Tanzania Mining Cadastre Portal mtandao huo umezimwa sasa ni miezi 4 haufanyi kazi

Tanzania Mining Cadastre Portal mtandao huo umezimwa sasa ni miezi 4 haufanyi kazi

peno hasegawa

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2016
Posts
14,255
Reaction score
23,949
Prof. Idris Suleiman Kikula, mwenyekiti wa Tume ya Madini amekiri kuwa Mtandao tajwa hapo juu umezima kama sio kushindwa kufanya kazi kwa kipindi cha miezi minne sasa.

Kukosekana kwa huduma hiyo muhimu kumeikosesha serikali hasara ya bilioni 7 kwa mwezi jambo ambalo sio la kuvumiliwa.

Waziri wa madini na katibu mkuu wa wizara hiyo walivyoulizwa kwa njia ya simu hawakuwa tayari kuzungumzia jambo hilo.

Tume imekuwa ikihujumu juhudi za Rais samia kuhusu ukusanyaji wa mapato ili kuwaletea wananchi maendeleo.

Chanzo: Mara News
 
Prof. Idris Suleiman Kikula , mwenyekiti wa Tume ya Madini amekiri kuwa Mtandao tajwa hapo juu umezima kama sio kushindwa kufanya kazi kwa kipindi cha miezi minne sasa...
Nchi ngumu sana hii! Dikteta muadilifu mcha Mungu ni muhimu ili Nchi ikae kwenye mstari! Vinginevyo itakuwa ni kutwanga maji kwenye kinu miaka nenda rudi !! Ukicheka na nyani utavuna mabua! Hawakukosea wahenga!
 
Nchi ngumu sana hii !! Dikteta muadilifu mcha Mungu ni muhimu ili Nchi ikae kwenye mstari !! Vinginevyo itakuwa ni kutwanga maji kwenye kinu miaka nenda rudi !! Ukicheka na nyani utavuna mabua !! Hawakukosea wahenga !
Kweli kabisaaa
 
Prof. Idris Suleiman Kikula, mwenyekiti wa Tume ya Madini amekiri kuwa Mtandao tajwa hapo juu umezima kama sio kushindwa kufanya kazi kwa kipindi cha miezi minne sasa.

Kukosekana kwa huduma hiyo muhimu kumeikosesha serikali hasara ya bilioni 7 kwa mwezi jambo ambalo sio la kuvumiliwa.

Waziri wa madini na katibu mkuu wa wizara hiyo walivyoulizwa kwa njia ya simu hawakuwa tayari kuzungumzia jambo hilo.

Tume imekuwa ikihujumu juhudi za Rais samia kuhusu ukusanyaji wa mapato ili kuwaletea wananchi maendeleo.

Chanzo: Mara News
Serikali ikikosa hasara ni jambo jema kuliko kupata hasara!
 
Prof. Idris Suleiman Kikula, mwenyekiti wa Tume ya Madini amekiri kuwa Mtandao tajwa hapo juu umezima kama sio kushindwa kufanya kazi kwa kipindi cha miezi minne sasa.

Kukosekana kwa huduma hiyo muhimu kumeikosesha serikali hasara ya bilioni 7 kwa mwezi jambo ambalo sio la kuvumiliwa.

Waziri wa madini na katibu mkuu wa wizara hiyo walivyoulizwa kwa njia ya simu hawakuwa tayari kuzungumzia jambo hilo.

Tume imekuwa ikihujumu juhudi za Rais samia kuhusu ukusanyaji wa mapato ili kuwaletea wananchi maendeleo.

Chanzo: Mara News
Ndo maana juzi nimejaribu kulog in kuangalia coordinates fulani ikashindikana
 
Back
Top Bottom