Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Keep on dreaming. You can pretend to be the Sun but in real sense you are an asteroidCicero there can only be one sun in the sky and that is Kenya hao wengine wang'ang'anie mwezi.
Cicero there can only be one sun in the sky and that is Kenya hao wengine wang'ang'anie mwezi.
Cicero there can only be one sun in the sky and that is Kenya hao wengine wang'ang'anie mwezi.
Walijiona lulu walipokuwa wakiwazingua wahafidhina wa ukoo wa Kabila. Leo hii kumeibuka nyota mpya Tshisekedi ambaye ana nia ya kuchukua mkondo mpya . Anafanya kweli jombaa, hana muda wa longolongo na ukajanja wao.
Dah! Subili uone asipokuja tz
Tz ..... mi najitoa jf.....atakuja mwenyewe bila ya kuitwa jombaaa na utasikia akisema bandali ya dar ndio salaama kwa mizigo yetu yeye mwenyewe bila ya kushinikizwa na ataongeza raisi magufuli ndio raisi bora atasema tena wakongo man wapo wengi tz na wanamuziki mashuhuri tz sawasawa na nyumbani mtashangaa wenyewe mama tuna majeshi yanalinda amani kongo....na tuna system kule mbuuzi nyiee
Tanzania atakuja tu msitie hofu, wote wanajua dawa yenu ni kuja kuwakuna tu na kuwaita ndugu halafu mnabweteka na kutulia. Hicho ndio kikubwa kwenu, kwamba waje tu na kuwaita ndugu basi.
Lakini sisi tupo kimaslahi zaidi maana ndio dunia ilivyo, SADC huko mlipeleka kiherehere chenu cha kumwaga damu, leo hii Afrika Kusini wakianza zile vurugu zao za kuwaua Waafrika wageni, huwa hawatambui Utanzania wala nini, juzi tulisoma taarifa za Msumbiji wanavyowatesa raia wa Tanzania na kuchana paspoti zenu na kuwanyang'anya kila kitu.
Mumezungukwa na hayo mataifa tisa, badala ya kuchangamkia fursa, mumezubaa hadi mnaachia tuwape ushindani hata kwa mataifa ambayo hatuna mpaka nao, ni aibu sana eti tunagombania na nyie soko la Rwanda, Burundi, DRC n.k.
Yaani ni kama mje mshindane na sisi kwenye soko la Sudan Kusini, yaani ikifikia hatua kama hiyo naihama hii nchi maana itakua kama tusi mbaya sana.
Tanzania atakuja tu msitie hofu, wote wanajua dawa yenu ni kuja kuwakuna tu na kuwaita ndugu halafu mnabweteka na kutulia. Hicho ndio kikubwa kwenu, kwamba waje tu na kuwaita ndugu basi.
Lakini sisi tupo kimaslahi zaidi maana ndio dunia ilivyo, SADC huko mlipeleka kiherehere chenu cha kumwaga damu, leo hii Afrika Kusini wakianza zile vurugu zao za kuwaua Waafrika wageni, huwa hawatambui Utanzania wala nini, juzi tulisoma taarifa za Msumbiji wanavyowatesa raia wa Tanzania na kuchana paspoti zenu na kuwanyang'anya kila kitu.
Mumezungukwa na hayo mataifa tisa, badala ya kuchangamkia fursa, mumezubaa hadi mnaachia tuwape ushindani hata kwa mataifa ambayo hatuna mpaka nao, ni aibu sana eti tunagombania na nyie soko la Rwanda, Burundi, DRC n.k.
Yaani ni kama mje mshindane na sisi kwenye soko la Sudan Kusini, yaani ikifikia hatua kama hiyo naihama hii nchi maana itakua kama tusi mbaya sana.
@Fursakibao. Lol!Jombaa, labda umejitosa kwenye comments kabla ya kusoma bango la mleta mada. Wakenya wanazifata na wamekuwa wakizifata hizo Fursakibao tangu enzi zileee. Huu mchezo hauhitaji hasira.
Chill bro, Doctor Congo is big, really big. We can all share him. And by 'all' I mean the whole of Africa and beyond. DR Congo needs more than Tanzania and Kenya to restore peace (Duh! As if it has ever had peace) and prosperity.Warning shots fired. The just elected President of DRC is a Kenyaphile. Tanzanian diplomats liangalieni hili msikubali DRC, a long time ally of Tanzania, iingie kwenye sphere of influence ya Kenya!
Tanzania atakuja tu msitie hofu, wote wanajua dawa yenu ni kuja kuwakuna tu na kuwaita ndugu halafu mnabweteka na kutulia. Hicho ndio kikubwa kwenu, kwamba waje tu na kuwaita ndugu basi.
Lakini sisi tupo kimaslahi zaidi maana ndio dunia ilivyo, SADC huko mlipeleka kiherehere chenu cha kumwaga damu, leo hii Afrika Kusini wakianza zile vurugu zao za kuwaua Waafrika wageni, huwa hawatambui Utanzania wala nini, juzi tulisoma taarifa za Msumbiji wanavyowatesa raia wa Tanzania na kuchana paspoti zenu na kuwanyang'anya kila kitu.
Mumezungukwa na hayo mataifa tisa, badala ya kuchangamkia fursa, mumezubaa hadi mnaachia tuwape ushindani hata kwa mataifa ambayo hatuna mpaka nao, ni aibu sana eti tunagombania na nyie soko la Rwanda, Burundi, DRC n.k.
Yaani ni kama mje mshindane na sisi kwenye soko la Sudan Kusini, yaani ikifikia hatua kama hiyo naihama hii nchi maana itakua kama tusi mbaya sana.
Mbona unajichanganya mzee, hapohapo unakiri watz Wako south africa na Msumbiji, hapohapo unasema wamezubaa, sasa hao watz huko wanaenda kufanyaje, Kuhubiri injili? Njaa inakuchanganya Dingi Unazeeka vibaya
Tulia ndo utajua kwamba system zetu zime lala au sis ni mafia zaidi unavyo fikilia si unaona sgr yenu tume inajisinhakunahhabarihyaakuifikishairwandarwandabomba.lammafitamugandautumewachapaasasaaaposkongo tulia uone..
Peleka Ukunya keep dreaming! U won Uganda's pipeline n SGR too before!I told Geza Ulole for a very long time, country relations are not build on stupid jealousy and claims of liberations but what you have to offer.