joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]N/A-Not Available or Not Applicable
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]N/A-Not Available or Not Applicable
Kitendawili...62% ya mali ya watu 45milioni inamilikiwa na watu 8300 pekee!!!!!Wanaume wanawasifia mlivyowajumuisha katika kula nchi yenu mpaka makinika.
Hamna choyo nao.
Hata kàbla Magufuli hajaingia madarakani, uchumi wetu ulikuwa vizuri, na unaendelea,Magu anasifiwa na mataifa yote, ikiwemo kenya.Ogopa sana hizi report zenye kuisifia nchi especially kwa nchi inayowabana wazungu na wezi wengine km ya kwetu hasa awamu hii.
Hizo report sio za kuzichekea hata Cku moja, mataifa ya magharibi wanajua sana propaganda hasa za kuwafurahisha viongozi wasiowataka na wanaotafutiwa sababu za kulegeza msimamo au kuwamaliza!
Tangu Dk JPM aingie madarakani na kuanza kuwabana wazungu kumekuwa na kila aina ya report kutusifia, Mara, uchumi wetu unakua kwa kasi zaidi Africa, Mara jpm Rais Bora Africa....
Hii ni hatari sana, wanajaribu kumlegeza awe km viongozi wengine wa Africa ili wafanye wanachotaka wao
Ni 55 million owned by Dewji and Bakhressa.Kitendawili...62% ya mali ya watu 45milioni inamilikiwa na watu 8300 pekee!!!!!
[emoji23][emoji23][emoji23]Wale mifugo hapa hawawez kuja ktk hii thread
Mtanzania anaepinga mafanikio yetu huyo ni msaliti tu. Watu kama hao hatupaswi kuwapa nafasi hapa na niwawakukemewa kwa nguvu zote. Siasa zisifanye tuhujumu nchi yetu.halafu pia wanaongozwa na hisia za chuki. yaani hawataki kusikia MAMBO yanaenda VIZURI chini ya utawala huu. wamejawa na visasi mioyoni mwao. hilo linajionesha WAAZI kwa ukosoaji wao wa kila jambo ambalo linafanyika chini ya JPM. mimi binafsi simkatalii kuwa HANA makosa, lkn nitapingana mpaka kesho aksubuhi na MTU AWAYE YOTE yule ANAYESEMA JPM ANAKOSEA KILA JAMBO ANALOFANYA.
Kenya na South Africa uchumi unamilikiwa na wazunguViva tz kumbe dunia inaona juhudi zetu na ujamaa wetu...nafurahi tunapanda wote cio ka nchi fulan jiran uchumi umeshikiliwa na watu kumi
Kitendawili...62% ya mali ya watu 45milioni inamilikiwa na watu 8300 pekee!!!!!
Wapangaji tu wengne wamepangishwa kwenye nchi yao hahahahahduu you must be joking. so the rest are wapagazi.
We jamaa unapoiita nchi ya ki africa shithole kumbuka na ww ni mwafrica pia wacha kuwa nyenyekea sanaaaaa wazungu mkuu jali UZALENDO WAKO KWANZA KAMA MUAFRICA.Nimeona imewekewa N/A yaani "Not Ask" about this shithole country[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hapo Tz si kina Bakhressa na Dewji ndiyo wamiliki wa uchumi wenu mdogo.Kenya na South Africa uchumi unamilikiwa na wazungu
Hakuna MTZee mweusi ana mali ukilinganisha na waHindi na Waarabu:
Haroon Zakaria
Yusuf Manji
Abdulaziz Abood
Yogesh Manek
Salim Turky
Fida Hussein Rashid
Ghalib Said Mohamed
Shubash Patel
Shekhar Kanabar
Ally Awadh
Native Tanzanians are peasants.so WHAT do you want to SAY.
ok so WHAT!!?Native Tanzanians are peasants.
Pewa hii piaKitendawili...62% ya mali ya watu 45milioni inamilikiwa na watu 8300 pekee!!!!!
ok so WHAT!!?
You belong to the world's most poverty stricken Nations yani LDC... Hasira Peleka Manzese.ok so WHAT!!?
meza kama dodoki.Pewa hii pia
The SGR War: MagufuliKagame vs MuseveniKenyatta ni Vita Kubwa!. Who Will Win, Loose or Its Win Win Situation?.
Hahahahahahaha yani only 20% ya Tanzanians are above poverty bila kuwatoa Waarabu, WaHindi, Wazungu na Wakenya...Hahahahahahaha and Hahahahahahaha.
Hee kuna watu hadi Leo hii wanafurahia Sera zilizoshindwa za ujamaa? Ukifaulu kuwa inclusive kwenye free market ni mafanikio makubwa maana under market economy uchumi unakua na fursa zinafunguka but under closed economy kila kitu kinakufaViva tz kumbe dunia inaona juhudi zetu na ujamaa wetu...nafurahi tunapanda wote cio ka nchi fulan jiran uchumi umeshikiliwa na watu kumi