Tanzania magari yaliyotumika nchini yanauzwa bei kubwa kulinganisha na iliyotumika nje

Tanzania magari yaliyotumika nchini yanauzwa bei kubwa kulinganisha na iliyotumika nje

ighaghe

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2013
Posts
2,286
Reaction score
3,203
Nilikuwa namsaidia mtu kutafuta ist au raum au run x iliyotumika nchini, bajeti ilikuwa 6.5 to 7m. Nikajisemea kwa bei hii atapata gari ambayo itakuwa imetumika mwaka au miaka miwili nchini na itakuwa nzuri tu.

Matokeo yalinishangaza kidogo. Ukitaka kununua Gari iliyotumika hata 5 years nchini mfano ist, raum n.k inauzwa mil 8 mpaka hata 10. Gari hiyo hiyo bila ushuru iliyotumika nje ni m3 hadi 4, ukiweka na ushuru utalipa 10 mpaka 11.

Ukizingatia suala la uchakavu na kulinganisha na bei, gari lililotumika hapa litakuwa na bei juu sana.

Swali ni inamaana demand ya magari yaliyotumika nchini ipo juu sana au ni kitu gani kinasababisha bei kuwa juu?

Na wauzaji wa magari mapya yaliyotumika nje, si wanapata changamoto sana kushindana na bei hizi za magari yaliyotumika hapa?
 
Tamaa na njaa,,mtu anataka kuuza gari yake aliyoitumia miaka 5 ila hana hela ya kununua gari mpya anategemea auze ya zamani ili anunue mpya.Mfano gari anayoitaka labda milioni 14 na yeye mkononi ana milion 3.5 basi atafosi Ist yake auze hata milioni 10 ili afike bei ya gari mpya.
 
ILA KIUKWELI KAMA UNA PESA KUANZIA MILIONI KUMI AGIZA TU GARI MWENYEWE JAPAN, WATUMIE SBT AU BEFORWARD LKN UKISEMA KUNUNUA BONGO NI MAJANGA SANA ASIKWAMBIE MTU.
Kukosa pesa mkuu. Mwajiriwa kapewa na ofisi m7 mkopo anataka anunue gari na chenji ibaki.
 
Tamaa na njaa,,mtu anataka kuuza gari yake aliyoitumia miaka 5 ila hana hela ya kununua gari mpya anategemea auze ya zamani ili anunue mpya.Mfano gari anayoitaka labda milioni 14 na yeye mkononi ana milion 3.5 basi atafosi Ist yake auze hata milioni 10 ili afike bei ya gari mpya.
Dalali hajaweka cha juu hapo.
 
Inategemeana ulikuwa unatafuta wapi, m7 unapata IST no D kabisa tena fresh tuuu,hata Allwx au Runx zipoooo, pengine ulienda kwa madalali njaa, lakin pia unashindwa kufikiria, Japan ndo gari zinatengenwzwa na pia wanasheria zao za uchakavu, gari pia bei ni chini maana ni soko la ndani,ni sawa na ww upo mbeya au mwanza mchele sasahivi kl 1 buku, ukija Dar hadi buku 2. So gari mpaka huku showroom IST hadi 12m so hawezi mtu akauza gari m4 hata kama katumia miaka mitatu.
 
Nilikuwa namsaidia mtu kutafuta ist au raum au run x iliyotumika nchini, bajeti ilikuwa 6.5 to 7m. Nikajisemea kwa bei hii atapata gari ambayo itakuwa imetumika mwaka au miaka miwili nchini na itakuwa nzuri tu.

Matokeo yalinishangaza kidogo. Ukitaka kununua Gari iliyotumika hata 5 years nchini mfano ist, raum n.k inauzwa mil 8 mpaka hata 10. Gari hiyo hiyo bila ushuru iliyotumika nje ni m3 hadi 4, ukiweka na ushuru utalipa 10 mpaka 11.

Ukizingatia suala la uchakavu na kulinganisha na bei, gari lililotumika hapa litakuwa na bei juu sana.

Swali ni inamaana demand ya magari yaliyotumika nchini ipo juu sana au ni kitu gani kinasababisha bei kuwa juu?

Na wauzaji wa magari mapya yaliyotumika nje, si wanapata changamoto sana kushindana na bei hizi za magari yaliyotumika hapa?
Mkuu magari yapo ya bei yako hio sema hujajua wapi yapo na udalali mwingi sana hasa ukija kichwa kichwa.
 
