Tanzania na kwenye siasa zetu kuna hidden position (vyeo vya kisirisiri)?

Tanzania na kwenye siasa zetu kuna hidden position (vyeo vya kisirisiri)?

mugah di matheo

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2018
Posts
6,307
Reaction score
12,410
Ukichunguza kiundani zaidi nchini Mwetu utagundua Kuna Vyeo ambavyo havisemwi na havipo kikatiba ila kiutendaji vipo
Tuangalie mifano hii

Makonda na Unaibu rais
Makonda katika ubora wake alikuwa zaidi ya mkuu wa mkoa wa kawaida maana alikuwa na uwezo wa kumfukea hata Pm hivyo alikuwa juu yake kimamlaka

Sabaya na u Black IGP
Huyu jamaa katika ulimwengu wa kawaida huku alikuwa DC kule Hai lakini uhalisia hamna Dc anaebeba silaha na kwenda kukamata wahalifu tena katika wilaya nyingine ya mkoa mwingine hivyo huyu jamaa alikuwa level sawa na IGP

Inspector Swila na UDPP
Tujuavyo kesi mahakamani hufunguliwa na Dpp kwaniaba ya Jamuhuri hivyo Dpp huwajibika kukusanya ushahidi wa kutosha na pia kutafta mashahidi lakini kilichotokea kwa moja ya shahidi kwenye kesi ya uhujumu uchumi na ugaidi inayomkabili mbowe na wenzake kitendo Cha shahidi kudai kuwa taarifa ya kuhitajika mahakamani aliipata kutoka kwa swila hivyo inaonekana Inspector swila ndiye Dpp wa black national hapa nchini

Inspector Jumanne na ukurungenzi wa TISS
Huyu jamaa kila umafya inayoshutumiwa kufanywa na Jamuhuri kwa miaka mitano iliopita basi hutajwa yeye tuu Kuna uwezekano akawa na cheo zaidi ya hiki Cha mkuu wa upelelezi Arumeru

Afande Kingai
Bwana Rama huyu jamaa ndie mratibu wa mamlaka nzima ya hiden power of rule nchi hii anaweza kuandaa kesi akaifungua yeye akatoa ushahidi yeye,ukichunguza vizuri kesi ya mbowe utajua kuwa huyu jamaa si Rpc tu bali ni kiongozi mkubwa zaidi

Maswali
Je, nchi hii tuna hidden Government?
Kwanini wanaoenda zaidi ya majukumu yao hawaonywi??
 
Mbowe ni GAIDI tu,nyinyi endelezeni ngonjera zenu tu.

Kile kikundi kilichompiga risasi Lisuu na kumuacha dereva,kumbe Musiba alikuwa mkweli.
 
Mbowe ni GAIDI tu,nyinyi endelezeni ngonjera zenu tu.

Kile kikundi kilichompiga risasi Lisuu na kumuacha dereva,kumbe Musiba alikuwa mkweli.

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Kitendo Cha inspector swila kupeleka shahidi mahakamani it means case is swila vs Mbowe & co and not republic vs Mbowe & co
 
Hao unaowaita covid 19 bungeni wanawake wote wa Chadema minongono wanasemekana Ni usalama wa Taifa wote ambao Mipango yote ya Lisu na Mbowe ya kigaidi waliimwaga vyombo vya ulinzi na usalama ikabidi Lema na Lisu wakimbie nchi baada ya kujua mpango umebunguruka wakakimbia wakamwacha Mbowe alinywe la kigaidi alilolianzisha unasemaje kwa Hilo?
 
Hao unaowaita covid 19 bungeni wanawake wote wa Chadema minongono wanasemekana Ni usalama wa Taifa wote ambao Mipango yote ya Lisu na Mbowe ya kigaidi waliimwaga vyombo vya ulinzi na usalama ikabidi Lema na Lisu wakimbie nchi baada ya kujua mpango umebunguruka wakakimbia wakamwacha Mbowe alinywe la kigaidi alilolianzisha unasemaje kwa Hilo?
😲😲😲
 
