Kidagaa kimemwozea

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2018
Posts
3,680
Reaction score
6,554
Mtandao kupotea ghafla hewani, umepata changamoto gani mdau?

=======

Leo Jumapili, Mei 12, 2024 limetokea tatizo la internet kwenye mitandao ya simu Tanzania kuanzia saa nne asubuhi. Taarifa za awali zinasema mkongo wa kimataifa uliopita chini ya maji uko chini ukizikumba pia Mombasa mpaka Johanesburg.

===

Pia soma:
-
Kwa hii Shida ya Mitandao ya simu iliyotokea leo, turuhusu Starlink iingie Tanzania
- Mitandao ya simu ipige faida ya internet kwa mara ya mwisho. Elon Musk kuleta internet ya Starlink Tanzania
-
Watanzania wamefungiwa internet
 
Maandalizi yaleeeeeh!!

IPO siku watazima mitandao halafu wao ndio yawatokee puani sisi hatuna habari nao!!

Kama walivyomuingiza yule jamaa akaja kuwapigisha magoti na wao ipo siku watakata mawasiliano kazi ikaanza rasmi na hawatoamini na sisi.hatutojua chochote nanitakula kwao!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…