Chagga King
JF-Expert Member
- Jul 6, 2011
- 1,866
- 1,076
hujui kituRwanda kw sasa ni hatari aisay ukubwa wa nchi si reason ya kushinda vita.
Vita ni vita tu Rwanda wako vizuri kwa sasa we nieleze Tanzania kapigana vita ya mwisho lini?
Kupeleka baadhi ya wanajeshi wa kikosi kimoja kupigana na M23 si reason ya kuamini sana JWTZ
We huoni Rwanda alivyo wasaidia Msumbiji, wako vizuri sana
Hamuwezi kufikiri nnje ya hapo,Katiwe viuno na gigy,kitu nta tofauti na mabwawa ya kwao
Wapi nje ya hapo unapopajua!?Hamuwezi kufikiri nnje ya hapo,
Mafunzo ya jeshi la Rwanda yamepatikana Monduli,mwanafunzi hawezi kuzidi mwalimu.Achana na mambo ya kizamani ya kupigana, sikutaka kutaja bali ni intelijensia...
Rwanda ni wadogo sana kwa Tanzania, mbinu zao zote zinajulikana, mwisho wa siku PK amebaki kucheza mind games tu...
Idiotyani tanzagiza atishane na bosi wake?
Amewasaidia nini msumbijiRwanda kw sasa ni hatari aisay ukubwa wa nchi si reason ya kushinda vita.
Vita ni vita tu Rwanda wako vizuri kwa sasa we nieleze Tanzania kapigana vita ya mwisho lini?
Kupeleka baadhi ya wanajeshi wa kikosi kimoja kupigana na M23 si reason ya kuamini sana JWTZ
We huoni Rwanda alivyo wasaidia Msumbiji, wako vizuri sana
Hauna ulijualo wewe kula,jamba ulale.Rwanda kw sasa ni hatari aisay ukubwa wa nchi si reason ya kushinda vita.
Vita ni vita tu Rwanda wako vizuri kwa sasa we nieleze Tanzania kapigana vita ya mwisho lini?
Kupeleka baadhi ya wanajeshi wa kikosi kimoja kupigana na M23 si reason ya kuamini sana JWTZ
We huoni Rwanda alivyo wasaidia Msumbiji, wako vizuri sana
Rwanda ni nchi ya kishetani had saizi washaua watu 12milionHello!
Majuzi nchi ya Rwanda imemteua aliyekuwa mkuu wa Majeshi kuwa Ambassador nchini Tanzania, huku Tanzania kwa mfululilizo tukiwapeleka ma Meja Jenerali kuwa mabalozi nchini Rwanda.
Je, nchi hizi 2 zinatishana ?
Je, kuna nini kinaendelea?
Ni sawa nchi za ukanda mmoja (East Africa countries) kufanyiana umafia hivi?
View attachment 2922211
Sisi Tz Huwa hatupendi vurugu, ila ukizitaka unazipatayani tanzagiza atishane na bosi wake?
Nchi ikishakuwa landlocked haina ujanja kabisa.Rwanda kw sasa ni hatari aisay ukubwa wa nchi si reason ya kushinda vita.
Vita ni vita tu Rwanda wako vizuri kwa sasa we nieleze Tanzania kapigana vita ya mwisho lini?
Kupeleka baadhi ya wanajeshi wa kikosi kimoja kupigana na M23 si reason ya kuamini sana JWTZ
We huoni Rwanda alivyo wasaidia Msumbiji, wako vizuri sana
Hamna kitu cha ajabu mwanajeshi kuteuliwa balozi ni kitu cha kawaida tu.Zambia hapo tuna balozi wetu Major Generali Mkingule unasemaje kwa hiyo.tuna bifu na Zambia? Namibia tulipeleka murugenzi mkuu wa usalama wa Taifa kuwa balozi unasemaje tuna bifu na NamibiaHello!
Majuzi nchi ya Rwanda imemteua aliyekuwa mkuu wa Majeshi kuwa Ambassador nchini Tanzania, huku Tanzania kwa mfululilizo tukiwapeleka ma Meja Jenerali kuwa mabalozi nchini Rwanda.
Je, nchi hizi 2 zinatishana ?
Je, kuna nini kinaendelea?
Ni sawa nchi za ukanda mmoja (East Africa countries) kufanyiana umafia hivi?
View attachment 2922211
Kwani Rwanda vita gani kubwa waliyowahi kupigana wakashinda zaidi ya vita ya wenyewe kwa wenyewe ndani ya Rwanda? Yaani wanashindana wenyewe kwa wenyewe kundi moja linatwanga lingine ndani ya nchi yaoVita ni vita tu Rwanda wako vizuri kwa sasa we nieleze Tanzania kapigana vita ya mwisho lini?
Sio kweli hata sisi viongozi wa juu wa serikali na majeshi yote na dini na taasisi za kiraia nk wakionekana bado wana akili timamu na ni potential na wana uwezo wa kuendelea kushauri hupangiwa balozi ili kuendelea kuchota hekima zao kukiwa na kitu kinahitaji ushauri wa experience zao kuliko kuwaacha tu majumbani huko wakilewa tu pombe na kulala mpaka akili zinaharibikaKwa kweli
Mmesahau mtu akiogopewa au kupinga mambo anapelekwa kuwa balozi?
Mbona haya tunayaona sana na wala si ajabu
Kaonekana ni hatari labda who knows
Na Michepuko ya KizaramošMwache aje ajifunze kula chips mayai
Military AttachƩ?Sio kweli hata sisi viongozi wa juu wa serikali na majeshi yote na dini na taasisi za kiraia nk wakionekana bado wana akili timamu na ni potential na wana uwezo wa kuendelea kushauri hupangiwa balozi ili kuendelea kuchota hekima zao kukiwa na kitu kinahitaji ushauri wa experience zao kuliko kuwaacha tu majumbani huko wakilewa tu pombe na kulala mpaka akili zinaharibika
Hata nchi zilizoendelea hufanya hivyo mfano hata sisi tulishakuwa na balozi mchungaji mstaafu wa Marekani Mchungaji Stith kama balozi wa Marekani Tanzania .Na aliisaidia sana Tanzania kwenye mambo ya soko la AGOA nk la bidhaa zetu
Hivyo vitu viko hadi nchi zilizoendelea
Ni kitu cha kawaida sana mbona kupokea balozi mstaafu toka sekta yeyote nchi yeyote