Lazarokakai
New Member
- Oct 16, 2020
- 0
- 0
TANZANIA NA MAENDELEO KWA MIAKA IJAYO
Kwa Hali ya Tanzania ya Sasa inahitaji mabadiliko makubwa ya kimfumo wa kisiasa zaidi ili maendeleo yapatikane kwa kuendana na Hali ya watanzania wenyewe.
1.Tanzania hii ya Sasa vitu vinapanda bei kila kukicha bila kuangalia Hali ya watanzania wenyewe na vipato vyao. Serikali yetu inatakiwa iangalie vyanzo vya mapato na kuweka kodi rafiki na anayomudu mtanzania wa Hali ya chini kabisa .
2.Wananchi waelimishwe zaidi kuhusiana na kilimo na mafunzo ya kujiajiri ili kupunguza adha ya ajira kwa watanzania wote. Wananchi waungane katika kupinga vitendo ovu na kiungwana katika kusaidia majanga yote ya nchi .
3.Serikali isimamie vyema nakusmamia na kutambua sababu haraka za bidhaa kuadimika hii itasaidia wafanya biashara kuendana na mabadiliko yeyote .
4.Wananchi wajifunze kutafuta njia mbadala ya kujisaidia pindi majanga yanapotokea kama covid 19 , moto na mengine mengi.
BY LAZARO AITAGAI KAKAI
Kwa Hali ya Tanzania ya Sasa inahitaji mabadiliko makubwa ya kimfumo wa kisiasa zaidi ili maendeleo yapatikane kwa kuendana na Hali ya watanzania wenyewe.
1.Tanzania hii ya Sasa vitu vinapanda bei kila kukicha bila kuangalia Hali ya watanzania wenyewe na vipato vyao. Serikali yetu inatakiwa iangalie vyanzo vya mapato na kuweka kodi rafiki na anayomudu mtanzania wa Hali ya chini kabisa .
2.Wananchi waelimishwe zaidi kuhusiana na kilimo na mafunzo ya kujiajiri ili kupunguza adha ya ajira kwa watanzania wote. Wananchi waungane katika kupinga vitendo ovu na kiungwana katika kusaidia majanga yote ya nchi .
3.Serikali isimamie vyema nakusmamia na kutambua sababu haraka za bidhaa kuadimika hii itasaidia wafanya biashara kuendana na mabadiliko yeyote .
4.Wananchi wajifunze kutafuta njia mbadala ya kujisaidia pindi majanga yanapotokea kama covid 19 , moto na mengine mengi.
BY LAZARO AITAGAI KAKAI