ighaghe
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 2,286
- 3,203
Nilikuwa namsaidia mtu kutafuta ist au raum au run x iliyotumika nchini, bajeti ilikuwa 6.5 to 7m. Nikajisemea kwa bei hii atapata gari ambayo itakuwa imetumika mwaka au miaka miwili nchini na itakuwa nzuri tu.
Matokeo yalinishangaza kidogo. Ukitaka kununua Gari iliyotumika hata 5 years nchini mfano ist, raum n.k inauzwa mil 8 mpaka hata 10. Gari hiyo hiyo bila ushuru iliyotumika nje ni m3 hadi 4, ukiweka na ushuru utalipa 10 mpaka 11.
Ukizingatia suala la uchakavu na kulinganisha na bei, gari lililotumika hapa litakuwa na bei juu sana.
Swali ni inamaana demand ya magari yaliyotumika nchini ipo juu sana au ni kitu gani kinasababisha bei kuwa juu?
Na wauzaji wa magari mapya yaliyotumika nje, si wanapata changamoto sana kushindana na bei hizi za magari yaliyotumika hapa?
Matokeo yalinishangaza kidogo. Ukitaka kununua Gari iliyotumika hata 5 years nchini mfano ist, raum n.k inauzwa mil 8 mpaka hata 10. Gari hiyo hiyo bila ushuru iliyotumika nje ni m3 hadi 4, ukiweka na ushuru utalipa 10 mpaka 11.
Ukizingatia suala la uchakavu na kulinganisha na bei, gari lililotumika hapa litakuwa na bei juu sana.
Swali ni inamaana demand ya magari yaliyotumika nchini ipo juu sana au ni kitu gani kinasababisha bei kuwa juu?
Na wauzaji wa magari mapya yaliyotumika nje, si wanapata changamoto sana kushindana na bei hizi za magari yaliyotumika hapa?