Tanzania Muslim & Youth Association (TAMSYA) toeni tamko yanayoendelea Lebanon

Tanzania Muslim & Youth Association (TAMSYA) toeni tamko yanayoendelea Lebanon

Watukufu Viongozi wa TAMSYA,
Assalam Aleikum.

1. Je hamuoni mashambulizi dhidi ya Lebanon, Hezbollah si haki na anaonewa? Mbona hamtoi tamko lolote?

2. Hizi Dhuluma zitakwisha lini?

3. Dunia inasubiri tamko lenu Wasomi.
Sijui kwanini waAfrika tunapenda victim mentality hivi vita vya israel na Hezbollah ni vita vya kidini?
 
Watukufu Viongozi wa TAMSYA,
Assalam Aleikum.

1. Je hamuoni mashambulizi dhidi ya Lebanon, Hezbollah si haki na anaonewa? Mbona hamtoi tamko lolote?

2. Hizi Dhuluma zitakwisha lini?

3. Dunia inasubiri tamko lenu Wasomi.
Tamko si hata wewe unaweza toa tu?hakutakuwa na tofauti yoyote ile.
 
Watukufu Viongozi wa TAMSYA,
Assalam Aleikum.

1. Je hamuoni mashambulizi dhidi ya Lebanon, Hezbollah si haki na anaonewa? Mbona hamtoi tamko lolote?

2. Hizi Dhuluma zitakwisha lini?

3. Dunia inasubiri tamko lenu Wasomi.
acha unafiki, kwanini wasitoe tamko kwa yanayoendelea sudani ambako waarabu wameshambulia zaidi ya waislam 5m?
 
Wasithubutu
Israel hawachelewi kulipua headquarters zao oooh
 
Hapa kwenu Ali kibao alvouwawa walisemaje? Au sio muhimu?
Sambona Shee Kipozeo hammwambii maana nae anaongelea misambwanda tuu akati huko Leba hapatoshii
 
Watukufu Viongozi wa TAMSYA,
Assalam Aleikum.

1. Je hamuoni mashambulizi dhidi ya Lebanon, Hezbollah si haki na anaonewa? Mbona hamtoi tamko lolote?

2. Hizi Dhuluma zitakwisha lini?

3. Dunia inasubiri tamko lenu Wasomi.
kwani waarabu waliwafanyaga nini nyie? Yaani yanayoendelea kwenye nchi yako kwa ndugu zako huyaoni?
 
Watukufu Viongozi wa TAMSYA,
Assalam Aleikum.

1. Je hamuoni mashambulizi dhidi ya Lebanon, Hezbollah si haki na anaonewa? Mbona hamtoi tamko lolote?

2. Hizi Dhuluma zitakwisha lini?

3. Dunia inasubiri tamko lenu Wasomi.
Wewe ukitoa inatosha
 
Vacancy announcement
Hezbollah Lebanoni announce the following vacancy position from Muslim University of Mrgr
1. Widows attendant
2. Funeral specialists
3. Virginity inspector to akhera
4. Bomb manoeuvres and explosive repellent
5. Widower comforters
6. Hate speech assistant
Deadline for this announcement consult Hamas, Boko Haram, Al shabaab or Dr. Sulle
 
Watukufu Viongozi wa TAMSYA,
Assalam Aleikum.

1. Je hamuoni mashambulizi dhidi ya Lebanon, Hezbollah si haki na anaonewa? Mbona hamtoi tamko lolote?

2. Hizi Dhuluma zitakwisha lini?

3. Dunia inasubiri tamko lenu Wasomi.
wewe ukitoa tamko inatosha
 
Samia alikataa kuingilia mambo ya nchi za watu.

Umesahau aliposema "hata huko kwao wanauana" ila hatuwafundishi uchunguzi uweje.
 
Wakati mnawasifia hao magaidi wenu wakiichokoza Israel tuliwaambia hapa kuwa kibao kikigeuka msianze kutia huruma humu. Shekh, vaa bomu nenda kajitoe mhanga pale Tel Av.
Tusisahau kuwa Israel ilianza kwa kuivamia ardhi ya Lebanon na kuikalia hadi leo.
Je Idi Amin alikuwa na haki ya kuikalia ardhi yetu? Mbona tulimpiga?
 
Sijui kwanini waAfrika tunapenda victim mentality hivi vita vya israel na Hezbollah ni vita vya kidini?
Mbona hamjatoa Tamko kwenye Vita ya Ukraine na Russia? Kwa hiyo you are driven by your hates to other side of believers
 
Back
Top Bottom