Tanzania lacks organized and vibrant opposition

Tanzania lacks organized and vibrant opposition

opposition block is not vibrant in TZ due to bad constitution,laws and systems to support,it will never become vibrant in this unbecoming enviroment
Tusilaumu kijitabu

Tatizo ni sisi wenyewe…. We are not hard working, not motivated, wavivu,tunapenda dezo na miujiza, hatujui kabisa kusimama na kufanya kazi Kama msingi

Hii haihitaji katiba…kwani maandiko matakatifu tu yatosha
 
Mimi ni mbeba mizigo hapa Magufuli bus terminal lakini kwenye kuijua lugha yoyote huwa siyo mzembe.Kutokujua lugha kwa umahiri wa kiasi chake hakuna kusamehewa.Ni uzembe tu.Chekechea mmefunzwa kwa kiingereza na kiswahili.Darasa la tatu hadi chuo mmefundishwa kwa kiingereza.Kwa nini hamkijui hadi leo?Ni wadumavu au vilaza wa asili tu.Nisamehe kwa kukutania.🤣🤣🤣🤣🤣🙏
sasa wewe,
unadhani chekechea yenyewe ningesomea wapi huku kijijini?

form one yenyewe nilichaguliwa second selections shule ya kata tar.13.07 miaka hiyo iliyopita, wenzangu wakiwa darasani kwa zaidi ya nusu mwaka, na bado nikafanya vizuri, form2,4,6 gadi chuo kikuu na leo nagonga hadi kiarabu na waarabu na miko kwenye siasa za kitaifa na kimataifa nimejipanga mbaya sana :pedroP:

kwani hata urai na kilimo si mmfundishwa tangu shule ya msingi, kwanini hauwezi kulima mpaka sasa?

hiyo ya kubeba mizigo umejifunzia wapi na nani alikufundisha kwenye shule gani?
 
that has completely no capability to check, advice and criticize the sitting government with alternative strategies and plans..

what can be done so that able, visionary and meaningful opposition in Tanzania be born?
Ostracism is the main obstacle in this country
 
sasa wewe,
unadhani chekechea yenyewe ningesomea wapi huku kijijini?

form one yenyewe nilichaguliwa second selections shule ya kata tar.13.07 miaka hiyo iliyopita, wenzangu wakiwa darasani kwa zaidi ya nusu mwaka, na bado nikafanya vizuri, form2,4,6 gadi chuo kikuu na leo nagonga hadi kiarabu na waarabu na miko kwenye siasa za kitaifa na kimataifa nimejipanga mbaya sana :pedroP:

kwani hata urai na kilimo si mmfundishwa tangu shule ya msingi, kwanini hauwezi kulima mpaka sasa?

hiyo ya kubeba mizigo umejifunzia wapi na nani alikufundisha kwenye shule gani?
And,still,your way of expressing things seems to be very tender.Na,hapo unaandika. What if,given a chance of a prompt speech?Ma bad!Samualeko!🤣🤣🤣🤣🙏
 
Tusilaumu kijitabu

Tatizo ni sisi wenyewe…. We are not hard working, not motivated, wavivu,tunapenda dezo na miujiza, hatujui kabisa kusimama na kufanya kazi Kama msingi

Hii haihitaji katiba…kwani maandiko matakatifu tu yatosha
ukweli kama huu ndio watu hawaupendi kabisa, wanauchukia sana kwakweli...

wanachoweza zaidi, ni kujitenga au kukaa kando, kwa kijipa umuhimu wa kipekee ambao hawana, na kulaumu wanao thubutu kufanya hayo wanayo yafanya kadiri ya uwezo wao :pulpTRAVOLTA:

kusubiri miujiza au mpaka mwingine afanye mistake ndio watu wareact au kusema ni ulegevu mbaya sana katika siasa
 
And,still,your way of expressing things seems to be very tender.Na,hapo unaandika. What if,given a chance of a prompt speech?Ma bad!Samualeko!🤣🤣🤣🤣🙏
I am always fearless and shameless man completely,

i will write or speak loudly,
with all my confidence, regardless what you will say or think about my pronunciations or grammars mistakes, especially on very critical and serious development issues...

