Tanzania na Qatar watia saini hati za makubaliano kuimarisha biashara na uwekezaji

We unajiliwaza na takwimu zako kichwani!! ukiona hayo magorofa!! Hyo nchi ambayo inategemea mafuta tu haijiwezi kwa technologia wala viwanda…

Hizo takwimu nilizokuandikia ckutoa kichwan
angalia nafasi zilizopo Israel,japan,na korea kusini..,,,, yaan kweli ulinganishe japan yenye GDP ya 5.06 Trillion na Qatar yenye 194 Billion (kifupi katari ni tanzania iliyo changamka n mara tatu ya GDP yetu ya 62B)
 

Attachments

  • E8642692-C082-4F2C-8DC8-82786957466D.jpeg
    129.3 KB · Views: 2
  • 355A6B46-9171-4A53-A718-200AFC41A92D.jpeg
    140.3 KB · Views: 2
Gdp ni pato la Taifa, mataifa yenye population kubwa yana GDP kubwa, mfano India GDP yao ni 2.6 Trilion usd, ni kubwa sana ila Wananchi ni Masikini, hivyo GDP si kipimo kizuri cha Hali ya wananchi.

GDP per capita ama PPP per capita ama House hold income ni kipimo kizuri cha utajiri wa wananchi. Vyema ungeweka data hizo utaona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…