Hao unaowaita covid 19 bungeni wanawake wote wa Chadema minongono wanasemekana Ni usalama wa Taifa wote ambao Mipango yote ya Lisu na Mbowe ya kigaidi waliimwaga vyombo vya ulinzi na usalama ikabidi Lema na Lisu wakimbie nchi baada ya kujua mpango umebunguruka wakakimbia wakamwacha Mbowe alinywe la kigaidi alilolianzisha unasemaje kwa Hilo?
Iwe usala isiwe usalama lakini ni watu wanaofanya kazi kinyume na katiba na sheria za nchi just imagine wanakula posho na hamna Cha maaana kinachofanyika
 
Hao unaowaita covid 19 bungeni wanawake wote wa Chadema minongono wanasemekana Ni usalama wa Taifa wote ambao Mipango yote ya Lisu na Mbowe ya kigaidi waliimwaga vyombo vya ulinzi na usalama ikabidi Lema na Lisu wakimbie nchi baada ya kujua mpango umebunguruka wakakimbia wakamwacha Mbowe alinywe la kigaidi alilolianzisha unasemaje kwa Hilo?
Heeee aisee basi,usalama wa taifa wamewaondoa watu 19 kwa mpigo,
Fafanua vizuri TISS hii ya kisheria au UVCCMTISS?
Hii idara mtaipakazia kwa mengi yasiyokichwa wala miguu.
 
Ukichunguza kiundani zaidi nchini Mwetu utagundua Kuna Vyeo ambavyo havisemwi na havipo kikatiba ila kiutendaji vipo
Tuangalie mifano hii

Makonda na Unaibu raisi
Makonda katika ubora wake alikuwa zaidi ya mkuu wa mkoa wa kawaida maana alikuwa na uwezo wa kumfukea hata Pm hivyo alikuwa juu yake kimamlaka

Sabaya na u Black IGP
Huyu jamaa katika ulimwengu wa kawaida huku alikuwa DC kule Hai lakini uhalisia hamna Dc anaebeba silaha na kwenda kukamata wahalifu tena katika wilaya nyingine ya mkoa mwingine hivyo huyu jamaa alikuwa level sawa na IGP

Inspector swila na UDpp
Tujuavyo kesi mahakamani hufunguliwa na Dpp kwaniaba ya Jamuhuri hivyo Dpp huwajibika kukusanya ushahidi wa kutosha na pia kutafta mashahidi lakini kilichotokea kwa moja ya shahidi kwenye kesi ya uhujumu uchumi na ugaidi inayomkabili mbowe na wenzake kitendo Cha shahidi kudai kuwa taarifa ya kuhitajika mahakamani aliipata kutoka kwa swila hivyo inaonekana Inspector swila ndiye Dpp wa black national hapa nchini

Inspector Jumanne na ukurungenzi wa TISS
Huyu jamaa kila umafya inayoshutumiwa kufanywa na Jamuhuri kwa miaka mitano iliopita basi hutajwa yeye tuu Kuna uwezekano akawa na cheo zaidi ya hiki Cha mkuu wa upelelezi Arumeru

Afande Kingai
Bwana Rama huyu jamaa ndie mratibu wa mamlaka nzima ya hiden power of rule nchi hii anaweza kuandaa kesi akaifungua yeye akatoa ushahidi yeye,ukichunguza vizuri kesi ya mbowe utajua kuwa huyu jamaa si Rpc tu bali ni kiongozi mkubwa zaidi

Maswali
Je nchi hii tuna hidden Government?
Kwanini wanaoenda zaidi ya majukumu yao hawaonywi??
Hii nchi siku ccm iking'olewa kama tunavyotarajia hivi karibuni WATANZANIA WATAAIBIKA SANA
 
Hao unaowaita covid 19 bungeni wanawake wote wa Chadema minongono wanasemekana Ni usalama wa Taifa wote ambao Mipango yote ya Lisu na Mbowe ya kigaidi waliimwaga vyombo vya ulinzi na usalama ikabidi Lema na Lisu wakimbie nchi baada ya kujua mpango umebunguruka wakakimbia wakamwacha Mbowe alinywe la kigaidi alilolianzisha unasemaje kwa Hilo?
Katoe ushahidi sasa maana ushahidi mpaka leo ni kunywa mbege na ukamataji tu
 
Sabaya aligusa maslahi ya wakubwa waliopo sasa, ambao awamu ya tano hawakuwa chini ya jiwe.

Ambao hawakugusa maslahi ya wakubwa Kama akina Makonda, Mnyeti, Hapi, nk hawasulubiwi.
 
Back
Top Bottom