Tanzania na katiba mpya

Tanzania na katiba mpya

Ugumu wangu

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2021
Posts
1,685
Reaction score
3,552
Habarini wakuu, leo mda wa usiku wa manane sana baada ya kushtuka usingizini nikalala tena pamoja na kuota ndoto lakini Kuna ndoto nimeiota kwa msisitizo mkubwa Hadi nimeamka asubuhi nikiwa na furaha na nakumbuka.

Nimeota viongozi wengi wa chama tawala (CCM) wakiwa wamekasirika baada ya Mbowe kuitwa mbele katika uzinduzi wa katiba mpya na Mheshimiwa raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania huku Mbowe akisita kunyanyuka kwenye kiti na wengine wakamwambia kwani huamini kuwa ulichokipigania Sasa kipo tayari?

Basi ndipo kanyanyuka na huku naona wajumbe wengine wakisema CCM ndio mwisho wake hapa.

Sitaki kusema kuwa ndoto ni ya kweli ama laa Ila ukweli nafsi yangu imeshuhudiwa mama Samia anatuacha na katiba mpya.
 
Namsikiliza Mwalimu Mwakasege hapa Upendo Radio naona na yeye kama vile anatoa mwelekeo huo huo. Anasema ameona maono ya mabishano ya kisheria Mahakamani na watu wakiandamana kupinga jambo flani....!!!! Hajasema itatokea lini though!
 
Namsikiliza Mwalimu Mwakasege hapa Upendo Radio naona na yeye kama vile anatoa mwelekeo huo huo. Anasema ameona maono ya mabishano ya kisheria Mahakamani na watu wakiandamana kupinga jambo flani....!!!! Hajasema itatokea lini though!
Mungu mwema Nuru yaja na CCM kwa heri
 
Sawa mkuu mda utaongea
Yes muda ndo kila kitu......kutoa chama inaweza ikawa rahisi shida ni kutoa watawala......Kenya wamebadili chama ila watawala wamebaki kua ni walewale na vizazi vyao
 
Yes muda ndo kila kitu......kutoa chama inaweza ikawa rahisi shida ni kutoa watawala......Kenya wamebadili chama ila watawala wamebaki kua ni walewale na vizazi vyao
Yeap
 
amka upige kimoja kwa mkeo uendelee na mambo mengine,ni muhimu sana kwa afya yako.

utakuja nishukuru.
 
Back
Top Bottom