Tanzania nafasi ya pili kwa usalama wa mtandaoni, nafasi ya 6 kwa gharama nafuu Afrika

Tanzania nafasi ya pili kwa usalama wa mtandaoni, nafasi ya 6 kwa gharama nafuu Afrika

John Haramba

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2022
Posts
365
Reaction score
1,374
Tanzania imeshika nafasi ya Pili kati ya nchi 43 za Barani Afrika zilizoshiriki kwenye dodoso kuhusu Usalama Mtandaoni, lililoandaliwa na Global Cybersecurity Index (GCI).

Pia, kati ya Nchi 155 Ulimwenguni, Tanzania inashika nafasi ya 21 kwa unafuu wa gharama za kununua GB 1.

Aidha, Tanzania inashika nafasi ya 6 kwa unafuu zaidi wa gharama ya data kati ya Nchi 55 Barani Afrika.

Takwimu hizo zimetolewa na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Dkt. Jabiri K. Bakari wakati akizungumza kwenye mjadala kuhusu Maendeleo katika Sekta ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, katika kipindi cha Mwaka mmoja wa utendaji wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan.

274269902_152782497123008_6511539888459141060_n.jpg
 
Tanzania imeshika nafasi ya Pili kati ya nchi 43 za Barani Afrika zilizoshiriki kwenye dodoso kuhusu Usalama Mtandaoni, lililoandaliwa na Global Cybersecurity Index (GCI).

Pia, kati ya Nchi 155 Ulimwenguni, Tanzania inashika nafasi ya 21 kwa unafuu wa gharama za kununua GB 1.

Aidha, Tanzania inashika nafasi ya 6 kwa unafuu zaidi wa gharama ya data kati ya Nchi 55 Barani Afrika.

Takwimu hizo zimetolewa na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Dkt. Jabiri K. Bakari wakati akizungumza kwenye mjadala kuhusu Maendeleo katika Sekta ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, katika kipindi cha Mwaka mmoja wa utendaji wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan.

View attachment 2124851
Tumepigwa
 
Taarifa yenyewe imetolewa na Tcra, ya wabongo kwa kujipa kiki ni hatari,, kama siyo za kupikwa sijui,,
Unafuu wa bando unaendana na kipato cha mwananchi au ndiyo blalaa blalaa tu,, kuanza turudi ni wangapi kwa umaskini??
 
Taarifa yenyewe imetolewa na Tcra, ya wabongo kwa kujipa kiki ni hatari,, kama siyo za kupikwa sijui,,
Unafuu wa bando unaendana na kipato cha mwananchi au ndiyo blalaa blalaa tu,, kuanza turudi ni wangapi kwa umaskini??
Hata hizo Nchi za Ulaya hawana premium hii Ya Bundle, Tuna Bundle bei rahisi sana, Huwa naandika mara nyingi humu. Mimi natumia Tigo post Paid bundle ni rahisi kuliko hizo zilizoandikwa hapo. Unapata Hadi GB 30 kwa 25,000 ina maana kila GB ni kama shilingi 830.

Nenda Kenya ama Uganda hapo utaona mziki wake Bundle zilivyo Ghali.

Tulichokuwa tunamiss Tanzania ni Broadband za majumbani, na sio mobile data.

Hata hizo Broadband siku hizi pia tunajitahidi zipo Adsl za TTCL hadi 25,000 kwa mwezi unapata 4mbps.

Na kuhusu suala la kipato sidhani kama Ni hoja unless kampuni iwe ya serikali na inapokea Ruzuku Kama TTCl. Vifaa Vya Internet ni Ghali hawawezi wakafanya Biashara kwa hasara.
 
Hata hizo Nchi za Ulaya hawana premium hii Ya Bundle, Tuna Bundle bei rahisi sana, Huwa naandika mara nyingi humu. Mimi natumia Tigo post Paid bundle ni rahisi kuliko hizo zilizoandikwa hapo. Unapata Hadi GB 30 kwa 25,000 ina maana kila GB ni kama shilingi 830.

Nenda Kenya ama Uganda hapo utaona mziki wake Bundle zilivyo Ghali.

Tulichokuwa tunamiss Tanzania ni Broadband za majumbani, na sio mobile data.

