Tanzania National Identities (Vitambulisho vya Taifa)

Tanzania National Identities (Vitambulisho vya Taifa)

Ni watu wanaofikiria huru kama mimi ndio wanaoweza kuchambua kwa haki... sio wale ambao mkate wao wanapatia kutoka CCM, au wale ambao wanategemea panapo 2010 na wao... wapate fedha za walipa kodi....

Kuna mambo ya msingi kabisa JK ambayo ameongelea... Nitataja machache!

1. Mchakato wa Sheria ya Uchaguzi (Election Financing) ndani ya vyama na wakati wa uchaguzi wa vyama... (hiyo mahafidhina hawajaona kwamba ni jambo jema)... by April 2009 sheria itakuwa imefikishwa bungeni.

2. Sheria ya kumpa au kuipa taasisi ya Mkaguzi mkuu wa Hesabu za Serikali Meno.

3. Kupitishwa kwa sheria mpya ya TAKUKURU.

4. Marekebisho ya Sheria ya EWURA.

5. Ukuaji wa Demokrasia na Uhuru wa maoni!

6. Fedha za EPA, kwenda kwenye TIB kuanzisha mtaji wa Kilimo, zingine kwenda kwenye ruzuku ya Mbolea na Dawa za Mifugo...

7. Chuo Kikuu cha Dodoma, Intake expected to 8,000 students, Kitila tukitoka Chuo kikuu cha Dar es Salaam tulikuwa kama 5,000/-

8. Ukuaji wa Utalii - mapato kutoka $600mi.. kwenda $1200mil and USA kuongoza kwa watalii.

9. Umeme kwa wilaya zote nchini except Nkasi at least by now... but they are working on it.

10. Amezungumzia barabara kwa undani... mwenye akili timamu anaweza kujua hilo.

11. Issue ya Zanzibar done.

12. Issue ya Richmond... out of the scope... waziri Mkuu ndiye ataipeleka Bungeni specific, hivyo hakutakiwa kuizungumzia.

13. Muafaka ni sehemu ambayo bado wako nyuma.

14. Mambo ya inflation ameongelea kwa namna ambayo hata mimi nilikuwa sikuwa fahamu adhari zinginge ukitegemea mimi nimesomea mifugo.

15. Michezo... focus tunapeleka kwenye riadha.

16. Amedumisha utawala bora... waliosikiliza alisoma mapendekezo ya CAG. na hatua alizochukua ikiwa pamoja na kuunda tume ya Mwanyika...kurudishwa kwa fedha...

My take kwenye hili... huu ndio ulikuwa mchezo wetu waTanzania wengi wa Kuiba... dawa ilikuwa baada ya fedha zetu kurudishwa.. tuachane nao tuendelee na shughuli zingine we have other priorities... mifano hii imefanyika sehemu nyingi duniani kwa watu makini...

South Africa: Baada ya ubaguzi Mandela alivyochukua nchi... hakuwapeleka wazungu magereza aliunda tume ya maridhiano mambo yakaisha.
Kenya: Baada ya mauaji... wanachofanya sio kupelekana magereza.
Zambia: walifanya tofauti... wakatimuana kila wakati... b'se of nonsense decision za Chiluba.
Hapa umejaa wivu na husuda tu,hutuba ya jakata ni imara na inasema ukweli tupu...hapa mmejawa na chuki kwa nini hawajafungwa....wivu tupu.hafungwi mtu na nchi inasonga mbele.
 
Kasheshe niliposema wanaoserve at the pleasure of the President ana uwezo wa kuwafukuza at will...

I couldn't expect a statement of this kind from a person like you! ingetoka kwa wale jamaa wengine ningekubali!!!

Let take this as weakness or strength depending on how you take it! Rais hapendi kumfunga mtu ati tu kwa kuwa yeye ni Rais... Ana uvumilivu ana subira na anahakikisha haki inatendeka.

Na amesema kufanya pupa kunaweza kufanya tuwazawadie wahalifu... alichosema... akimfukuza mtu... baada ya siku chache akirudishwa kazini kwa sheria za nchi akiambia serikali ilipe fidia... kwamba huu ni upuuzi....

Tusubiri madikteta wachukua nchi kwa yeye ameelezea vizuri pale alipokuwa amemtaja Dr. Slaa(Kwa utani) kwamba that is not something he will do... ndio maana tuna haki ya kujadili bila kuwaingilia ... na hata wengine wanafika kumtukana Mh. Rais... huu ni upuuzi.
 
