SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
Wakuu,
Pamoja na kwamba azma yamuanzishaji wa thread ilikuwa kuweka Vibweka vya Wakubwa (Mh.Membe na WM.Lowassa) kugombania tenda nafikiri bila kusudio, suala la National ID au sijui ID hususani nyakati hizi- za midahalo mingi inayozungumzia Ufisadi-linaweza kupita bila ya kujua nini kilichofanyika, Alas tis is a 'Game Theory'
My view ni Vibweka haswa, Tukija kwenye ID nitakubaliana na wachache na hoja, Timing.
Je ni wakati muafaka? Hakuna njia za kuboresha mifumo iliyopo?
Asante.
Pamoja na kwamba azma yamuanzishaji wa thread ilikuwa kuweka Vibweka vya Wakubwa (Mh.Membe na WM.Lowassa) kugombania tenda nafikiri bila kusudio, suala la National ID au sijui ID hususani nyakati hizi- za midahalo mingi inayozungumzia Ufisadi-linaweza kupita bila ya kujua nini kilichofanyika, Alas tis is a 'Game Theory'
My view ni Vibweka haswa, Tukija kwenye ID nitakubaliana na wachache na hoja, Timing.
Je ni wakati muafaka? Hakuna njia za kuboresha mifumo iliyopo?
Asante.