Tanzania maisha rahisi sana

Tanzania maisha rahisi sana

Usiropoke wewe.
Mahitaji ya Tanzania unaweza ukaishi kwa 15000 Tsh kwa siku.
Mchele 2000tsh,sukari nusu 1200tsh,vitafunwa 500tsh mboga ujumlishe na mkaa 4000tsh na viungo 3000tsh.
Ukijumlisha almost 12000 tsh mpk 15000tsh.
Ichukue hiyo ibadilishe ktk hela ya kenya halafu nambie je unaweza kuilisha familia Kenya kwa Tsh 15000/=.
NASUBIRI JIBU..............

HALAFU TIZAMA CHINI WENZENU.



Nonsense.
Stop vaunting by living below the absolute poverty line.
 
Nonsense.
Stop vaunting by living below the absolute poverty line.
Unapima kutumia dollar??
Km Dinar ingekuwa inatumika km medium of exchange bas ht USA ingekuwa na watu wengi waishio below poverty line.

Utake usitake km hutaki meza kisa Tanzania gharama za maisha ziko chini.
Cha muhimu ni mtu upate mahitaji muhimu(basic needs) na kwa hiyo hela unapata vzuri tu.
Tuje kenya je unapata???

Punguza kubwabwaja.
 
Unapima kutumia dollar??
Km Dinar ingekuwa inatumika km medium of exchange bas ht USA ingekuwa na watu wengi waishio below poverty line.

Utake usitake km hutaki meza kisa Tanzania gharama za maisha ziko chini.
Cha muhimu ni mtu upate mahitaji muhimu(basic needs) na kwa hiyo hela unapata vzuri tu.
Tuje kenya je unapata???

Punguza kubwabwaja.

Hogwash.
 
Hamna cha uvivu...hela wanazopata na hzo bei haviendani...km tayari unga na mchele bei yake ni balaa hvo hko bongo...
Ukwel lazima mkubali bana...sio kila wakati mnakataa ukwel, ninavyoijua tz halafu nikicheli hyo bei ya sasa..vyuma vimekaza kwel
Hao ni wavivu tu unawajua watz wewe???
Wanapenda vitu vya bei ya chini sana wanapenda dezo sana.
Ilhali kwa siku japokuwa gharama za nafaka zimepanda ila waweza kuilisha familia yako kwa 15000tsh tyu.
Nataka uibadilishe hiyo 15000 ya kitz iwe ya kikenya halafu nambie unaweza kuitumia kuilisha familia ya nuclear Kenya????
Msiongee tu ninyi.
 
Mbona hesabu zako za kihuni hvo...
Lete bei ya unga, mchele, sukari, nyama..wacha kupiga hesabu mwitu hapa
Usiropoke wewe.
Mahitaji ya Tanzania unaweza ukaishi kwa 15000 Tsh kwa siku.
Mchele 2000tsh,sukari nusu 1200tsh,vitafunwa 500tsh mboga ujumlishe na mkaa 4000tsh na viungo 3000tsh.
Ukijumlisha almost 12000 tsh mpk 15000tsh.
Ichukue hiyo ibadilishe ktk hela ya kenya halafu nambie je unaweza kuilisha familia Kenya kwa Tsh 15000/=.
NASUBIRI JIBU..............

HALAFU TIZAMA CHINI WENZENU.

 
Kwhyo wenzako wanadanganya[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yani ccm haswa
Cement dangote 13000
Umeme ni 300k
Umeme vijijini REA ni 28000
Umeme 1000 unit 8
Wanaoolalamika ni wavivu mbna vituu vya kawaida
 
Mbona Simba cement nimenunua last week 15,000/= hio 20k wameitoa wapi???
 
Unga kilo ni 1200 nusu 600.

Hiyo 1400 unga wa wapi huo..
 
Mbona hesabu zako za kihuni hvo...
Lete bei ya unga, mchele, sukari, nyama..wacha kupiga hesabu mwitu hapa
Kuna unga wa aina nyingi sana,wa bei ya juu ni itungi sembe ambayo kilo ni 1200,kuna unga kilo 1100 na ukitaka Dona kilo 1000,mchele upo wa aina nyingi sana ambapo wa bei ya juu ni kg 1 ni 2200,kuna mchele wa kilo 1900,1800,1500 hadi 1400 sukari kilo ni 2400 nusu kilo ni 1200 ambapo robo ni 600,nyama kilo ni 5000 hadi 6000 baadhi ya maeneo,ukienda Vingunguti nyama kilo hadi 2500
Wanaomchukia jiwe si wazungu tu hadi huku bongo kuna hawa wanaitwa ukawa,wao wako tayari hata kuongopa ili mradi jiwe akwame
 
Kwa hivo wewe Ni CCMu watu wa mtakatifu Magu??
Mimi ni mtz siko chama chochote,mapungufu ya ccm nayaona na madudu ya chadema pia,sasa mimi nakaa tabata barraccuda few kms from city center kilo ya unga ni tsh 1200 anakuja mlugaluga wa chadema anakwambia unga ni tsh 1500,halafu mi nichekelee tu
 
Napita tu 👀
1570643657541.png
 
Kuna unga wa aina nyingi sana,wa bei ya juu ni itungi sembe ambayo kilo ni 1200,kuna unga kilo 1100 na ukitaka Dona kilo 1000,mchele upo wa aina nyingi sana ambapo wa bei ya juu ni kg 1 ni 2200,kuna mchele wa kilo 1900,1800,1500 hadi 1400 sukari kilo ni 2400 nusu kilo ni 1200 ambapo robo ni 600,nyama kilo ni 5000 hadi 6000 baadhi ya maeneo,ukienda Vingunguti nyama kilo hadi 2500
Wanaomchukia jiwe si wazungu tu hadi huku bongo kuna hawa wanaitwa ukawa,wao wako tayari hata kuongopa ili mradi jiwe akwame
Hawezi akaelewa maana anatumia makwapa kufikiria,
Mwambie aje Tanzania alafu aende sokoni kufanya shopping sio kupiga kelele za kujifariji ujinga hapa jukwaani 😂😂😂
Mchele upo kila aina na kila aina na bei yake kuna mchele hadi buku jero kilo,
Nyanya juzi kati ilikuwa buku jero sado sasa hivi unapata kwa buku mbili kwa sado tena Nyanya zilizoshiba alafu anatapika ujinga hapa eti Tanzania Imefanyaje 😂😂😂
 
Ati kuunganishwa na service ya tanesco 312600/= ? BS.
Saruji ya dangote 13000. Nani ahangaike na hizo za 20000.

Hao wanocomment ni waongo, duh. Endelea kuwaamini upate faraja moyoni mwako
Wakweli
 
Mimi ni mtz siko chama chochote,mapungufu ya ccm nayaona na madudu ya chadema pia,sasa mimi nakaa tabata barraccuda few kms from city center kilo ya unga ni tsh 1200 anakuja mlugaluga wa chadema anakwambia unga ni tsh 1500,halafu mi nichekelee tu
Tofauti ya kshs15 Ni kidogo sana
 
Back
Top Bottom