Tanzania National Identities (Vitambulisho vya Taifa)

Tanzania National Identities (Vitambulisho vya Taifa)

Am booking a plane ticket to Iraq.I would better spend my remainining days on earth there rather than being under the rule of this good for nothing fool!
 
hakuna chochote wakuu!! mkale chakula cha mchana tu. hii inataofauti gani na hotuba zake za mwezi?
 
yaani jk unaweza kusema ni raisi wa kisiwa kingine kabisa na sio nchi kama tanzania...hakuna hata moja alilotegemeWa kulichukulia hatua amelikamilisha.
 
ya nini kujengea wananchi tension kama huna cha maana cha kuwaambia?
 
Jamani watz tumeuawa!!! Yani rais ameongea tangu saa saa sita na robo hadi sasa hajazungumzia ufisadi? Yaani anaona ni jambo dogo sana eh? Hatuna rais hapa!

Ni usanii na kuchekacheka tu. I am bored stiff
 
am booking a plane ticket to iraq.i would better spend my remainining days on earth there rather than being under the rule of this good for nothing fool!


ndugu yangu iraq mbali unaweza tu kwenda rwanda, liberia au angola wao wako serious kuliko sisi tanzania.
 
naenda kulala... don't tell me I lost my sleep for this..

Mzee Mwanakijiji,

Ulikuwa unategemea nini? Unalijua jimbo la Chalinze? Uwezo wa mtu hauji kama ushindi wa lottery, mwenye uwezo anaonekana miaka mingi hata kabla ya kuwa kiongozi.
 
Anaowakumbatia sasa watamuumbua mwaka 2010, he has no idea who he is dealing with!!! Asian Tanzanians have costed us a fortune ... has costed million lifes of Tanzanias!!!
Ghooossshh for God's sake cant he run a country without Manji's and RA's money???

People we have got to put some sense in his brain ... just to let him know that is us villagers who suffer most because of his irresponsibility acts.
 
Hivi haya mapesa yote anayomwaga JK yanaenda wapi? Kumwaga pesa bila mipango ya maana ni kupoteza bure.

Capacity ni issue kubwa kwa TZ hasa kwenye serikali za mitaa.
 
The worst presdaaaaaa ever

NOOO!

Nimempa B+ kwenye Zanzibar sio nchi
Nikampa A kilimo na mbolea anayorudia rudia, tena inachukua muda mrefu kweli!

Nikampa B+ kwenye Budget tegemezi kupungua. Nikampa D kwenye thamani ya shillingi - kasema uongo
Nikampa D kwenye viwanda
Nikampa F kwenye rushwa na takukuru na waliochukuliwa hatua.

Ninangoja a submit somo la mwisho la EPA, Richmonduli, mikataba feki na ripoti ya tume ya madini.

Profesa nipo bado namuangalia huyu mwanafunzi wangu!

Tuendelee kumsikiliza kwenye hii presentation yake.
 
Je?Hii ni kuzima ripoti ya madini ya jaji bomani?Mbona zinasomwa takwimu lakini matendo hayaonekani mtaani?

Tusirudie makosa haya 2010. Almost two hrs speech full of ideal gas formula
 
sasa mbolea (ruzuku nk)
gesi wameomba wengi kuja kuchimba
tutakuwa wauzaji wa mbolea! nje

sasa utalii
 



ndugu yangu iraq mbali unaweza tu kwenda rwanda, liberia au angola wao wako serious kuliko sisi tanzania.

Nina hamu ya kusikiliza milipuko ya mabomu.I wish angejitolea mtu ajivishe aingie huko bungeni then ampe bonge la hug JK tujue moja maana nimeshajichokea
 
Nilisema kuwa samaki wadogo watatupwa huko BOT, halafu tutamchagua tena kwa kishindo, Ruhinda tayari amesharudishwa kwenye team, Tido Mhando yupo, Salva yupo, Rostam yuko tayari ku-finance tutapewa sharubati ushindi wa Tsunami,

Eeeh Muungwana weee, Mzee Wa Sharubati na wazee wa Chalinze, tuliyataka wenyewe haya ndugu zangu, bwa! ha! ha! ha! ha!
 
usipokuwa tayari kuliwa uli..uliwe kidogo utakula.Sasa wewe wataka kula bila ya kuliwa??
 
"usipokuwa tayari kuliwa kidogo huwezi kula...huwezi kutaka kula tu bila kuliwa...sina maana hiyo"....kweli raisi tunaye watanzania.
 
usipokubali kuliwa ' huli' msemo wa rais alafu anasema hana maana hiyo ipi tena. msanii huyu
 
Back
Top Bottom