Tanzania National Identities (Vitambulisho vya Taifa)

Tanzania National Identities (Vitambulisho vya Taifa)

Naona anapiga mkwara watu kutumia uhuru kuongea,hapa atakuwa anaongelea JF
 
mmh epa report mpaka april next year au?? sijamwelewa hapo..help!

Spot on. Ndivyo nilivyoidaka. Ilikuwa miezi sita, ikawa nane. Sasa ni Aprili, Mwakani.

Kaacha Rushwa ghafla. Kageukia vyombo vya habari, anakomaa navyo... this is gibberish... kakwepa EPA..
 
magazeti yanapigwa mkwara sasa....the highlight of his speech i feel,maana naona hata munkari unampanda kwenye hili
 
Umuhimu wa vyombo vya habari kuwa huru na ameahidi kuendelea kutoa uhuru zaidi.
 
Anachekelea kidogo na kusema "Haki isiyo kuwa na wajibu ni upuuzi mtupu"... Kifuatacho sasa ni USHIRIKI WA WANAWAKE
 
Haki ya Mungu.........Cant believe this. Sasa Ni wanawake
 
EPA ziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii RICHMOND ziiiiiiiiiiiiiiiiiii ngoja tusubili labda ataongea mwishoni,,makofi yamepungua kwa mbaaali kabisa.
 
wengine tulisha sema hapa kwamba hakuna lolote mzee msanii ataendeleza usanii wake. Hapa rais hatuna!
 
anaanzisha mchakato wiki ijayo wa kuongeza wanawake kwenye uwakilishi 50% kwa 50% huyu jamaa kachoka...
 
kutobadilisha sheria za mchezo katikati ya mchezo!!!!!!!!!hili limekaaje?
 
Back
Top Bottom