Mkuu magari yapo ya bei yako hio sema hujajua wapi yapo na udalali mwingi sana hasa ukija kichwa kichwa.
Hizo zote zinaanzia 7+ maana yake ukiwa serious buyer 7 unachukua,mleta mada labda kama ulikuwa haupo serious na kununua gari
Screenshot_2020-09-08-09-55-50-42.jpg
IMG-20200901-WA0015.jpg
 
Mkuu magari yapo ya bei yako hio sema hujajua wapi yapo na udalali mwingi sana hasa ukija kichwa kichwa.
Tatizo ni information mkuu. Soko la magari yaliyotumika nchini siyo rasmi hivyo unaweza shikwa tu na madalali esp dsm kama hujui jiji.
 
Hizo zote zinaanzia 7+ maana yake ukiwa serious buyer 7 unachukua,mleta mada labda kama ulikuwa haupo serious na kununua gariView attachment 1562650View attachment 1562651
Ila Mkuu reg # dd ni 5 years back ndo iliingia nchini, 7.8m+ ni tofauti ya 3m kwa gari aina hiyo hiyo Japan na ushuru umelipa. Ni kwann gari imeshakaa 3years to 4 years plus nchini ila zinakuwa na bei karibu sana na gari mpya plus ushuru? Hii price value huwa inatokana na nn?
 
Mleta mada Hebu tueleze kwanza wewe ungenunua IST toka nje ikakucost max 11.5mil
ukaitumia let's say miaka mitatu,
ukitaka kuiuza utafanya bei gani.
Ili tuone kama na wewe huna double standard
Au umenunua Landcruiser V8 2020 total
coast 179 mil
ushuru ikafika 106 mil
Jumla 281mil

Ukitaka kuiuza baada ya miaka 5 utauzaje?
By the way ushuru wa magari kwa Tz ni mkubwa sana unaumiza, yani gari mamlaka zetu zinasoma kama anasa au ndio ile sera ushuru uwe mkubwa kupunguza importation wakati sisi humu ndani hatutengenezi magari.

Lakini sio makosa ya muuzaji. Shida iko hapa

Kuna watu kufikiri kwao kuko chini sana wanaangalia kupiga pesa leo tu.

Ukiweka ushuru chini importation ya magari itakua kubwa
THUS
1. Clearing agent watapata pesa

2. Wauzaji wa petrol watauza zaidi, (utapata Kodi itakayozalishwa na kuuza petrol ndani na kodi ya kuingiza petrol toka nje), Ajira za wauza petrol station

3. Wauza matairi, vipuri, waosha magari,

Hivi ni baadhi ya vitu tu ambavyo vita-inject income kwa Central government.

Na ushuru huu kama ukipunguza wa uingizaji bidhaa nyingine tena kama nguo, viatu, (bidhaa zote zinazoagizwa nje) utaongeza wigo wa wafanyabiashara kupunguza bei na kuwauzia nchi jirani yani badala ya sisi kwenda Uganda kununua chupi na sidiria, Waganda ndio waje kwetu kununua

But kwa sasa hivi sisi tunakwenda kununua Uganda baada ya wao kupitisha mizigo yao hapa bandarini kwetu. Silly

Amin nakwambia bandari yetu ina uwezo wa kuilisha nchi bila kutegemea hata ndege.

Kwa waliosomea biashara

Law of maximizing sales
Sales maximisation is a theoretical objective of a firm which involves selling as many units of a good or service as possible, without making a loss. This means sacrificing some short-term profit with a view to achieving a longer term gain.

You reduce price--You raise sales---Higher profit at a short period of time

Higher price--lower sales--higher profit after a long period.

Nilikimbia IFM kwa sup lakini nilitoka na kitu
 
Mleta mada Hebu tueleze kwanza wewe ungenunua IST toka nje ikakucost max 11.5mil
ukaitumia let's say miaka mitatu,
ukitaka kuiuza utafanya bei gani.
Ili tuone kama na wewe huna double standard
Au umenunua Landcruiser V8 2020 total
coast 179 mil
ushuru ikafika 106 mil
Jumla 281mil

Ukitaka kuiuza baada ya miaka 5 utauzaje?
By the way ushuru wa magari kwa Tz ni mkubwa sana unaumiza, yani gari mamlaka zetu zinasoma kama anasa au ndio ile sera ushuru uwe mkubwa kupunguza importation wakati sisi humu ndani hatutengenezi magari.

