There is nothing to learn from Ethiopia in the fight against terrorBadala ya kujiona mpo juu wakati hamna lolote, mngeenda Ethiopia kujifunza namna wanavyowadhibiti Al-Shabaab kushambulia Ethiopia.Mmekazana tu na sifa za kijinga wakati ulinzi wenu ni dhaifu.
Could Kenya Learn From Ethiopia's Anti-terror Strategy?
Wajaluu wanatokwa na povuKwikwikwi Wakenya mtakufa kwa wivu. Hizo issue ni za zamani sana kabla watu hawajazoea.
Hizo issue sasa hivi hakuna na watu wamestaarabika sana tu.
Njoo utembelee dar acha kusimuliwa. Watu wanatumia digital card kulipa nauli.
Walishajaribu mara nyingi tu na wakashindwaπThe point is nyinyi kaeni tu bila kukabiki itikadi kali za kidini. The moment vijana wenu wamerudi from somalia na wakaanza another jihad front on Tanzanian soil ndio mtachekea jehanam
Wajaluu wanatokwa na povuKwikwikwi Wakenya mtakufa kwa wivu. Hizo issue ni za zamani sana kabla watu hawajazoea.
Hizo issue sasa hivi hakuna na watu wamestaarabika sana tu.
Njoo utembelee dar acha kusimuliwa. Watu wanatumia digital card kulipa nauli.
Wajaluu wanatokwa na povuKwikwikwi Wakenya mtakufa kwa wivu. Hizo issue ni za zamani sana kabla watu hawajazoea.
Hizo issue sasa hivi hakuna na watu wamestaarabika sana tu.
Njoo utembelee dar acha kusimuliwa. Watu wanatumia digital card kulipa nauli.
Be careful dude, this platform isn't for making insults, control your anger please, not every Tanzania falls in that category
Yeah that was in the 90s bring something else
Seems Ethiopia is Handling its issues pretty great huh?Badala ya kujiona mpo juu wakati hamna lolote, mngeenda Ethiopia kujifunza namna wanavyowadhibiti Al-Shabaab kushambulia Ethiopia.Mmekazana tu na sifa za kijinga wakati ulinzi wenu ni dhaifu.
Could Kenya Learn From Ethiopia's Anti-terror Strategy?
Yeah whatever you nees to tell yourselfWalishajaribu mara nyingi tu na wakashindwaπ
Hiyo issue ya mwezi wa tano tayari hao wauaji wameshakamatwa na adhabu wamepata.Yeah whatever you nees to tell yourself
View attachment 435276View attachment 435278View attachment 435279
Whatever makes you sleep well at night .....TELL YOURSELF !!Hiyo issue ya mwezi wa tano tayari hao wauaji wameshakamatwa na adhabu wamepata.
Sikiliza wewe kijana uendeshaji wa nchi tanzania ni tofauti sana na kenya.
Sisi kuna mabalozi kila mtaa. Kila mgeni anapoingia anajulikana.
Uharifu kenya upo juu sana.
Huyu kiumbe sijui wa aina gani yani ni mgumu kuelewaπHiyo issue ya mwezi wa tano tayari hao wauaji wameshakamatwa na adhabu wamepata.
Sikiliza wewe kijana uendeshaji wa nchi tanzania ni tofauti sana na kenya.
Sisi kuna mabalozi kila mtaa. Kila mgeni anapoingia anajulikana.
Uharifu kenya upo juu sana.
Yeah whatever you nees to tell yourself
View attachment 435276View attachment 435278View attachment 435279
Sammuel999 hao jamaa tulisha funga mahesabu kitambo sana..Yeah whatever you nees to tell yourself
View attachment 435276View attachment 435278View attachment 435279
Bob haya ni mabasi ya ndani ya JKIA, umeombwa ya mtaani Nairobi au na hayo yanasaidia kupunguza foleni Nairobi?Hii ndo shida yenu, hilo gari ulilotia pale ni kama hili hapa??? Nyinyi lakini? Na ukiangalia kwenye vyo zake utaona mengine mengi in reflection.
Na wewe unaamini wale walikuwa ni isis, we kweli hamnazo, hawa waandishi uchwara huwa mnawatoa wapi? πISIS In Tanzanian Caves; Terror Threat Multiplication
Brace yourselfs.
Walitoa hadi video hata bbc swahili waliongeleaNa wewe unaamini wale walikuwa ni isis, we kweli hamnazo, hawa waandishi uchwara huwa mnawatoa wapi? π
Wewe na wenzako mumeharibu uzi huu kwamambo yenu na ya kikudaπThe point is nyinyi kaeni tu bila kukabiki itikadi kali za kidini. The moment vijana wenu wamerudi from somalia na wakaanza another jihad front on Tanzanian soil ndio mtachekea jehanam
Si nyinyi ndio mlioanza story za alshaabab. Sasa mkishasutwa ndio mnaaza kulalama.Wewe na wenzako mumeharibu uzi huu kwamambo yenu na ya kikudaπ
Acha u pimbi wewe unamsuta nani? Vita na hao vijana mlishashindwa, mnacho cha ziada?Si nyinyi ndio mlioanza story za alshaabab. Sasa mkishasutwa ndio mnaaza kulalama.