Tanzania: Mtandao wa Intaneti wapotea hewani
Halotel ndio mtandao wenye Kasi kubwa kwangu sasa nashangaa nashindwa kuingia mtandaoni muda mrefu mara niangalie salio, mara nizime simu na kuwasha lakini wapi.
Hapa numeunga bando lingine kwenye laini ya tigo ndio nikaweza kufika jamiiforums
 
Mtandao kupotea ghafla hewani, umepata changamoto gani mdau?

=======

Leo Jumapili, Mei 12, 2024 limetokea tatizo la internet kwenye mitandao ya simu Tanzania kuanzia saa nne asubuhi. Taarifa za awali zinasema mkongo wa kimataifa uliopita chini ya maji uko chini ukizikumba pia Mombasa mpaka Johanesburg.
Kidogo nipasue simu!!!!
 
Mtandao kupotea ghafla hewani, umepata changamoto gani mdau?

=======

Leo Jumapili, Mei 12, 2024 limetokea tatizo la internet kwenye mitandao ya simu Tanzania kuanzia saa nne asubuhi. Taarifa za awali zinasema mkongo wa kimataifa uliopita chini ya maji uko chini ukizikumba pia Mombasa mpaka Johanesburg.

Nairobi lazima maana mitandao yote tunayotumia inaonekana sever ziko Nairobi.
 
Back
Top Bottom