Be calm
JF-Expert Member
- May 20, 2023
- 3,766
- 8,959
SadKidogo TIGO inajitahidi ila Vodacom, Airtel, Halotel naona kwenye upande wa data hamna kitu😆😆
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SadKidogo TIGO inajitahidi ila Vodacom, Airtel, Halotel naona kwenye upande wa data hamna kitu😆😆
Nairobi lazima maana mitandao yote tunayotumia inaonekana sever ziko Nairobi.
Nairobi lazima maana mitandao yote tunayotumia inaonekana sever ziko Nairobi.
😂Mkongo Wa Taifa Umesombwa na Maji
Vodacomm ipo down kabisa hila tigo ipo.Kidogo TIGO inajitahidi ila Vodacom, Airtel, Halotel naona kwenye upande wa data hamna kitu😆😆
Huko kwako huyo Kobe bado ana move?Muda huu Airtel ndio imerejea kwa speed ya KOBE
Usicheke Mkuu, Hali ni Tete 😀😂
😂
Iyo story yote ilikua na faida gani?Kilichonishtua nilijaribu kuwasiliana na mpenzi nashindwa (yuko safari ambako mawasiliano tunafanya kwa Internet)
Baadae nilichoka nikalala nikasema nikiamka nitatumia line ya Voda kwa kudhani Airtel ina shida, naamka ndio nakutana na hizi taarifa.
kama hauna cha kuchangia kaa kimya.Kilichonishtua nilijaribu kuwasiliana na mpenzi nashindwa (yuko safari ambako mawasiliano tunafanya kwa Internet)
Baadae nilichoka nikalala nikasema nikiamka nitatumia line ya Voda kwa kudhani Airtel ina shida, naamka ndio nakutana na hizi
Ili ujue kuwa hayupo singleIyo story yote ilikua na faida gani?
mkuu mbona umetumia silaha kali kushambulia[emoji23]Iyo story yote ilikua na faida gani?
Unatoa taarifa au unajigamba ili uonekane yaliyomo yamo?Kilichonishtua nilijaribu kuwasiliana na mpenzi nashindwa (yuko safari ambako mawasiliano tunafanya kwa Internet)
Baadae nilichoka nikalala nikasema nikiamka nitatumia line ya Voda kwa kudhani Airtel ina shida, naamka ndio nakutana na hizi taarifa.
Kilichonishtua nilijaribu kuwasiliana na mpenzi nashindwa (yuko safari ambako mawasiliano tunafanya kwa Internet)
Baadae nilichoka nikalala nikasema nikiamka nitatumia line ya Voda kwa kudhani Airtel ina shida, naamka ndio nakutana na hizi taarifa.
Ukiona hivyo ni katika kujifariji tu ,hamna jambo hapo!Unatoa taarifa au unajigamba ili uonekane yaliyomo yamo?
Sometimes be humble hutapungukiwa na kitu.