Tanzania maisha rahisi sana

Lakini unajua vizuri Hali Ni mbaya Sana huko JF pande ya Siasa naona mambo yako ya ukweli kuliko hapa Kenyan section.
Ushasema siasa,always katika siasa everyone bases on his or her interests..nilichokuambia ndo sahihi ingekuwa mchana ningekupigia picha za price katika shops yaani kwa muuzaji wa mwisho kabisa huku mitaani,si unajua bongo huwa hatutumii sana supermarkets huku ni shops everywhere
 
Mimi nipo Znz kilo mchele 2400 tena super mbeya
 
We unafikiria kutumia kalio mzee au?
Mchele kilo moja Tz ni 2000 ,unga kilo 1400,ngano pia 1400 kilo nyama 5000 kilo.
Unataka bei ya nini??
Naomba hvyo uvigeuze kwenda kwa shilingi ya Kenya je wapi kuna unafuu??
Ebu tuliza wenge.
Nasubiri jibu.
Mbona hesabu zako za kihuni hvo...
Lete bei ya unga, mchele, sukari, nyama..wacha kupiga hesabu mwitu hapa
 
Mbna walia braza...kwn wewe unaishi miji yote ya tanzania...

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]inaonyesha umeumizwa sana na hyo hali walai...ndo manake huu uzi umekushinda...manake ingelikua umejaza vi emoji kibao hapa, lkn ni vile sindano ilipenyeza vizuri..
Ugua pole pole
 
Unga kilo 65
Ngano kilo 60
Sukari kilo 120
Mchele kilo 60

Haya piga mahesabu yako vizuri uone wapi kuna unafuu
We unafikiria kutumia kalio mzee au?
Mchele kilo moja Tz ni 2000 ,unga kilo 1400,ngano pia 1400 kilo nyama 5000 kilo.
Unataka bei ya nini??
Naomba hvyo uvigeuze kwenda kwa shilingi ya Kenya je wapi kuna unafuu??
Ebu tuliza wenge.
Nasubiri jibu.
 
1)Inamaana unga kwenu kilo ni tsh 1440 ilhali kwa huku Tz dona 1000tsh,sembe 1200,1400tsh.
2)Ngano kwenu ni Tsh 1330 ilhali kwetu kuna categories PPF 1400tsh,Azania 1200 tsh,Alta1200tsh unajichagulia wako na ngano poa 1200tsh.
3)Sukari kilo kwenu ni 2660 tsh ilhali kwetu 2400 tsh ttttt.
4)Mchele kwetu kuna categories nyingi tena vijijini hadi 1200 kilo unapata mjini ndio 2200,2000,1700,1500tsh.

Asa pima mwenyewe hujioni kama umejiumbua kaka???
Unga kilo 65
Ngano kilo 60
Sukari kilo 120
Mchele kilo 60

Haya piga mahesabu yako vizuri uone wapi kuna unafuu
 
Niumie kisa nini hapa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Nikikuambia ukweli ndio kuumia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ au unadhani huwa ukiumia wewe basi kila mtu anaumia kama wewe πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ hii ni mitandao tu.
 
Sasawa mr vi emojis
Niumie kisa nini hapa [emoji23][emoji23][emoji23] Nikikuambia ukweli ndio kuumia [emoji23][emoji23][emoji23] au unadhani huwa ukiumia wewe basi kila mtu anaumia kama wewe [emoji23][emoji23][emoji23] hii ni mitandao tu.
 
Nimekupa vitu average jomba...kwn hku ndio hakuna unga na michele rahisi...

Eti nimejiumbua...mbna wanichekesha jomba...kisha kiukwel maisha yenu yamepanda usibishane kabisa...tanzania ya sasa sio ile ninayoijua mm...

 

WASIKIZE WENZIO BUDDAH.
USIFANANISHE TZ NA KENYA.
NA TENA HIZO NI GHARAMA ZA MJINI.
UKIENDA MIKOANI MATHALAN TABORA NYAMA KILO 3000TSH.
NA NZURI KABBISA.
SIJUI UNANIELEWA???
Nimekupa vitu average jomba...kwn hku ndio hakuna unga na michele rahisi...

Eti nimejiumbua...mbna wanichekesha jomba...kisha kiukwel maisha yenu yamepanda usibishane kabisa...tanzania ya sasa sio ile ninayoijua mm...
 
Manake sio kw ile mishahara yenu...nineamini sasa km maisha bongo ni magumu...

Bidhaa zimepanda bei mishahara magu kabana kuipandisha...vyuma vitaendelea kukaza nakwambia
 
Kwn huku ndio hakuna vijiji...mbna wanichekesha jomba[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

WASIKIZE WENZIO BUDDAH.
USIFANANISHE TZ NA KENYA.
NA TENA HIZO NI GHARAMA ZA MJINI.
UKIENDA MIKOANI MATHALAN DODOMA NYAMA KILO 3000TSH.
NA NZURI KABBISA.
SIJUI UNANIELEWA???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…