Tanzania na Uganda ni ndugu, vipi kuhusu Kenya?

wacha tusubiri tuone ila nina maarifa kuwa huyu jamaa wanjigi ana uhusiano mkubwa sana na Raila odinga na hata yeye ni mfadhili mkubwa wa NASA...jamaa pia ni mkora flani mbaya...
ni kweli kabisa nguvu ya pesa na mipango baada ya ushindi kama wakiingia ni noma...kwa kifupi ufadhili huu si wa mazuri hata kindogo...huyu Wanjigi ameleta mahackers kutoka China...ngoja tuone mpaka Jumatano nane mbabe
 
Wakenya mpaka leo wanazuia bidhaa za Tanzania kwenda kenya ila wao wanaleta. Typical them

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kidosho ndio kitu gani!? Ondoa lugha za wakikuyu humu.
Kidosho ni kiswahili wewe,acha ukabila! Haimaanishi si kiswahili kwasababu hujui. Kubali kufunzwa lugha bana. Kidosho ni msichana mrembo. Sasa umejua.
 
Leo katika uzinduzi wa mradi mkubwa wa kwanza duniani, bomba la mafuta ghafi toka Uganda kuja Tanzania. Rais Yoweri Kaguta Museven amesema Tanzania na Uganda ni ndugu na sio marafiki. Vipi hawa jamaa zetu kutoka kenya tuwaiteje!?

Naomba mnisaidie.
Muulize Leigwanani Lowassa, kahamishia shughuli za siasa za chadema nchini Kenya
 
Nchi yenye ukaribu na Tanzania ni Kenya pekee. Hizo nchi zingine ni jirani tu.
 
Pamoja na undugu na Uganda , Kenya ndio mwekezaji mkubwa Tanzania. Huo ndio ukweli.
 
..Uganda ni ndugu na Tanzania.

..Uganda pia ni ndugu na Kenya.

..Kenya ni washindani wa Tanzania ktk biashara.

..kwa hiyo siyo ajabu kutokea mivutano/mikwaruzano ya mara kwa mara.
 
Africa wote ni ndugu lakini kenya ni jirani.
hivi kipindi kile hawa Waganda walijiunga na Kenya na Rwanda na Sudan na kuanzisha Coalition of the willing mbona nao walisema ni ndugu...na ndio maana mpaka sasa Mkenya au Mrwanda au Mganda hutumia kitambulisho baada ya Passpoti pindi wanapotembeleana...Burundi na Tanzania hawakujiunga kwenye huo mpango...kwa kufupi huu undugu ni wa maslahi tu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…