Tanzania - Mapendekezo ya mpango wa maendeleo wa taifa wa mwaka 2018/19

Wapi Picha za ujenzi kama si mdomo kama kawaida?
Huu mradi Magufuli ameuingilia Kati ili utunufaishe zaid Tz, kama ilivyokua SGR alivyopewa China yeye akatengua Akampa Mturuki.. China na Oman wanataka kujenga hata sasahivi ila wataruhusiwa tu kama tutafikia makubaliano tena yakayotunufaisha.. So we left it all to Magufuli, he knows what he's doing..
 
Wewe unanipatia maneno matupu baala ya actions/pichaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 

KRA closer to meeting target as revenue collected grows

Increase Revenue Collection first we have doubled your collection.. You are too far behind
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…