Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Katiwe viuno na gigy,kitu nta tofauti na mabwawa ya kwaoMwache aje ajifunze kula chips mayai
Nyie wahutu wa Rwanda mtakandwayani tanzagiza atishane na bosi wake?
Kwahiyo Boss wetu ni Rwanda?yani tanzagiza atishane na bosi wake?
Ukimkataa ndio unachochea 🔥 zaidi.Si hadi akubaliwe?
KwannRwanda hawawezi itisha Tanzania hata kidogo...
Kwann
Katiwe viuno na gigy,kitu nta tofauti na mabwawa ya kwao
Ndio Nani huyo?aje tu atakutana na kipara ngoto mwana wa Sumbawanga anamsubiri pale getini, tangu jamaa atoke Lutindi Mental Hospital amekua mnyama sana mwache huyo tutamkabidhi kipara ngoto
Rwanda kw sasa ni hatari aisay ukubwa wa nchi si reason ya kushinda vita.Rwanda hawawezi itisha Tanzania hata kidogo...
Rwanda kw sasa ni hatari aisay ukubwa wa nchi si reason ya kushinda vita.
Vita ni vita tu Rwanda wako vizuri kwa sasa we nieleze Tanzania kapigana vita ya mwisho lini?
Kupeleka baadhi ya wanajeshi wa kikosi kimoja kupigana na M23 si reason ya kuamini sana JWTZ
We huoni Rwanda alivyo wasaidia Msumbiji, wako vizuri sana