Mpigania uhuru wa pili
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 3,380
- 6,376
Kuna kimbunga kutoka kwenye jua kitaipiga dunia sio tu data hata gps zitakua zinazingua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo litaisha mkuuHalotel ndio mtandao wenye Kasi kubwa kwangu sasa nashangaa nashindwa kuingia mtandaoni muda mrefu mara niangalie salio, mara nizime simu na kuwasha lakini wapi.
Hapa numeunga bando lingine kwenye laini ya tigo ndio nikaweza kufika jamiiforums
Muda huu Airtel ndio imerejea kwa speed ya KOBEAirtel,
Kidogo nipasue simu!!!!Mtandao kupotea ghafla hewani, umepata changamoto gani mdau?
=======
Leo Jumapili, Mei 12, 2024 limetokea tatizo la internet kwenye mitandao ya simu Tanzania kuanzia saa nne asubuhi. Taarifa za awali zinasema mkongo wa kimataifa uliopita chini ya maji uko chini ukizikumba pia Mombasa mpaka Johanesburg.
😂😂😂😂😂 tigo oyeeDaah, nikajua simu yangu imezingua, hadi dakika hii bado nilikuwa nahaha, nimenunua bandi mara 2, nimerestart simu mara 20, nilishachamganyikiwa, nimeweka tigo ndio kidogo nimeingia JF
Nairobi lazima maana mitandao yote tunayotumia inaonekana sever ziko Nairobi.Mtandao kupotea ghafla hewani, umepata changamoto gani mdau?
=======
Leo Jumapili, Mei 12, 2024 limetokea tatizo la internet kwenye mitandao ya simu Tanzania kuanzia saa nne asubuhi. Taarifa za awali zinasema mkongo wa kimataifa uliopita chini ya maji uko chini ukizikumba pia Mombasa mpaka Johanesburg.