Tanzania namba 7 kwa matajiri Afrika

Tanzania namba 7 kwa matajiri Afrika

Rockefeller

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2016
Posts
1,209
Reaction score
2,243
Ripoti ya "The wealth report" inayoandaliwa na kampuni ya Knight Frank ya Uingereza ya 2022 inaonesha Tanznia ni nchi ya 7 Afrika kwa utajiri binafsi na kuwa na bilionea pekee Afrika Mashariki na kati.

Idadi ya mamilionea wa dola yaani watu wenye utajiri wa kuanzia dola za Marekani 1,000,000 (TSh 2,330,000,000) ni 2,599 huku wenye utajiri wa dola za marekani 10,000,000 (Tsh 23,000,000,000) ni 80, wenye kuanzia $100,000,000 (Tsh 233,000,000,000) ni watu 8 na mwenye 1,000,000,000 (Tsh 2,333,000,000,000) ni mmoja. Jumla Tanzania ina utajiri binafsi dola za marekani 59,000,000,000 (Tsh 130,670,959,999,999.98) zaidi ya shilingi trilioni 130.

Jumla ya matajiri nchini ni 2688 ambao ni sawa na asilimia 0.0044% ya watanzania wote. Hawa ndio wapo busy kutengeneza pesa hawahangaiki na mambo ya kufinyiwa kwa ndani wala mambo ya aftatu!
 
Ripoti ya "The wealth report" inayoandaliwa na kampuni ya Knight Frank ya Uingereza ya 2022 inaonesha Tanznia ni nchi ya 7 Afrika kwa utajiri binafsi na kuwa na bilionea pekee Afrika Mashariki na kati.

Idadi ya mamilionea wa dola yaani watu wenye utajiri wa kuanzia dola za Marekani 1,000,000 (TSh 2,330,000,000) ni 2,599 huku wenye utajiri wa dola za marekani 10,000,000 (Tsh 23,000,000,000) ni 80, wenye kuanzia $100,000,000 (Tsh 233,000,000,000) ni watu 8 na mwenye 1,000,000,000 (Tsh 2,333,000,000,000) ni mmoja. Jumla Tanzania ina utajiri binafsi dola za marekani 59,000,000,000 (Tsh 130,670,959,999,999.98) zaidi ya shilingi trilioni 130.

Jumla ya matajiri nchini ni 2688 ambao ni sawa na asilimia 0.0044% ya watanzania wote. Hawa ndio wapo busy kutengeneza pesa hawahangaiki na mambo ya kufinyiwa kwa ndani wala mambo ya aftatu!
Kufinyiwa ndani ni kitu gani mwamba?
 
List haijawekwa kwenye ripoti labda utusaidie kuwataja chief!
Wamejuaje idadi na utajiri wa watu binafsi? Taarifa za fedha zilizoko benki ni siri kati ya account holder na service provider wake. Labda hao Knite Frank watueleze wamepata wapi hizo taarifa?

Pia tunaomba utuwekee link ili tujisomee wenyewe. Maana yule mkalimani wa kwenye msiba wa Magufuli alituachia somo kubwa sana
 
Nchi ya mazwazwa lazima utengeneze hela, ukishindwa kutengeneza pesa Tanzania huko kwingine ni kupuyanga, no place like home.
 
Wamejuaje idadi na utajiri wa watu binafsi? Taarifa za fedha zilizoko benki ni siri kati ya account holder na service provider wake. Labda hao Knite Frank watueleze wamepata wapi hizo taarifa?

Pia tunaomba utuwekee link ili tujisomee wenyewe. Maana yule mkalimani wa kwenye msiba wa Magufuli alituachia somo kubwa sana
Utajiri hupimwa kwa asset anazo miliki mtu, hii ni ripoti ya dunia nzima nadhani ndio maana hawajaweka majina.

 
Ripoti ya "The wealth report" inayoandaliwa na kampuni ya Knight Frank ya Uingereza ya 2022 inaonesha Tanznia ni nchi ya 7 Afrika kwa utajiri binafsi na kuwa na bilionea pekee Afrika Mashariki na kati.

Idadi ya mamilionea wa dola yaani watu wenye utajiri wa kuanzia dola za Marekani 1,000,000 (TSh 2,330,000,000) ni 2,599 huku wenye utajiri wa dola za marekani 10,000,000 (Tsh 23,000,000,000) ni 80, wenye kuanzia $100,000,000 (Tsh 233,000,000,000) ni watu 8 na mwenye 1,000,000,000 (Tsh 2,333,000,000,000) ni mmoja. Jumla Tanzania ina utajiri binafsi dola za marekani 59,000,000,000 (Tsh 130,670,959,999,999.98) zaidi ya shilingi trilioni 130.

Jumla ya matajiri nchini ni 2688 ambao ni sawa na asilimia 0.0044% ya watanzania wote. Hawa ndio wapo busy kutengeneza pesa hawahangaiki na mambo ya kufinyiwa kwa ndani wala mambo ya aftatu!
Na hao ndio vinara wa biashara haramu zote hapa nchini.
 
Utajiri hupimwa kwa asset anazo miliki mtu, hii ni ripoti ya dunia nzima nadhani ndio maana hawajaweka majina.

Kwa hiyo unataka kuniambia kwamba hela ni liability, sio?
 
Ripoti ya "The wealth report" inayoandaliwa na kampuni ya Knight Frank ya Uingereza ya 2022 inaonesha Tanznia ni nchi ya 7 Afrika kwa utajiri binafsi na kuwa na bilionea pekee Afrika Mashariki na kati.

Idadi ya mamilionea wa dola yaani watu wenye utajiri wa kuanzia dola za Marekani 1,000,000 (TSh 2,330,000,000) ni 2,599 huku wenye utajiri wa dola za marekani 10,000,000 (Tsh 23,000,000,000) ni 80, wenye kuanzia $100,000,000 (Tsh 233,000,000,000) ni watu 8 na mwenye 1,000,000,000 (Tsh 2,333,000,000,000) ni mmoja. Jumla Tanzania ina utajiri binafsi dola za marekani 59,000,000,000 (Tsh 130,670,959,999,999.98) zaidi ya shilingi trilioni 130.

Jumla ya matajiri nchini ni 2688 ambao ni sawa na asilimia 0.0044% ya watanzania wote. Hawa ndio wapo busy kutengeneza pesa hawahangaiki na mambo ya kufinyiwa kwa ndani wala mambo ya aftatu!
Unaaaa tuu wala hakuna lolotee

Zaidi hawa waarabu Koko walioridhi kwenye Biashara za watumwa
 
Back
Top Bottom