Tanzania National Identities (Vitambulisho vya Taifa)

Tanzania National Identities (Vitambulisho vya Taifa)

anashuru mahakama sasa...na kuahidi ushirikiano mzuri na serikali...sasa anazungumzia rushwa.
 
Ameingia kwenye rushwa sasa tusubili nini kinaendelea....
 
Yebo Yebo tuwasiliane. Maana naona kimya. Naona kupitia Jambo redio/RadioMaria na mimi ndiyo nimeipata.
 
kamshukuru lowasa, pinda makamu , karume kwa kumpa ushirikiano na kwenye sheria
 
This guy is not and never serious, pale Bungeni kaenda kufanya COMEDY tu. He is a National Comedian
 
Sasa hivi anaizungumzia takukuru na jinsi walivyoimarisha.

Kweli anatoa takwimu zilizorushwa na jamaa jana.

Duh!
 
Takukuru kila wilaya? Utabiri unaanza kutimia.. kale ka inzi ka data...
 
aliyosema yule jamaa kuhusu takukuru yamejiri ndo anaongelea sasa
 
sasa anasema aliyosema mzee aliyeanzisha hii thread kuhusu TAKUKURU eti kuanzisha ofisi za TAKUKURU .. anatoa data kuhusu watu waliochukuliwa sheria na TAKUKURU, inaonekana ameridhishwa na ufanisi wa TAKUKURU... hajasema nani wamechukuliwa sheria, hajasema mapapa wa rusha... sasa anasema kuhusu kuboresha sheria ya manunuzi... hajanikuna jamani
 
tunaendelea kufanyia uchunguzi rushwa kubwa!!!!!!!!!!! Thats it hakuna jipya
 
Back
Top Bottom