Kidagaa kimemwozea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 3,680
- 6,554
Uzi tayari..?Mtandao kupotea gafla hewani umepata changamoto gani mdau
Mpaka sasa Vodacom haijarudi.Nipo Tabora.Mtandao kupotea ghafla hewani, umepata changamoto gani mdau?
Mwisho waduniaKidogo TIGO inajitahidi ila Vodacom, Airtel, Halotel naona kwenye upande wa data hamna kitu😆😆
😅😅😅Ugeni wa Nape umeanza kutesti mitambo, tuliwambia..!!
UliokamilikaUzi tayari..?
Ukishajua?
Tumia TTCLMtandao kupotea ghafla hewani, umepata changamoto gani mdau?
Kidogo TIGO inajitahidi ila Vodacom, Airtel, Halotel naona kwenye upande wa data hamna kitu😆😆