Mbunhe wenu anadanganya pia?Ati kuunganishwa na service ya tanesco 312600/= ? BS.
Saruji ya dangote 13000. Nani ahangaike na hizo za 20000.
Hao wanocomment ni waongo, duh. Endelea kuwaamini upate faraja moyoni mwako
Endelea kujifariji labda itamaliza njaa iliyoko kenya,Akina babayao joto la jiwe kosugi huwezi waona hku
Eti maisha tanzania ni rahisi...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kumbe heri ya kwetu tena...
Umeme sijui vyakula, saruji, mabati...eti "hku ni rahisi"[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Pole yenu wana ccm
Wa tz semeni kabisa km walio komenti ni wapiga dili au wapinzani...huenda ikawa wanampaka matope jiwe kipenzi cha wote tuView attachment 1227087View attachment 1227088View attachment 1227089View attachment 1227090
Endelea kujifariji labda itamaliza njaa iliyoko kenya,
S [emoji204]
Hao ni wajinga wenzako, wavivu wenzako, wenzako mnaotumia wote makwapa kufikiria.[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Wah! Halafu their average earnings are very low. Nchi ya maziwa na asali kweli. 😂 😂Mi ndio nlishangaa bro...nilipiga hayo mahesabu hadi nikashtuka...hku tukipigiwa kelele km kwao maisha rahisi...
Umeona bei ya token kwanzaView attachment 1227420
Hii nayo sindano kali sana...hutowaona hku...Wah! Halafu their average earnings are very low. Nchi ya maziwa na asali kweli. [emoji23] [emoji23]
Mi ndio nlishangaa bro...nilipiga hayo mahesabu hadi nikashtuka...hku tukipigiwa kelele km kwao maisha rahisi...
Umeona bei ya token kwanzaView attachment 1227420
Umeme wa 10k unapata 28.1 units sasa sijui umepandaje....
Hebu check vyema mkuu mimi nmenunua jana umeme.
Sent using Jamii Forums mobile app
Soma hizo quote kisha rudi kawaulize hao wajinga wenzako huo umeme wanaununua wapiView attachment 1053441
Na mimi nimenunua jana. Sijaona bei kupanda!
Sent using Jamii Forums mobile app
Soma hizo quote kisha rudi kawaulize hao wajinga wenzako huo umeme wanaununua wapi
Soma Hizo quote zote,Kwhyo ni wapiga dili?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hahaaa!!kisha kumbe hata hesabu hujui...chukua hyo 10k then u divide na hyo 28.1 uone unit moja itakuja ngapi...kwanza ni ghali zaidi
Soma Hizo quote zote,
Kaka kwa Tz ni hauheni.Wa tz semeni kabisa km walio komenti ni wapiga dili au wapinzani...huenda ikawa wanampaka matope jiwe kipenzi cha wote tuView attachment 1227087View attachment 1227088View attachment 1227089View attachment 1227090
Tofautisha matunda na nafaka kilaza wa mwisho ww.Kisha unakuta jamaa hapa anakuja kusema tsh elfu kumi anajaza machungwa katika fridge yake...
Kwn ni bakuli au ni fridge jamani
Akina babayao joto la jiwe kosugi huwezi waona hku
Eti maisha tanzania ni rahisi...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kumbe heri ya kwetu tena...
Umeme sijui vyakula, saruji, mabati...eti "hku ni rahisi"[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Pole yenu wana ccm
Usiropoke wewe.Wananchi wa Tanzania wanateseka sana. wanaishi maisha magumu sana Mpaka wanatamani waelewe na wakenya.
Hao ni wavivu tu unawajua watz wewe???Endelea kupinga tu.....ukwel umesha umeshajulikana...kumbe ile watu husema vyuma vimekaza ni kwel...haiwezekani bei za bidhaa tz hasa vyakula ziwe juu hvo..manake kw mishahara yenu kiduchu, vyuma lazima vikaze kila leo