Lakini sio makosa ya muuzaji. Shida iko hapa

Kuna watu kufikiri kwao kuko chini sana wanaangalia kupiga pesa leo tu.

Ukiweka ushuru chini importation ya magari itakua kubwa
THUS
1. Clearing agent watapata pesa

2. Wauzaji wa petrol watauza zaidi, (utapata Kodi itakayozalishwa na kuuza petrol ndani na kodi ya kuingiza petrol toka nje), Ajira za wauza petrol station

3. Wauza matairi, vipuri, waosha magari,

Hivi ni baadhi ya vitu tu ambavyo vita-inject income kwa Central government.

Na ushuru huu kama ukipunguza wa uingizaji bidhaa nyingine tena kama nguo, viatu, (bidhaa zote zinazoagizwa nje) utaongeza wigo wa wafanyabiashara kupunguza bei na kuwauzia nchi jirani yani badala ya sisi kwenda Uganda kununua chupi na sidiria, Waganda ndio waje kwetu kununua

But kwa sasa hivi sisi tunakwenda kununua Uganda baada ya wao kupitisha mizigo yao hapa bandarini kwetu. Silly

Amin nakwambia bandari yetu ina uwezo wa kuilisha nchi bila kutegemea hata ndege.

Kwa waliosomea biashara

Law of maximizing sales
Sales maximisation is a theoretical objective of a firm which involves selling as many units of a good or service as possible, without making a loss. This means sacrificing some short-term profit with a view to achieving a longer term gain.

You reduce price--You raise sales---Higher profit at a short period of time

Higher price--lower sales--higher profit after a long period.

Nilikimbia IFM kwa sup lakini nilitoka na kitu
Umemaliza kila kitu
 
Theory
Mleta mada Hebu tueleze kwanza wewe ungenunua IST toka nje ikakucost max 11.5mil
ukaitumia let's say miaka mitatu,
ukitaka kuiuza utafanya bei gani.
Ili tuone kama na wewe huna double standard
Au umenunua Landcruiser V8 2020 total
coast 179 mil
ushuru ikafika 106 mil
Jumla 281mil

Ukitaka kuiuza baada ya miaka 5 utauzaje?
By the way ushuru wa magari kwa Tz ni mkubwa sana unaumiza, yani gari mamlaka zetu zinasoma kama anasa au ndio ile sera ushuru uwe mkubwa kupunguza importation wakati sisi humu ndani hatutengenezi magari.

Lakini sio makosa ya muuzaji. Shida iko hapa

Kuna watu kufikiri kwao kuko chini sana wanaangalia kupiga pesa leo tu.

Ukiweka ushuru chini importation ya magari itakua kubwa
THUS
1. Clearing agent watapata pesa

2. Wauzaji wa petrol watauza zaidi, (utapata Kodi itakayozalishwa na kuuza petrol ndani na kodi ya kuingiza petrol toka nje), Ajira za wauza petrol station

3. Wauza matairi, vipuri, waosha magari,

Hivi ni baadhi ya vitu tu ambavyo vita-inject income kwa Central government.

Na ushuru huu kama ukipunguza wa uingizaji bidhaa nyingine tena kama nguo, viatu, (bidhaa zote zinazoagizwa nje) utaongeza wigo wa wafanyabiashara kupunguza bei na kuwauzia nchi jirani yani badala ya sisi kwenda Uganda kununua chupi na sidiria, Waganda ndio waje kwetu kununua

But kwa sasa hivi sisi tunakwenda kununua Uganda baada ya wao kupitisha mizigo yao hapa bandarini kwetu. Silly

Amin nakwambia bandari yetu ina uwezo wa kuilisha nchi bila kutegemea hata ndege.

Kwa waliosomea biashara

Law of maximizing sales
Sales maximisation is a theoretical objective of a firm which involves selling as many units of a good or service as possible, without making a loss. This means sacrificing some short-term profit with a view to achieving a longer term gain.

You reduce price--You raise sales---Higher profit at a short period of time

Higher price--lower sales--higher profit after a long period.

Nilikimbia IFM kwa sup lakini nilitoka na kitu
Theory=Dreams=Utopia=USSR
 
Back
Top Bottom