Hapa umejaa wivu na husuda tu,hutuba ya jakata ni imara na inasema ukweli tupu...hapa mmejawa na chuki kwa nini hawajafungwa....wivu tupu.hafungwi mtu na nchi inasonga mbele.

..bila shaka, dereva tunaye!

..hofu yangu huko mbele isiwe ni kwenye korongo.
 
Ni watu wanaofikiria huru kama mimi ndio wanaoweza kuchambua kwa haki... sio wale ambao mkate wao wanapatia kutoka CCM, au wale ambao wanategemea panapo 2010 na wao... wapate fedha za walipa kodi....

Kuna mambo ya msingi kabisa JK ambayo ameongelea... Nitataja machache!

1. Mchakato wa Sheria ya Uchaguzi (Election Financing) ndani ya vyama na wakati wa uchaguzi wa vyama... (hiyo mahafidhina hawajaona kwamba ni jambo jema)... by April 2009 sheria itakuwa imefikishwa bungeni.

2. Sheria ya kumpa au kuipa taasisi ya Mkaguzi mkuu wa Hesabu za Serikali Meno.

3. Kupitishwa kwa sheria mpya ya TAKUKURU.

4. Marekebisho ya Sheria ya EWURA.


Zambia: walifanya tofauti... wakatimuana kila wakati... b'se of nonsense decision za Chiluba.

Nadhani sio marekebisho ya EWURA ila ni PPRA (Public Procurement Regulatory Authority).....kuhusu sheria za manunuzi
 
..kwahiyo?

..ndio limeisha?


Ndio mkuu... majibu zaidi... ambayo sijaandika mimi haya hapa

Na Kizitto Noya
RAIS Jakaya Kikwete amevunja ukimya na kumaliza mjadala wa hadhi ya Zanzibar kwa kusema kuwa, Zanzibar sio nchi bali kimataifa kuna nchi moja ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.


"Hivi kweli Watanzania tangu miaka 44 ya Muungano bado tunashindwa kuelewa kwamba zilizokuwa nchi mbili huru, Zanzibar na Tanganyika, ziliungana na kuunda nchi moja ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?" alihoji Rais Kikwete aliyeonekana kukunja uso.

Habari zaidi... bofya tofuti ya mwananchi
 
inaelekea kuna watu wanamasikio lakini hawasikii.wanamacho hawaoni.wanapua hawanusi.Aliyosema Rais ni mambo ya muhimu tupu.

Na suala la EPA hiyo ni njia sahihi.kwani kumfikisha mahakamani ni criminal offence.atafungwa na ataakiwa kulipa akitoka jela.serikali itakuwa imepata nini.

Bora hivyo walivyorudisha.Marangapi serikali imekuwa ikishindwa kesi.jee mlitaka iwe hivyo.Kwangu mimi hotuba ya kikwete imekata NGEBE za wazushi wote.ameeleza mafanikio na matatizo ya serikali yake katika kipindi cha miaka miwili.

Wa JF mnaonaje ntazamo wangu huo?
 
Duh, maspin docta wameingia humu lakini ni vituko! Kuna mtu wa kumtetea lakini siyo JK he is beyond salvation!!!
 
Nadhani sio marekebisho ya EWURA ila ni PPRA (Public Procurement Regulatory Authority).....kuhusu sheria za manunuzi

Ahsante: Ungeoza tu kwenye list.... say 17:

EWURA sheria pia ilibadilishwa kipindi chake ndio ilifanya EWURA iwe na meno...

In short haya ya kubadilisha sheria na kanuni ndio endelevu na yanaweza kusaidia nchi... siku zote mimi rafiki yangu mzuri na kiongozi mzuri ni wa kubadilisha mifumo... sio wa kutoa amri... kama mwanajeshi!

Ahsantye Mdau...


Tujadili Hoja... Tusijadili Watu...
 
inaelekea kuna watu wanamasikio lakini hawasikii.wanamacho hawaoni.wanapua hawanusi.Aliyosema Rais ni mambo ya muhimu tupu.Na suala la EPA hiyo ni njia sahihi.kwani kumfikisha mahakamani ni criminal offence.atafungwa na ataakiwa kulipa akitoka jela.serikali itakuwa imepata nini.Bora hivyo walivyorudisha.Marangapi serikali imekuwa ikishindwa kesi.jee mlitaka iwe hivyo.Kwangu mimi hotuba ya kikwete imekata NGEBE za wazushi wote.ameeleza mafanikio na matatizo ya serikali yake katika kipindi cha miaka miwili.Wa JF mnaonaje ntazamo wangu huo?

