Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji2] kabisa mkuu.Hahaha kaaazi kweli kweli
Isome tena, so mna akili kuliko watanzania wote?Kwani comment yangu nimetukana mtu mkuu?
Wewe mwenyewe huamini hizo takwimu za kipuuzi. Unajua zimejumuisha nini zikawekwa hapo au unachekelea tu kwa vile umeona No.1 na mbele yake kuna Tanzania? Uchumi gani unaouona wewe umekuwa? Kwa maisha yapi ya Watanzania yaliyoboreka hadi uje utukane watu hapa? Kawaulize waliokutuma maana ya "uchumi jumuishi"
Nawashwa UBOHO!!Kwa hiyo wewe kinakuwasha nini hata kama ikiwekwa hapa tena?
Nilitegemea ungeniita nije niusugulie kwako??basi kaa kimya dogo,comment za facebook ziache huko huko facebook..!!!HAPA NI JAMII FORUM kwa watu wenye akili timamu!Basi uingize nyuma kwako kama ulivyozoea!
Nilitegemea ungeniita nije niusugulie kwako??basi kaa kimya dogo,comment za facebook ziache huko huko facebook..!!!HAPA NI JAMII FORUM kwa watu wenye akili timamu!
Acha utoto mpumbav.u wewe!!Kwa bahati mbaya mimi siyo gay, hivyo unaweza kujiingiza mwenyewe!
Hiyo report ya kingereza watu wengi humu hawaelewi ndio maana hata michango yao imekaa kisiasa...waache tuu hivo hivosoma vizuri ndo uje uchangie. hawasemi ukubwa wa GDP bali wanaongelea mgawanyo wa GDP.
Hiyo report ya kingereza watu wengi humu hawaelewi ndio maana hata michango yao imekaa kisiasa...waache tuu hivo hivo
Waulize UN, hapa tunazungumzia kazi iliyofanywa na magwiji wa kidunia, wenye akili level ya dunia, sio wenye kufikiria kula na kunya.Wewe mwenyewe huamini hizo takwimu za kipuuzi. Unajua zimejumuisha nini zikawekwa hapo au unachekelea tu kwa vile umeona No.1 na mbele yake kuna Tanzania? Uchumi gani unaouona wewe umekuwa? Kwa maisha yapi ya Watanzania yaliyoboreka hadi uje utukane watu hapa? Kawaulize waliokutuma maana ya "uchumi jumuishi"
Umesema toka JPM aingie madarakani report zina tu favour!! Report zinasema uchumi wa Tz umekua kwa average ya 7% kwa miaka 15 iliyopita kuanzia 2016 kurudi nyuma. Ila umekua kwa chini ya 7% baada ya 2016 na baadhi ya projections zinaonyesha utakua hivyo for next few years.Ogopa sana hizi report zenye kuisifia nchi especially kwa nchi inayowabana wazungu na wezi wengine km ya kwetu hasa awamu hii.
Hizo report sio za kuzichekea hata Cku moja, mataifa ya magharibi wanajua sana propaganda hasa za kuwafurahisha viongozi wasiowataka na wanaotafutiwa sababu za kulegeza msimamo au kuwamaliza!
Tangu Dk JPM aingie madarakani na kuanza kuwabana wazungu kumekuwa na kila aina ya report kutusifia, Mara, uchumi wetu unakua kwa kasi zaidi Africa, Mara jpm Rais Bora Africa....
Hii ni hatari sana, wanajaribu kumlegeza awe km viongozi wengine wa Africa ili wafanye wanachotaka wao
Nimeona imewekewa N/A yaani "Not Ask" about this shithole country[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Badilisha bandiko lako weka Sub Sahara Africa na si Africa nzima...maana Tunisia na Algeria wametuacha mbali....World Economic Forum imeitaja Tanzania kuwa nchi namba moja kwa mwaka 2018 katika UCHUMI JUMUISHI (Inclusive Economy) katika nchi za Africa, ikishika namba 48 katika Emerging Economies duniani!
Pongezi za dhati zimfikie rais wetu Dkt. John Pombe Magufuli kwa kuishi na kutekeleza ahadi alizotoa kwa watanzania mwaka 2015 alipoahidi kuhakikisha UCHUMI WA TANZANIA UNAMILIKIWA NA WATANZANIA WOTE NA SIO WATU WACHACHE TU!
Hongera kwa watanzania wote kwa kuendelea kuchapa kazi na kuhakikisha uchumi wetu unakua, lakini pia kwa sekta zote kuzidi kushirikiana ili kuleta maendeleo kwa watanzania wote.
![]()
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Be smart dude[emoji23] [emoji23] [emoji23]Lol...ati 'Not Ask''! 😀😀 N/A means ''Not Applicable''
chuki haijengi bali inabomoa,,ndugu yangu dunia inaona kama wewe huoniHuo uchumi umejumuisha magu, bashite, le kibamia, jenny muro, chakubanga etc.