Hii ndio Doha mkuu
View attachment 2379216
Qatar kwa pato la mtu mmoja mmoja ina Hela kuliko Nchi zote ulizotaja, Kutegemea na kampuni ya utafiti huikosi Qatar kwenye nchi Tajiri duniani na Tafiti nyengine ni nchi Ya kwanza kabisa Duniani.
Pato La mtu mmoja mmoja ni dola 110,000 kwa mwaka na Pato la Nyumba kwa mwezi ni kama dola 25,000.
Sasa ambayo karibia kila Mwezi nyumba inaingiza milioni 50 huoni faida ya kufanya nayo biashara?