Tanzania: Mtandao wa Intaneti wapotea hewani
Hii site ya speedtest ni ya kiwaki sana, yani kui access tu hiyo site imenichukua almost dakika mbili ku load.

Baada ya kumaliza ku load najaribu ku test speed eti inaniambia 34Mbps.

Yani subscription ya Airtel tu niliyolipia ni 30Mbps lakini mitambo ya hiyo site inadai hiyo speed sio ya kawaida ni zaidi ya Mbps 30.

Wakati huo nime husle kufungua hiyo site.
Screenshot_20240513-160616.png


Nimepima kwenye fast hii ndio speed halisi
Screenshot_20240513-160742.png
 
Hakuna cha mkongo wala nini mbona toka niweke vpn mzigo umesimama vizuri
 
Mtandao kupotea ghafla hewani, umepata changamoto gani mdau?

=======

Leo Jumapili, Mei 12, 2024 limetokea tatizo la internet kwenye mitandao ya simu Tanzania kuanzia saa nne asubuhi. Taarifa za awali zinasema mkongo wa kimataifa uliopita chini ya maji uko chini ukizikumba pia Mombasa mpaka Johanesburg.
===

Pia soma:
-
Kwa hii Shida ya Mitandao ya simu iliyotokea leo, turuhusu Starlink iingie Tanzania
- Mitandao ya simu ipige faida ya internet kwa mara ya mwisho. Elon Musk kuleta internet ya Starlink Tanzania
Kwanini tgo ndio uwe vizuri kuliko mingine!!?

Nadharia:-

Tgo users hacked and exposed!!?

Nawaza kwa sauti!
 
Leo nimefika Bank ya DTB nimekosa huduma, kisa hakuna mtandao wa internet.

Je Taifa limekumbana na kiasi Gani cha hasara kwa kukosekana kwa huduma hii muhimu?
 
Mimi nimepata hasara ya kushindwa kuwafundisha watu wangu namna ya kuwa katika viwango ambavyo vitawafanya kuwa baraka kwa familia na Taifa.

Kwa hii hitilafu nimemiss Bwana Elon Musk na Starlink yake. Nchi hii tunalazimishana kuwa masikini
 
Haha wana install programs ili rahisi kuwamonitor..😁
 
Mimi swali langu ni:
Kwanini mitandao ya simu haijatuma sms kwa wateja wao kuwa kunashida ya kitaifa ya internet?
Matokeo yake kama mtu anamiliki line zaidi ya moja anajikuta anatumia hela kununua data kwenye lines zingine angali tatizo ni lile lile na mwisho wa siku kama ilinunua data ya muda mfupi itaisha bila yeye kuweza kutumia.

Naelewa kunanjia mbadala ya raia kujua kinachoendelea, ila mwisho wa siku mpaka huyu mtu anapata uelewa ameshatumia hela kununua kitu ambacho hatokitumia.
Hatimaye Tigo wameanza kutuma sms
 
Hatimaye Tigo wameanza kutuma sms
Je zina ujumbe gani hizo sms.
Hii site ya speedtest ni ya kiwaki sana, yani kui access tu hiyo site imenichukua almost dakika mbili ku load.

Baada ya kumaliza ku load najaribu ku test speed eti inaniambia 34Mbps.

Yani subscription ya Airtel tu niliyolipia ni 30Mbps lakini mitambo ya hiyo site inadai hiyo speed sio ya kawaida ni zaidi ya Mbps 30.

Wakati huo nime husle kufungua hiyo site.View attachment 2989388

Nimepima kwenye fast hii ndio speed halisi View attachment 2989389
Muda huu: (Sina hakika kama huduma imerejea kwa asilimia zote), ila siyo mbaya kwa package ya 10Mbps, iwapo hii 7Mbps haitoshuka.
1715647128645.png
 
Mtandao kupotea ghafla hewani, umepata changamoto gani mdau?

=======

Leo Jumapili, Mei 12, 2024 limetokea tatizo la internet kwenye mitandao ya simu Tanzania kuanzia saa nne asubuhi. Taarifa za awali zinasema mkongo wa kimataifa uliopita chini ya maji uko chini ukizikumba pia Mombasa mpaka Johanesburg.
===

Pia soma:
-
Kwa hii Shida ya Mitandao ya simu iliyotokea leo, turuhusu Starlink iingie Tanzania
- Mitandao ya simu ipige faida ya internet kwa mara ya mwisho. Elon Musk kuleta internet ya Starlink Tanzania
Shida ya Tanzania ni siasa.....Tuna wataalamu wa kutusaidia....lakini....
 
Ikiwa zile nchi serious Nape angetakiwa awe nyumbani anatoa Moto ofisi imemshinda
 
Nimejikuta nanunua bando mara mbili kwa Tigo na Voda! Shenzi kabisa dah
Sisi wenye satellite dish hii kitu wala haikua shida,asante sn watoa huduma za internet kwa njia ya satellite we didn’t bother who is down
 
Je zina ujumbe gani hizo sms.

Muda huu: (Sina hakika kama huduma imerejea kwa asilimia zote), ila siyo mbaya kwa package ya 10Mbps, iwapo hii 7Mbps haitoshuka.
View attachment 2989640
Mi mambo bado juu chini kama miguu ya fundi cherehani

Kuna muda speed inapanda na kuwa hivi
Screenshot_20240514-094203.png


Na kuna muda inashuka
Screenshot_20240514-094250.png
 
Mimi ninatumia bundle ya vodacom lakini cha kusikitisha internet haina kasi kabisa. Kulikoni?.
 
Wee faza mgeni humu au...??
Yaani topic zote hizo kuhusu tatzo la internet ujaona... ?
 
Jamani ndio tupo chini ya bahari huku tunaendelea na matengenezo tatizo ni kubwa inaweza kuchukua wiki 2 mpaka 3 hivyo tunaomba muwe wavumilivu tunapambana usiku na mchana.
Kuweni waanagalifu Hidaya asije kuwa yupo huko akawasomba mana sijui kama sio alotung'olea internet yetu
 
Back
Top Bottom