yaani nitatiririka hiyo lugha ya malkia vibaya sana mpaka waelewe aise,

na hapatakua na mchezo ni lazma waelewe tu, wapende wasipende..with all confidence :pulpTRAVOLTA:
 
I am always fearless and shameless man completely,

i will write or speak loudly,
with all my confidence, regardless what you will say or think about my pronunciations or grammars mistakes, especially on very critical and serious development issues...

yaani nitatiririka hiyo lugha ya malkia vibaya sana mpaka waelewe aise,

na hapatakua na mchezo ni lazma waelewe tu, wapende wasipende..with all confidence :pulpTRAVOLTA:
Usinizingatie sana.Mimi nimezaliwa mchokozi tu.Kila nikijiangalia kwenye kioo namuona chizi-fresh anamuangalia mwehu.Do not bother a minute big chap!
 
that is a coup d'état and of course it is unacceptable :pedroP:
So you know the main reasons:save for the flawed constitution,even the ruling party is not vibrant.You precisely know that if the elections are done fairly,the so called ruling party would have joined the likes of KANU so many years ago!!So our country is basically a fe facto one party state,more or less like North Korea or China.
 
that has completely no capability to check, advice and criticize the sitting government with alternative strategies and plans..

what can be done so that able, visionary and meaningful opposition in Tanzania be born?
There are times when we need to tell the truth and stop meandering. You always sound dumb and dumber but take this down.
The education system of Tanzania is producing water melons of exceptional attributes. If at all we want to move ahead, let's improve our education. It's such a shame over 60 yrs of independence, we are not self sufficient. Students still sits on the ground in classrooms, we have killed our the industries, and resources are being distributed to fake investors as no man's business.
Once done with education, there will be no more rigging of votes, CCM will collapse and that will open a new window to govern our country in a progressive manner.
 
Its bcz most of the youngsters in the country are lice (chawa)[emoji1787][emoji1787][emoji7][emoji7][emoji7][emoji1787]
... a good observation. Also, the majority of the population has given up any hope of living a comfortable life by standard means
 
that has completely no capability to check, advice and criticize the sitting government with alternative strategies and plans..

what can be done so that able, visionary and meaningful opposition in Tanzania be born?
Read about ostracism
 
Tourism we are performing so poorly, with the best tourist attraction in Africa, but Kenya Egypt Morocco schelles , south Africa are leading and are above us why?.......Agriculture is not mechanised we are still on substance agric using hand hoe, despite the fact that we have fertile soils but we still import Irish pototoes, carrot, onion apples and some time beans and maize from kenya en Uganda........are we really performing well when our shilling is shrinking aganest the dollars every day, get serious Dude....
Is Tanzania importing maize fr
Tourism we are performing so poorly, with the best tourist attraction in Africa, but Kenya Egypt Morocco schelles , south Africa are leading and are above us why?.......Agriculture is not mechanised we are still on substance agric using hand hoe, despite the fact that we have fertile soils but we still import Irish pototoes, carrot, onion apples and some time beans and maize from kenya en Uganda........are we really performing well when our shilling is shrinking aganest the dollars every day, get serious Dude....
I disagree with you,in agriculture and tourism sector Tanzania is doing much better, if you have ever stayed at any border Tunduma,Horohoro Namanga you could have testified what I mean.
 
Is Tanzania importing maize fr

I disagree with you,in agriculture and tourism sector Tanzania is doing much better, if you have ever stayed at any border Tunduma,Horohoro Namanga you could have testified what I mean.
Just seasonal it can't provide food for 6months consecutively, off season no food we begin importing go to Mtukula boda and witness this.
 
that has completely no capability to check, advice and criticize the sitting government with alternative strategies and plans..

what can be done so that able, visionary and meaningful opposition in Tanzania be born?
The problem is with the citizens not the political leaders. Even as we suffer from an ineffective constitution, still the citizenry is to blame not political leaders. Poor opposition should be blamed on the citizens, any politician would like a poorly organized mass.
 
The problem is with the citizens not the political leaders. Even as we suffer from an effective constitution, still the citizenry is to blame not political leaders. Poor opposition should be blamed on the citizens.
Silence surrenders public responsibility
 
Back
Top Bottom