Tanzania na Corona: Ujumbe wa Masoud Kipanya

Tanzania na Corona: Ujumbe wa Masoud Kipanya

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
20210201_083512114051.jpg
 
Wanafunzi wote wanakubali muziki mzito wa WHO na wanauimba ila mwanafunzi Magufuli peke yake ndiye mkaidi hataki kusikiliza huo muziki, anataka wenzake wacheze ngoma ya kisukuma tu.
 
Hahahahahaha! inafurahisha ila all n' all JPM kwa hili la corona namuunga mkono kwa 100%, akisema aweke lock down ndo itakuwa hatari zaidi

Tutakufaaaaaaaaaaa, bora tuendelee kupambania kombe huku tukijikinga na kupiga nyungu

Viva JPM vivaaaaaaa
 
Jamani sasa Singeli kwenye kwaya tena.... 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Hahahahahaha! inafurahisha ila all n' all JPM kwa hili la corona namuunga mkono kwa 100%, akisema aweke lock down ndo itakuwa hatari zaidi

Tutakufaaaaaaaaaaa, bora tuendelee kupambania kombe huku tukijikinga na kupiga nyungu

Viva JPM vivaaaaaaa
Hapa ndio tuna miss point, Hakuna mtu anataka lockdown ila ni wajibu wa serikali kuwaambia watu corona ipo na tahadhari zichukuliwe sehemu zote za mikusanyiko hata barakoa wasisitize watu wavae sio kuwaambia watu corona hakuna kama ipo chache tuombe Mungu sasa ukisema chache maana yake ni nini, 10 au 1000 au 1000000 haileti maani. Mimi siungi mkono lockdown ila naunga elimu ya kujikinga. Tunaweza kila mtu akijikinga mwenyewe lakini kuna wale hawataki kuamini sasa kama nchi bila kujali unaamini au huamini lakini serikali ina base na facts, kuwa corona ipo na tahadhari hizi lazima zichukuliwe inatosha. Haya matamasha hayana faida yoyote zuieni kwanza watu wanahemeana tu tunusuru watu wazima majumbani.
 
Daaah masoud kipanya mkorofiiii😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Nimecheka sanaa...

Huyu jamaa naona ana immunity
 
Hahahahahaha! inafurahisha ila all n' all JPM kwa hili la corona namuunga mkono kwa 100%, akisema aweke lock down ndo itakuwa hatari zaidi

Tutakufaaaaaaaaaaa, bora tuendelee kupambania kombe huku tukijikinga na kupiga nyungu

Viva JPM vivaaaaaaa
Hakuna anaetaka lockdown. watu waambiwe na tahadhari zichuliwe. sio kulundika watu kwenye mwendokasi as if hakuna ugonjwa mbaya zaidi hata barakoa hawavai hii kitu unaondoka na watu kama vile utani aisee... Uliza pale wizarani Dodoma mpk sasa ni madereva wangapi wamefariki? Uliza wizarani pale Dodoma ni wafanyakazi wangapi wameondoka.. Eee Mungu tuongoze
 
Back
Top Bottom