mwaswast
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 12,780
- 6,480
Wapi Picha za ujenzi kama si mdomo kama kawaida?Hahahaha. Tulia unyolewe dogo. Hasira ya nini? Pilipili usiyoila yakuwashia nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi Picha za ujenzi kama si mdomo kama kawaida?Hahahaha. Tulia unyolewe dogo. Hasira ya nini? Pilipili usiyoila yakuwashia nini?
Inanichekesha.Nimekwambia pilipili usiyoila yakuwashia nini?
Huu mradi Magufuli ameuingilia Kati ili utunufaishe zaid Tz, kama ilivyokua SGR alivyopewa China yeye akatengua Akampa Mturuki.. China na Oman wanataka kujenga hata sasahivi ila wataruhusiwa tu kama tutafikia makubaliano tena yakayotunufaisha.. So we left it all to Magufuli, he knows what he's doing..Wapi Picha za ujenzi kama si mdomo kama kawaida?
Wewe unanipatia maneno matupu baala ya actions/picha😀😀😀Huu mradi Magufuli ameuingilia Kati ili utunufaishe zaid Tz, kama ilivyokua SGR alivyopewa China yeye akatengua Akampa Mturuki.. China na Oman wanataka kujenga hata sasahivi ila wataruhusiwa tu kama tutafikia makubaliano tena yakayotunufaisha.. So we left it all to Magufuli, he knows what he's doing..
Kenya ranked as 'failed state'Wewe unanipatia maneno matupu baala ya actions/picha😀😀😀
Lengo la huu uzi ni kuupitia mpango wa maendeleo wa Tanzania kisha kuanza kuangalia ulinganifu wa mpango wa maendeleo wa ndugu zetu wakenya.
Ushindani lazima uwepo na tuweze kuona ni nani wenye vision pana kati ya Tanzania na Kenya. Lengo kuu likiwa ni kuonesha ushindani uliopo kati yetu wenye lengo kuu la kuwaletea maendeleo raia wetu.
Msingi wa thread hii upo katika mapendekezo na mpango wa maendeleo wa tanzania. Ingefaa zaidi ndugu zetu toka Kenya wakaweka na wao ili tuweze kulinganiasha.
Katika uzi huu nitauvunjavunja mpango wetu wa maendeleo na kuruhusu tuweze kujadili kipengere kwa kipengere.
Sitapenda kuwepo na mihemko isiyokuwa na tija. Ningependa tujadili kwa kina ili mwisho wa siku tuonekane ni watu wenye akili timamu na tuwenze kuenzi mtandao huu unaoelezea kuwa sisi humu ndani ni GT.
Ninaambatanisha PDF file lilo na mapendekezo ya mpango wa maendeleo wa Tanzania.
Hata hivyo unaweza ukatembelea tovuti ya mipango hapa: http://www.mipango.go.tz/
Utajipatia maelezo mengi na kupata taarifa nyingi za kupakua.
See for yourself..Wewe unanipatia maneno matupu baala ya actions/picha😀😀😀