Hata hizo Broadband siku hizi pia tunajitahidi zipo Adsl za TTCL hadi 25,000 kwa mwezi unapata 4mbps.

Na kuhusu suala la kipato sidhani kama Ni hoja unless kampuni iwe ya serikali na inapokea Ruzuku Kama TTCl. Vifaa Vya Internet ni Ghali hawawezi wakafanya Biashara kwa hasara.
Sema kabla ya Zungu tulikuwa na gharama za chini zaidi. Na hili ni jambo zuri maana internet ni muundombinu kama barabara.

Hiyo GB 30 kwa 25,000 unapataje?
 
Sema kabla ya Zungu tulikuwa na gharama za chini zaidi. Na hili ni jambo zuri maana internet ni muundombinu kama barabara.

Hiyo GB 30 kwa 25,000 unapataje?
Unaenda Tigo kwa mara ya kwanza wanakuweka Post paid halafu kila mwezi utakua unalipia kwa Tigopesa.

Ni kweli Mkuu gharama zimepanda compare na Awamu ya nne, nilikuwa tu Naweka sana Ki mobile data even now Gharama ni nafuu compare na Nchi nyingi Duniani.
 
Unaenda Tigo kwa mara ya kwanza wanakuweka Post paid halafu kila mwezi utakua unalipia kwa Tigopesa.

Ni kweli Mkuu gharama zimepanda compare na Awamu ya nne, nilikuwa tu Naweka sana Ki mobile data even now Gharama ni nafuu compare na Nchi nyingi Duniani.
Hii nzuri sana. Maana nanunua GB1 kwa 1500 hiyo ya 830 ni nafuu sana, kuwaibia kabisa! Ntaenda waniunge.
 
Hata hizo Nchi za Ulaya hawana premium hii Ya Bundle, Tuna Bundle bei rahisi sana, Huwa naandika mara nyingi humu. Mimi natumia Tigo post Paid bundle ni rahisi kuliko hizo zilizoandikwa hapo. Unapata Hadi GB 30 kwa 25,000 ina maana kila GB ni kama shilingi 830.

Nenda Kenya ama Uganda hapo utaona mziki wake Bundle zilivyo Ghali.

Tulichokuwa tunamiss Tanzania ni Broadband za majumbani, na sio mobile data.

Hata hizo Broadband siku hizi pia tunajitahidi zipo Adsl za TTCL hadi 25,000 kwa mwezi unapata 4mbps.

Na kuhusu suala la kipato sidhani kama Ni hoja unless kampuni iwe ya serikali na inapokea Ruzuku Kama TTCl. Vifaa Vya Internet ni Ghali hawawezi wakafanya Biashara kwa hasara.
Nadhani umehesabu wenye ajira za kueleweka. Hiyo 25k kwa mtu anayelipwa 270k kima cha chini anaiwezaje na maisha yalivyopanda hivi?

Tatizo purchasing power iko chini. Sina hakika tuliolingamishwa nao uwezo wa mananchi kununua na mfumuko wa bei huko kwao ukoje.

Ukiangalia bei pekee ni rahisi kuja na wrong conclusion
 
Nadhani umehesabu wenye ajira za kueleweka. Hiyo 25k kwa mtu anayelipwa 270k kima cha chini anaiwezaje na maisha yalivyopanda hivi?

Tatizo purchasing power iko chini. Sina hakika tuliolingamishwa nao uwezo wa mananchi kununua na mfumuko wa bei huko kwao ukoje.

Ukiangalia bei pekee ni rahisi kuja na wrong conclusion
Broadband unaweza kushare tofauti na mobile data. Mtu mwenye mshahara wa 270k definetely Hakai kwenye Villa ama jumba kubwa, pengine ana chumba ama space ndogo na amezungukwa na watu wengi. Anatafuta mwenzake mmoja wana share hio 25k.

Kkoo hapa hadi machinga siku hizi wanatumia Zuku. Inachangwa elfu 5 ama 10 watu kama 20 hivi inavutwa 50mbps ama 100mbps kila alielipa anapewa password, maisha yanaenda.

Na TTCL ameeka Bei 25K sababu ni Kampuni ya Serikali haipo profit oriented, Ni almost Impossible kwa Kampuni ya private kufanya hio kazi hailipi.
 
Back
Top Bottom