Ndugu yangu nisaidie... hapa JF kuna kundi kubwa linapenda kujadili watu...


Mimi namsupport sana Rais kwa kutofanya mambo ya kupeleka watu mahakami especially kwa jamii ambayo haya ndio yalikuwa maisha yao....

Nani asiyejua matajiri wengi walioinukia miaka ya kipindi cha mwinyi almost wote walikuwa wa mision town?

Dawa tumechukua hela zetu... na nitamlaumu sana rais kama hali kama hii itatokea tena mbeleni alafu mtu asipelekwe mahakamani... lakini kwa hapa... Mheshimiwa Rais tuko wananchi ambao kwa hakika tunajua ulichofanya ni sawa kabisa kuhusu EPA.
 
Ha ha ha Ho ho ho Bwaha ha ha. Nimepoteza masaa karibu manne kumsikiliza na kumwangalia JK akitoa hotuba.

Tabasamu na kicheko chake we acha tu. Sikuona mengine.
 
My take kwenye hili... huu ndio ulikuwa mchezo wetu waTanzania wengi wa Kuiba... dawa ilikuwa baada ya fedha zetu kurudishwa.. tuachane nao tuendelee na shughuli zingine we have other priorities... mifano hii imefanyika sehemu nyingi duniani kwa watu makini...

South Africa: Baada ya ubaguzi Mandela alivyochukua nchi... hakuwapeleka wazungu magereza aliunda tume ya maridhiano mambo yakaisha.
Kenya: Baada ya mauaji... wanachofanya sio kupelekana magereza.
Zambia: walifanya tofauti... wakatimuana kila wakati... b'se of nonsense decision za Chiluba.

Hapa nakuunga mkono ila na wezi wote walio jela na hata wa kutumia silaha nao waachiwe warudi mitaani tuanze upya, yaani nchi safi, maisha mapya hali mpya nguvu mpya kasi mpya.
 
Ndio mkuu... majibu zaidi... ambayo sijaandika mimi haya hapa

Na Kizitto Noya
RAIS Jakaya Kikwete amevunja ukimya na kumaliza mjadala wa hadhi ya Zanzibar kwa kusema kuwa, Zanzibar sio nchi bali kimataifa kuna nchi moja ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.


"Hivi kweli Watanzania tangu miaka 44 ya Muungano bado tunashindwa kuelewa kwamba zilizokuwa nchi mbili huru, Zanzibar na Tanganyika, ziliungana na kuunda nchi moja ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?" alihoji Rais Kikwete aliyeonekana kukunja uso.


Habari zaidi... bofya tofuti ya mwananchi

..baada ya siku kadhaa,utaelewa nini ninachokisema.

..kumbuka, nyerere hayupo!
 
Ha ha ha Ho ho ho Bwaha ha ha. Nimepoteza masaa karibu manne kumsikiliza na kumwangalia JK akitoa hotuba.

Tabasamu na kicheko chake we acha tu. Sikuona mengine.


Ni jambo la kawaida mkuu!!! tukiweka 10 kuangalia taarifa ya habari ya TV. wakimaliza hao watu kuangalia ukiwahoji umeona nini... wachache watakupa hoja.... wengi watakwamba mwandishi wa habari leo hakupendeza...

Soo it is normal.

Fanya tu kwamba uko kwenye kundi lipi...

Liliona hoja, au liliona Rais anacheka!
 
..baada ya siku kadhaa,utaelewa nini ninachokisema.

..kumbuka, nyerere hayupo!


Sawa mkuu kama unataka kujua nini maana ya Amri Jeshi Mkuu wa Tanzania... Endelea kusema hivyo, mimi simo!

Anyway... najua umeshaelewa...
 
Ndugu yangu nisaidie... hapa JF kuna kundi kubwa linapenda kujadili watu...


Mimi namsupport sana Rais kwa kutofanya mambo ya kupeleka watu mahakamani especially kwa jamii ambayo haya ndio yalikuwa maisha yao....

Nani asiyejua matajiri wengi walioinukia miaka ya kipindi cha mwinyi almost wote walikuwa wa mision town?

Dawa tumechukua hela zetu... na nitamlaumu sana rais kama hali kama hii itatokea tena mbeleni alafu mtu asipelekwe mahakamani... lakini kwa hapa... Mheshimiwa Rais tuko wananchi ambao kwa hakika tunajua ulichofanya ni sawa kabisa kuhusu EPA.

..hana uwezo huo,atawapelekaje?

..haya mengine ni maskhara sasa.
 
Back
Top Bottom