuifuta Tanganyika.
B) Mbinu zilizotumika.
C)Malengo yaliyokusudiwa.
3. Asili ya Tanzania.
4. Faida na hasara zilizojitokeza baada kufutwa kwa Tanganyika - faida na hasara kwa Tanganyika yenyewe, zanzibar na jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa ujumla-kisiasa, kiuchumi na kijamii.
5. Umuhimu wa kuizindua Tanganyika - Faida na hasara za kuizindua Tanganyika kwa Zanzibar, Tanganyika na jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa ujumla - kisiasa, kiuchumi na kijamii:
A) umuhimu on the macro level
B) umuhimu on the meso level
C) umuhimu on the micro level
5. Nini kitatokea mbeleni iwapo Tanganyika haitazinduliwa, hasa tukizingatia mshirika mmoja wa muungano (zanzibar) tayari ana autonomy yake (kupitia katiba ya zanzibar ya 2010),huku mshirika mwenzake akiwa hana autonomy yake ambayo ni haki ya kikatiba na kidemokrasia. Ikumbukwe kwamba tofauti na kabla ya 2010 ambapo zanzibar ilikuwa ni sehemu ya jamhuri ya muungano na Tanzania ilikuwa ni nchi moja, kufuatia mabadiliko ya katiba ya zanzibar (2010), hivi sasa Tanzania ni nchi mbili zenye serikali mbili;
6. Kwanini SERIKALI MBILI AU MOJA NDIO KUVUNJA MUUNGANO.
7.Options zilizopo mezani za kudumisha muungano uliopo na zipi ni practical, zipi sio practical na kwa sababu zipi.
Na mengine mengi.
MUHIMU:
Tutaweka itikadi zetu za vyama pembeni kwani mkataba wa muungano haukutaja TANU, ASP wala chama chochote cha siasa. Hii ilifanywa kwa makusudi ili kuupa muungano mwonekano wa kitaifa. Siasa za vyama zilijipenyeza kinyemela baadae a ndio chanzo cha mgogoro unaotusumbua leo. Tutalifafanua hili kwa undani zaidi kwa nia ya kuirudisha historia ya muungano katika muktadha unaostahili.
Tutawaletea mjadala huu muda sio mrefu. Mwelimishe mwenzako juu ya haja na umuhimu wa kauli yetu mbiu kuelekea kura ya maoni.
Kauli Mbiu Yetu Kuelekea Kura Ya Maoni Ni:
TANZANIA KWANZA, TANGANYIKA KABLA.
Nape Nnauye, MwanaDiwani, Dr W. Slaa, Mwigulu Nchemba, Kitila Mkumbo, Mzee Mwanakijiji, ZeMarcopolo, Kurugenzi ya Habari, Tumaini Makene, Ben saanane, JokaKuu, Jasusi, Kobello, Mtanganyika, Ritz, zomba, Makusudically
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
1. Asili ya Tanganyika.
2. Mchakato uliotumika kuifuta Tanganyika:
A) Sheria mbalimbali zilizopitishwa kuifuta Tanganyika.
B) Mbinu zilizotumika.
C)Malengo yaliyokusudiwa.
3. Asili ya Tanzania.
4. Faida na hasara zilizojitokeza baada kufutwa kwa Tanganyika - faida na hasara kwa Tanganyika yenyewe, zanzibar na jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa ujumla-kisiasa, kiuchumi na kijamii.
5. Umuhimu wa kuizindua Tanganyika - Faida na hasara za kuizindua Tanganyika kwa Zanzibar, Tanganyika na jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa ujumla - kisiasa, kiuchumi na kijamii:
A) umuhimu on the macro level
B) umuhimu on the meso level
C) umuhimu on the micro level
5. Nini kitatokea mbeleni iwapo Tanganyika haitazinduliwa, hasa tukizingatia mshirika mmoja wa muungano (zanzibar) tayari ana autonomy yake (kupitia katiba ya zanzibar ya 2010),huku mshirika mwenzake akiwa hana autonomy yake ambayo ni haki ya kikatiba na kidemokrasia. Ikumbukwe kwamba tofauti na kabla ya 2010 ambapo zanzibar ilikuwa ni sehemu ya jamhuri ya muungano na Tanzania ilikuwa ni nchi moja, kufuatia mabadiliko ya katiba ya zanzibar (2010), hivi sasa Tanzania ni nchi mbili zenye serikali mbili;
6. Kwanini SERIKALI MBILI AU MOJA NDIO KUVUNJA MUUNGANO.
7.Options zilizopo mezani za kudumisha muungano uliopo na zipi ni practical, zipi sio practical na kwa sababu zipi.
Na mengine mengi.
MUHIMU:
Tutaweka itikadi zetu za vyama pembeni kwani mkataba wa muungano haukutaja TANU, ASP wala chama chochote cha siasa. Hii ilifanywa kwa makusudi ili kuupa muungano mwonekano wa kitaifa. Siasa za vyama zilijipenyeza kinyemela baadae a ndio chanzo cha mgogoro unaotusumbua leo. Tutalifafanua hili kwa undani zaidi kwa nia ya kuirudisha historia ya muungano katika muktadha unaostahili.
Tutawaletea mjadala huu muda sio mrefu. Mwelimishe mwenzako juu ya haja na umuhimu wa kauli yetu mbiu kuelekea kura ya maoni.
Kauli Mbiu Yetu Kuelekea Kura Ya Maoni Ni:
TANZANIA KWANZA, TANGANYIKA KABLA.
Nape Nnauye, MwanaDiwani, Dr W. Slaa, Mwigulu Nchemba, Kitila Mkumbo, Mzee Mwanakijiji, ZeMarcopolo, Kurugenzi ya Habari, Tumaini Makene, Ben saanane, JokaKuu, Jasusi, Kobello, Mtanganyika, Ritz, zomba, Makusudically
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Last edited by a moderator: