Tanzania Nchi 1 ya JMT, Zanzibar Kujiita Nchi, Sio Uhaini?. Zanzibar Iadabishwe Kuondoa Ubatili wa Katiba Yake ili Tuitambue au Tumchelee Mwana Kulia?

Tanzania Nchi 1 ya JMT, Zanzibar Kujiita Nchi, Sio Uhaini?. Zanzibar Iadabishwe Kuondoa Ubatili wa Katiba Yake ili Tuitambue au Tumchelee Mwana Kulia?

Ili kuisoma hii makala yako pale mwananchi lazima ulipie kwanza. Lakini umeileta jf isomwe bure. Haitakuletea conflict na mwananchi?
Kwenye waandishi wa habari, kuna makundi matatu
  1. Kundi la kwanza media journalists, hawa ni waandishi waajiriwa wa media,wanabanwa na kanuni za ajira na wanapangiwa kazi。
  2. Kundi la pili ni correspondents na media freelances,hawa wanaandikia chombo kimoja,na wanalipwa na media husika hivyo wanafuata masherti
  3. Kundi la tatu ni the indepent freelance journalists, humo ndimo mimi nilimo, ni waandishi wa habari wa kujitegemea kwa kujitolea,hatupangiwi ,mimi naandikia magazeti 4, na vipindi vyangu narusha kwenye vituo 5 vya TV, sisi hatubanwi na kanuni zozote kwasababu tunaandika kwa kujitolea tuu for the love of it,and not for the gain from it。
P
 
Kwenye waandishi wa habari, kuna makundi matatu
  1. Kundi la kwanza media journalists, hawa ni waandishi waajiriwa wa media,wanabanwa na kanuni za ajira na wanapangiwa kazi。
  2. Kundi la pili ni correspondents na media freelances,hawa wanaandikia chombo kimoja,na wanalipwa na media husika hivyo wanafuata masherti
  3. Kundi la tatu ni the indepent freelance journalists, humo ndimo mimi nilimo, ni waandishi wa habari wa kujitegemea kwa kujitolea,hatupangiwi ,mimi naandikia magazeti 4, na vipindi vyangu narusha kwenye vituo 5 vya TV, sisi hatubanwi na kanuni zozote kwasababu tunaandika kwa kujitolea tuu for the love of it,and not for the gain from it。
P
Itakuwa upo vizuri sana Mkuu kimaokoto 😂😅👍🙏🙏
 
Hongera Mayalla,
Linapokuja swala kwa maslahi ya Taifa, kweli unasismama kwa maslahi ya Taifa! Kuandika tu ulichoandika, huku sio nyuma ya keyboard, inahitaji ujasiri.

Zanzibr iwe mkoa tu kama DSM, Morogoro, Mwanza kama kweli tuna nia njema na nchi hii. Hivi unajua Mhe.SSH kuwa tu Rais wa JMT, ni hekima za hali ya juu sana. Huenda haya yasiwe hivyo, huko mbeleni, ni viongozi wa sasa yeye Mhe. Rais wa JMT na yule wa zanzibar, tena na Mwenyezi Mungu alivyowatega, ni wao waamue sasa, nchi ya Zenji ife kama Tanganyika ilivyokufa, JMT 🇹🇿 ishamiri. Kwa vizazi vyetu vya leo na vijavyo. Wasipo ngamua hitajio hilo, ipo siku haitakuwa ilivyo leo!
Pumbafffff. Eti Zanzibar iwe mkoa.
Sahau iyo kitu.
It will never happen.
 
Wanabodi,
Makala yangu ya leo kwenye gazeti la Mwananchi.
View attachment 3174619

Kuna msemo wa Kiswahili usemao, mchelea mwana kulia , hulia yeye!. Makala hii ni swali "Tanzania ni nchi moja ya JMT, Zanzibar sio nchi bali ni sehemu ya JMT, kitendo cha Zanzibar kujiita nchi, huku imenyamaziwa, huu sio uhaini?, kitendo cha hali hii kuachwa bila kukemewa, huku sio kumchelea mwana kulia?, Je Zanzibar Iadabishwe kwa kulazimishwa kuondoa ubatili wa Katiba yake unaokwenda kinyume na katiba ya JMT, ili katiba ya JMT, iitambue katiba ya Zanzibar, au kwa vile tunaiogopa sana, bora tuu tuendelea kumchelea huyu mwana kulia?

Japo kimataifa Tanzania ni nchi moja ya JMT, chini ya serikali moja ya JMT, inayoongozwa na rais mmoja, rais wa JMT ambaye ni mkuu wa nchi, mkuu wa serikali na Amiri Jeshi Mkuu, lakini kitaifa Tanzania ni nchi moja yenye katiba mbili, katiba ya JMT na Katiba ya Zanzibar, yenye marais wawili, rais wa JMT na Rais wa Zanzibar, yenye mabunge mawili, Bunge la JMT na Baraza la Wawawakilishi, yenye mahakama mbili, Mahakama Kuu ya JMT, na Mahakama Kuu ya Zanzibar.

Japo Muungano wetu adhimu na adimu, ni muungano wenye nchi mbili zenye haki sawa na hadhi sawa ndani ya muungani licha ya ukubwa wa eneo la mshirika mmoja Tanzania Bara na udogo wa eneo la mshirika mwingine, Zanzibar, Katiba ya JMT, ndio katiba mama, na inaitambua katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984.

Katiba hiyo ya Zanzibar, ilifanyiwa marekebisho makubwa na kutoa toleo la mwaka 2010, lakini mpaka hivi leo ninapoandika hapa, Katiba ya JMT, imegoma kata kata kuyatambua marekebisho hayo ya Katiba ya Zanzibar na mpaka hii leo, bado katiba yetu hailitambui toleo la mwaka 2010 la ya Zanzibar iliyounda Serikali ya Umoja wa Kitaifa SUK, kutokana na baadhi ya vipengele vya katiba ya Zanzibar kukinzana na Katiba ya JMT.

Ibara ya kwanza ya Katiba ya JMT inasema “1. Tanzania ni nchi moja na ni Jamhuri ya Muungano.
Ibara ya pili ya katiba ya JMT inasema

2.-(1) Eneo la Jamhuri ya Muungano ni eneo lote la Tanzania Bara na eneo lote la Tanzania Zanzibar, na ni pamoja na sehemu yake ya bahari ambayo Tanzania inapakana nayo.

Ibara kwanza ya katiba ya Zanzibar inasema

1. Zanzibar ni Nchi ambayo eneo la mipaka yake ni eneo lote la Visiwa vya Unguja na Pemba pamoja na Visiwa vidogo vilivyoizunguka na bahari yake ambayo kabla ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ikiitwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar.

Ibara ya Pili ya katiba ya Zanzibar inasema

2. Zanzibar ni miongoni mwa Nchi mbili zinazounda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Hizi ibara mbili tuu za kwanza, ni sio tuu zimevunja katiba ya JMT, bali zimefanya kosa kubwa la uhaini kuivunja JMT ndani ya nchi mbili.

Kabla ya muungano wetu adhimu, tulikuwa nan chi mbili za Tanganyika na Zanzibar, muungano wetu ni muungano wa union, kwa nchi mbili kuungana na kuwa nchi moja. Nchi ya Zanzibar na nchi ya Tanganyika, zote zilikufa na kuunda nchi moja ya JMT. Kitendo cha Katiba ya Zanzibar ya Mwaka 1984 inatamka kwamba Zanzibar ni Nchi na inatamka mipaka ya eneo lake katika Ibara ya 1 inayosema "Zanzibar ni Nchi ambayo eneo la mipaka yake ni eneo lote la Visiwa vya Unguja na Pemba pamoja na Visiwa vidogo vilivyoizunguka na bahari yake ambayo kabla ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ikiitwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar." Wakati Katiba ya JMT imeitangaza Tanzania ni nchi moja ya JMT na kutaja eneo la JMT ni eneo lote la Tanzania Bara na eneo lote la Tanzania Zanzibar, na ni pamoja na sehemu yake ya bahari ambayo Tanzania inapakana nayo.
Huu ni mkanganyiko.

Hapa Zanzibar imejitangaza kama nchi, tangazo hili ni kama kuvunja muungano.

Wakati haya yakifanyika, nchi ilikuwa chini ya Rais Jakaya Kikwete, mtu rahimu sana, aliamua kunyamaza kimya bila kuingilia kwa hoja kuwa hayo ni mambo ya ndani ya Zanzibar, kilichofanyika ni kwa Katiba ya JMT, ku ignore (kuyapuuza) mabadiliko hayo ya Katiba ya Zanzibar kwa katiba ya JMT kutofanyiwa mabadiliko hivyo mpaka leo, katiba ya Zanzibar haitambuliwi na katiba ya JMT, huku katiba ya JMT, ikiendelea kuitambua katiba ambayo imeishafutwa.

Katiba hiyo ya Zanzibar katika Ibara ya 26 inatamka kwamba Rais wa Zanzibar ni Mkuu wa Nchi ya Zanzibar Katiba ya Jamhuri ya Muungano katika Ibara ya 33(2) inatamka "Rais wa Jamhuri ya Muungano ndiye Mkuu wa Nchi, Kiongozi wa Serikali na Amiri Jeshi Mkuu". Hapa ni muendelezo wa Zanzibar kujitangaza kuwa ni nchi, na kumtangaza Rais wa Zanzibar kama mkuu wa nchi, wakati ukweli ni Tanzania ni nchi moja ya JMT, Zanzibar sio nchi bali ni sehemu ya JMT, yenye utawala wake wa ndani.

Katiba ya Zanzibar haikuishia hapo, katika Ibara ya 2A inatamka kwamba "Kwa ajili ya utekelezaji bora wa shughuli za Serikali, Rais aweza kuigawa Zanzibar katika Mikoa, Wilaya na maeneo mengineyo kwa kufuata utaratibu uliowekwa na sheria iliyotungwa na Baraza la Wawakilishi."

Masharti haya ni kinyume cha Katiba ya Jamhuri ya Muungano Ibara ya 2(2) ambayo inatamka "Kwa ajili ya utekelezaji bora wa shughuli za Serikali ya Jamhuri ya Muungano au Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Rais aweza kuigawa Jamhuri ya Muungano katika mikoa, wilaya na maeneo mengineyo, kwa kufuata utaratibu uliowekwa na sheria au kwa mujibu wa sheria iliyotungwa na Bunge: Isipokuwa kwamba Rais atashauriana kwanza na Rais wa Zanzibar kabla ya kuigawa Tanzania Zanzibar katika Mikoa,Wilaya au maeneo mengineyo."

Ibara hiyo inapoka madaraka ya rais wa JMT, kupoka madaraka ya rais ni kosa la uhaini!.

Katika Ibara ya 132 ya katiba ya Zanzibar, inatamka kwamba "Hakuna Sheria yoyote itakayopitishwa na Bunge la Muungano ambayo itatumika Zanzibar mpaka Sheria hiyo iwe ni kwa ajili ya mambo ya Muungano tu na ipitishwe kulingana na maelekezo yaliyo chini ya vifungu vya Katiba ya Jamhuri ya Muungano.

Sheria kama hiyo lazima ipelekwe mbele ya Baraza la Wawakilishi na Waziri anayehusika.Ibara hii inaeleza zaidi, pale Sheria ndogo inapoundwa kwa mujibu wa uwezo uliowekwa chini ya kijifungu cha 132(1) na (2) itatumika tu pale itakapotimiza shuruti zote zilizowekwa kwa matumizi ya Sheria Mama kama ilivyoainishwa katika kifungu hiki"

Masharti haya ni kinyume cha Katiba ya Jamhuri ya Muungano Ibara ya 64 ambayo inatamka kwamba Bunge la Jamhuri ya Muungano ndilo lenye mamlaka ya kutunga sheria kwa mambo ya Muungano (Bara na Zanzibar) na yasiyo ya Muungano ya Tanzania Bara. Ibara hiyo imepoka madaraka ya Bunge la JMT kutunga sheria za mambo ya muungano na kulifanya BLW ndilo lenye mamlaya ya kuu kuhusu muungano.

Katika Ibara ya 24(3) ya Katiba ya Zanzibar, "Rufaa dhidi ya uamuzi wa Mahakama Kuu (Zanzibar) katika shauri lililofunguliwa dhidi ya masharti ya Sura hii ya Katiba yatasikilizwa na Mahakama Kuu (Zanzibar) mbele ya Majaji watatu, na uamuzi wao utakuwa ni wa mwisho na hautokatiwa rufaa kwenye Mahakama ya Rufaa ya Tanzania." Ibara hii ni kinyume cha Ibara ya 117(1) na (4) ambayo inatamka kwamba Mahakama ya Rufani ndiyo yenye Mamlaka ya juu ya kutoa haki nchini na uamuzi wake ni wa mwisho hivyo Mahakama Kuu ya Zanzibar, kupoka mamlaka ya Mahakama ya Rufani ya JMT na Jaji Mkuu wa Zanzibar kuwa ndie mkubwa kuliko Jaji Mkuu wa Tanzania.

Ukiondoa hiyo mikanganyiko ya katiba ya Zanzibar na katiba ya JMT, mabadiliko hayo ya katiba ya Zanzibar pia yameleta mambo mazuri, Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK), kwa jina maarufu la GNU (Government og National Unity), hili ni jambo jema, kubwa, zuri na la kheri, japo ki protokali, serikali ya JMT inaitambua SUK na viongozi wake wanapewa protokali stahiki kitaifa na kimataifa, sasa ni muda muafaka kwa Katiba ya JMT, ama iitambue rasmi katiba ya Zanzibar, kwa kuifanyia marekebisho katiba ya JMT na kuuingiza SUK, au Zanzibar ilazimishwe kuuondoa huo utata wa Katiba ya Zanzibar kupoka mamlaka ya JMT, Rais, Bunge na Mahakama ili itambuliwe rasmi.

Hitimisho
Je Zanzibar Iadabishwe kwa kulazimishwa kuondoa ubatili wa Katiba yake unaokwenda kinyume na katiba ya JMT, ili katiba ya JMT, iitambue katiba ya Zanzibar, au kwa vile tunaiogopa sana, bora tuu tuendelea kumchelea huyu mwana kulia?

Kuna mambo mengi tuu ya Zanzibar, JMT inayachelea mwana kulia, moja la mfano ni lile la umeme, Wazanzibari wamekuwa wakitumia umeme wa Tanesco bila kulipia kwa muda mrefu, hali iliyopelekea kulimbikiza deni likawa kubwa la muda mrefu hadi kuwa halihimiliki, Tanesco wakatangaza kuikatia umeme Zanzibar, isipolipa!, rais wa Zanzibar akatangaza hatulipi, kama ni kutukatia umeme waache wakate, tutawasha vibatari na koroboi ndipo serikali ya JMT ikaingilia kati, ikawasamehe deni lote likafutwa. Hii maana yake wenzetu wametumia umeme wa bure!, sijawahi kusikia hata maramoja familia masikini za huku bara wanaoishi kwenye lindi la umasikini uliotopea, wakisamehewa deni la umeme!, lakini wenzetu wamesamehewa!. huku ndiko ninakukuita kumchelea mwana kulia. Sasa kwenye hili la Katiba, je Zanzibar aadabishwe kwa kulazimishwa kuondoa huu ubatili wa katiba yake unaokwenda kinyume na katiba ya JMT, ili katiba ya JMT, iitambue rasmi katiba ya Zanzibar, au kwa vile tunaiogopa sana, Zanzibar kuiambia ukweli, ni bora tuu tuendelea kumchelea huyu mwana kulia?

Paskali
Huu uhaini unafanywa na CCM kwani bila ya wao kuruhusu wala hali isingekuwa hivi, treason is a terribly serious offense.
 
Wanabodi,
Makala yangu ya leo kwenye gazeti la Mwananchi.
View attachment 3174619

Kuna msemo wa Kiswahili usemao, mchelea mwana kulia , hulia yeye!. Makala hii ni swali "Tanzania ni nchi moja ya JMT, Zanzibar sio nchi bali ni sehemu ya JMT, kitendo cha Zanzibar kujiita nchi, huku imenyamaziwa, huu sio uhaini?, kitendo cha hali hii kuachwa bila kukemewa, huku sio kumchelea mwana kulia?, Je Zanzibar Iadabishwe kwa kulazimishwa kuondoa ubatili wa Katiba yake unaokwenda kinyume na katiba ya JMT, ili katiba ya JMT, iitambue katiba ya Zanzibar, au kwa vile tunaiogopa sana, bora tuu tuendelea kumchelea huyu mwana kulia?

Japo kimataifa Tanzania ni nchi moja ya JMT, chini ya serikali moja ya JMT, inayoongozwa na rais mmoja, rais wa JMT ambaye ni mkuu wa nchi, mkuu wa serikali na Amiri Jeshi Mkuu, lakini kitaifa Tanzania ni nchi moja yenye katiba mbili, katiba ya JMT na Katiba ya Zanzibar, yenye marais wawili, rais wa JMT na Rais wa Zanzibar, yenye mabunge mawili, Bunge la JMT na Baraza la Wawawakilishi, yenye mahakama mbili, Mahakama Kuu ya JMT, na Mahakama Kuu ya Zanzibar.

Japo Muungano wetu adhimu na adimu, ni muungano wenye nchi mbili zenye haki sawa na hadhi sawa ndani ya muungani licha ya ukubwa wa eneo la mshirika mmoja Tanzania Bara na udogo wa eneo la mshirika mwingine, Zanzibar, Katiba ya JMT, ndio katiba mama, na inaitambua katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984.

Katiba hiyo ya Zanzibar, ilifanyiwa marekebisho makubwa na kutoa toleo la mwaka 2010, lakini mpaka hivi leo ninapoandika hapa, Katiba ya JMT, imegoma kata kata kuyatambua marekebisho hayo ya Katiba ya Zanzibar na mpaka hii leo, bado katiba yetu hailitambui toleo la mwaka 2010 la ya Zanzibar iliyounda Serikali ya Umoja wa Kitaifa SUK, kutokana na baadhi ya vipengele vya katiba ya Zanzibar kukinzana na Katiba ya JMT.

Ibara ya kwanza ya Katiba ya JMT inasema “1. Tanzania ni nchi moja na ni Jamhuri ya Muungano.
Ibara ya pili ya katiba ya JMT inasema

2.-(1) Eneo la Jamhuri ya Muungano ni eneo lote la Tanzania Bara na eneo lote la Tanzania Zanzibar, na ni pamoja na sehemu yake ya bahari ambayo Tanzania inapakana nayo.

Ibara kwanza ya katiba ya Zanzibar inasema

1. Zanzibar ni Nchi ambayo eneo la mipaka yake ni eneo lote la Visiwa vya Unguja na Pemba pamoja na Visiwa vidogo vilivyoizunguka na bahari yake ambayo kabla ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ikiitwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar.

Ibara ya Pili ya katiba ya Zanzibar inasema

2. Zanzibar ni miongoni mwa Nchi mbili zinazounda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Hizi ibara mbili tuu za kwanza, ni sio tuu zimevunja katiba ya JMT, bali zimefanya kosa kubwa la uhaini kuivunja JMT ndani ya nchi mbili.

Kabla ya muungano wetu adhimu, tulikuwa nan chi mbili za Tanganyika na Zanzibar, muungano wetu ni muungano wa union, kwa nchi mbili kuungana na kuwa nchi moja. Nchi ya Zanzibar na nchi ya Tanganyika, zote zilikufa na kuunda nchi moja ya JMT. Kitendo cha Katiba ya Zanzibar ya Mwaka 1984 inatamka kwamba Zanzibar ni Nchi na inatamka mipaka ya eneo lake katika Ibara ya 1 inayosema "Zanzibar ni Nchi ambayo eneo la mipaka yake ni eneo lote la Visiwa vya Unguja na Pemba pamoja na Visiwa vidogo vilivyoizunguka na bahari yake ambayo kabla ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ikiitwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar." Wakati Katiba ya JMT imeitangaza Tanzania ni nchi moja ya JMT na kutaja eneo la JMT ni eneo lote la Tanzania Bara na eneo lote la Tanzania Zanzibar, na ni pamoja na sehemu yake ya bahari ambayo Tanzania inapakana nayo.
Huu ni mkanganyiko.

Hapa Zanzibar imejitangaza kama nchi, tangazo hili ni kama kuvunja muungano.

Wakati haya yakifanyika, nchi ilikuwa chini ya Rais Jakaya Kikwete, mtu rahimu sana, aliamua kunyamaza kimya bila kuingilia kwa hoja kuwa hayo ni mambo ya ndani ya Zanzibar, kilichofanyika ni kwa Katiba ya JMT, ku ignore (kuyapuuza) mabadiliko hayo ya Katiba ya Zanzibar kwa katiba ya JMT kutofanyiwa mabadiliko hivyo mpaka leo, katiba ya Zanzibar haitambuliwi na katiba ya JMT, huku katiba ya JMT, ikiendelea kuitambua katiba ambayo imeishafutwa.

Katiba hiyo ya Zanzibar katika Ibara ya 26 inatamka kwamba Rais wa Zanzibar ni Mkuu wa Nchi ya Zanzibar Katiba ya Jamhuri ya Muungano katika Ibara ya 33(2) inatamka "Rais wa Jamhuri ya Muungano ndiye Mkuu wa Nchi, Kiongozi wa Serikali na Amiri Jeshi Mkuu". Hapa ni muendelezo wa Zanzibar kujitangaza kuwa ni nchi, na kumtangaza Rais wa Zanzibar kama mkuu wa nchi, wakati ukweli ni Tanzania ni nchi moja ya JMT, Zanzibar sio nchi bali ni sehemu ya JMT, yenye utawala wake wa ndani.

Katiba ya Zanzibar haikuishia hapo, katika Ibara ya 2A inatamka kwamba "Kwa ajili ya utekelezaji bora wa shughuli za Serikali, Rais aweza kuigawa Zanzibar katika Mikoa, Wilaya na maeneo mengineyo kwa kufuata utaratibu uliowekwa na sheria iliyotungwa na Baraza la Wawakilishi."

Masharti haya ni kinyume cha Katiba ya Jamhuri ya Muungano Ibara ya 2(2) ambayo inatamka "Kwa ajili ya utekelezaji bora wa shughuli za Serikali ya Jamhuri ya Muungano au Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Rais aweza kuigawa Jamhuri ya Muungano katika mikoa, wilaya na maeneo mengineyo, kwa kufuata utaratibu uliowekwa na sheria au kwa mujibu wa sheria iliyotungwa na Bunge: Isipokuwa kwamba Rais atashauriana kwanza na Rais wa Zanzibar kabla ya kuigawa Tanzania Zanzibar katika Mikoa,Wilaya au maeneo mengineyo."

Ibara hiyo inapoka madaraka ya rais wa JMT, kupoka madaraka ya rais ni kosa la uhaini!.

Katika Ibara ya 132 ya katiba ya Zanzibar, inatamka kwamba "Hakuna Sheria yoyote itakayopitishwa na Bunge la Muungano ambayo itatumika Zanzibar mpaka Sheria hiyo iwe ni kwa ajili ya mambo ya Muungano tu na ipitishwe kulingana na maelekezo yaliyo chini ya vifungu vya Katiba ya Jamhuri ya Muungano.

Sheria kama hiyo lazima ipelekwe mbele ya Baraza la Wawakilishi na Waziri anayehusika.Ibara hii inaeleza zaidi, pale Sheria ndogo inapoundwa kwa mujibu wa uwezo uliowekwa chini ya kijifungu cha 132(1) na (2) itatumika tu pale itakapotimiza shuruti zote zilizowekwa kwa matumizi ya Sheria Mama kama ilivyoainishwa katika kifungu hiki"

Masharti haya ni kinyume cha Katiba ya Jamhuri ya Muungano Ibara ya 64 ambayo inatamka kwamba Bunge la Jamhuri ya Muungano ndilo lenye mamlaka ya kutunga sheria kwa mambo ya Muungano (Bara na Zanzibar) na yasiyo ya Muungano ya Tanzania Bara. Ibara hiyo imepoka madaraka ya Bunge la JMT kutunga sheria za mambo ya muungano na kulifanya BLW ndilo lenye mamlaya ya kuu kuhusu muungano.

Katika Ibara ya 24(3) ya Katiba ya Zanzibar, "Rufaa dhidi ya uamuzi wa Mahakama Kuu (Zanzibar) katika shauri lililofunguliwa dhidi ya masharti ya Sura hii ya Katiba yatasikilizwa na Mahakama Kuu (Zanzibar) mbele ya Majaji watatu, na uamuzi wao utakuwa ni wa mwisho na hautokatiwa rufaa kwenye Mahakama ya Rufaa ya Tanzania." Ibara hii ni kinyume cha Ibara ya 117(1) na (4) ambayo inatamka kwamba Mahakama ya Rufani ndiyo yenye Mamlaka ya juu ya kutoa haki nchini na uamuzi wake ni wa mwisho hivyo Mahakama Kuu ya Zanzibar, kupoka mamlaka ya Mahakama ya Rufani ya JMT na Jaji Mkuu wa Zanzibar kuwa ndie mkubwa kuliko Jaji Mkuu wa Tanzania.

Ukiondoa hiyo mikanganyiko ya katiba ya Zanzibar na katiba ya JMT, mabadiliko hayo ya katiba ya Zanzibar pia yameleta mambo mazuri, Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK), kwa jina maarufu la GNU (Government og National Unity), hili ni jambo jema, kubwa, zuri na la kheri, japo ki protokali, serikali ya JMT inaitambua SUK na viongozi wake wanapewa protokali stahiki kitaifa na kimataifa, sasa ni muda muafaka kwa Katiba ya JMT, ama iitambue rasmi katiba ya Zanzibar, kwa kuifanyia marekebisho katiba ya JMT na kuuingiza SUK, au Zanzibar ilazimishwe kuuondoa huo utata wa Katiba ya Zanzibar kupoka mamlaka ya JMT, Rais, Bunge na Mahakama ili itambuliwe rasmi.

Hitimisho
Je Zanzibar Iadabishwe kwa kulazimishwa kuondoa ubatili wa Katiba yake unaokwenda kinyume na katiba ya JMT, ili katiba ya JMT, iitambue katiba ya Zanzibar, au kwa vile tunaiogopa sana, bora tuu tuendelea kumchelea huyu mwana kulia?

Kuna mambo mengi tuu ya Zanzibar, JMT inayachelea mwana kulia, moja la mfano ni lile la umeme, Wazanzibari wamekuwa wakitumia umeme wa Tanesco bila kulipia kwa muda mrefu, hali iliyopelekea kulimbikiza deni likawa kubwa la muda mrefu hadi kuwa halihimiliki, Tanesco wakatangaza kuikatia umeme Zanzibar, isipolipa!, rais wa Zanzibar akatangaza hatulipi, kama ni kutukatia umeme waache wakate, tutawasha vibatari na koroboi ndipo serikali ya JMT ikaingilia kati, ikawasamehe deni lote likafutwa. Hii maana yake wenzetu wametumia umeme wa bure!, sijawahi kusikia hata maramoja familia masikini za huku bara wanaoishi kwenye lindi la umasikini uliotopea, wakisamehewa deni la umeme!, lakini wenzetu wamesamehewa!. huku ndiko ninakukuita kumchelea mwana kulia. Sasa kwenye hili la Katiba, je Zanzibar aadabishwe kwa kulazimishwa kuondoa huu ubatili wa katiba yake unaokwenda kinyume na katiba ya JMT, ili katiba ya JMT, iitambue rasmi katiba ya Zanzibar, au kwa vile tunaiogopa sana, Zanzibar kuiambia ukweli, ni bora tuu tuendelea kumchelea huyu mwana kulia?

Paskali
Wewe kweli hamnazo
 
Wanabodi,
Makala yangu ya leo kwenye gazeti la Mwananchi.
View attachment 3174619

Kuna msemo wa Kiswahili usemao, mchelea mwana kulia , hulia yeye!. Makala hii ni swali "Tanzania ni nchi moja ya JMT, Zanzibar sio nchi bali ni sehemu ya JMT, kitendo cha Zanzibar kujiita nchi, huku imenyamaziwa, huu sio uhaini?, kitendo cha hali hii kuachwa bila kukemewa, huku sio kumchelea mwana kulia?, Je Zanzibar Iadabishwe kwa kulazimishwa kuondoa ubatili wa Katiba yake unaokwenda kinyume na katiba ya JMT, ili katiba ya JMT, iitambue katiba ya Zanzibar, au kwa vile tunaiogopa sana, bora tuu tuendelea kumchelea huyu mwana kulia?

Japo kimataifa Tanzania ni nchi moja ya JMT, chini ya serikali moja ya JMT, inayoongozwa na rais mmoja, rais wa JMT ambaye ni mkuu wa nchi, mkuu wa serikali na Amiri Jeshi Mkuu, lakini kitaifa Tanzania ni nchi moja yenye katiba mbili, katiba ya JMT na Katiba ya Zanzibar, yenye marais wawili, rais wa JMT na Rais wa Zanzibar, yenye mabunge mawili, Bunge la JMT na Baraza la Wawawakilishi, yenye mahakama mbili, Mahakama Kuu ya JMT, na Mahakama Kuu ya Zanzibar.

Japo Muungano wetu adhimu na adimu, ni muungano wenye nchi mbili zenye haki sawa na hadhi sawa ndani ya muungani licha ya ukubwa wa eneo la mshirika mmoja Tanzania Bara na udogo wa eneo la mshirika mwingine, Zanzibar, Katiba ya JMT, ndio katiba mama, na inaitambua katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984.

Katiba hiyo ya Zanzibar, ilifanyiwa marekebisho makubwa na kutoa toleo la mwaka 2010, lakini mpaka hivi leo ninapoandika hapa, Katiba ya JMT, imegoma kata kata kuyatambua marekebisho hayo ya Katiba ya Zanzibar na mpaka hii leo, bado katiba yetu hailitambui toleo la mwaka 2010 la ya Zanzibar iliyounda Serikali ya Umoja wa Kitaifa SUK, kutokana na baadhi ya vipengele vya katiba ya Zanzibar kukinzana na Katiba ya JMT.

Ibara ya kwanza ya Katiba ya JMT inasema “1. Tanzania ni nchi moja na ni Jamhuri ya Muungano.
Ibara ya pili ya katiba ya JMT inasema

2.-(1) Eneo la Jamhuri ya Muungano ni eneo lote la Tanzania Bara na eneo lote la Tanzania Zanzibar, na ni pamoja na sehemu yake ya bahari ambayo Tanzania inapakana nayo.

Ibara kwanza ya katiba ya Zanzibar inasema

1. Zanzibar ni Nchi ambayo eneo la mipaka yake ni eneo lote la Visiwa vya Unguja na Pemba pamoja na Visiwa vidogo vilivyoizunguka na bahari yake ambayo kabla ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ikiitwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar.

Ibara ya Pili ya katiba ya Zanzibar inasema

2. Zanzibar ni miongoni mwa Nchi mbili zinazounda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Hizi ibara mbili tuu za kwanza, ni sio tuu zimevunja katiba ya JMT, bali zimefanya kosa kubwa la uhaini kuivunja JMT ndani ya nchi mbili.

Kabla ya muungano wetu adhimu, tulikuwa nan chi mbili za Tanganyika na Zanzibar, muungano wetu ni muungano wa union, kwa nchi mbili kuungana na kuwa nchi moja. Nchi ya Zanzibar na nchi ya Tanganyika, zote zilikufa na kuunda nchi moja ya JMT. Kitendo cha Katiba ya Zanzibar ya Mwaka 1984 inatamka kwamba Zanzibar ni Nchi na inatamka mipaka ya eneo lake katika Ibara ya 1 inayosema "Zanzibar ni Nchi ambayo eneo la mipaka yake ni eneo lote la Visiwa vya Unguja na Pemba pamoja na Visiwa vidogo vilivyoizunguka na bahari yake ambayo kabla ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ikiitwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar." Wakati Katiba ya JMT imeitangaza Tanzania ni nchi moja ya JMT na kutaja eneo la JMT ni eneo lote la Tanzania Bara na eneo lote la Tanzania Zanzibar, na ni pamoja na sehemu yake ya bahari ambayo Tanzania inapakana nayo.
Huu ni mkanganyiko.

Hapa Zanzibar imejitangaza kama nchi, tangazo hili ni kama kuvunja muungano.

Wakati haya yakifanyika, nchi ilikuwa chini ya Rais Jakaya Kikwete, mtu rahimu sana, aliamua kunyamaza kimya bila kuingilia kwa hoja kuwa hayo ni mambo ya ndani ya Zanzibar, kilichofanyika ni kwa Katiba ya JMT, ku ignore (kuyapuuza) mabadiliko hayo ya Katiba ya Zanzibar kwa katiba ya JMT kutofanyiwa mabadiliko hivyo mpaka leo, katiba ya Zanzibar haitambuliwi na katiba ya JMT, huku katiba ya JMT, ikiendelea kuitambua katiba ambayo imeishafutwa.

Katiba hiyo ya Zanzibar katika Ibara ya 26 inatamka kwamba Rais wa Zanzibar ni Mkuu wa Nchi ya Zanzibar Katiba ya Jamhuri ya Muungano katika Ibara ya 33(2) inatamka "Rais wa Jamhuri ya Muungano ndiye Mkuu wa Nchi, Kiongozi wa Serikali na Amiri Jeshi Mkuu". Hapa ni muendelezo wa Zanzibar kujitangaza kuwa ni nchi, na kumtangaza Rais wa Zanzibar kama mkuu wa nchi, wakati ukweli ni Tanzania ni nchi moja ya JMT, Zanzibar sio nchi bali ni sehemu ya JMT, yenye utawala wake wa ndani.

Katiba ya Zanzibar haikuishia hapo, katika Ibara ya 2A inatamka kwamba "Kwa ajili ya utekelezaji bora wa shughuli za Serikali, Rais aweza kuigawa Zanzibar katika Mikoa, Wilaya na maeneo mengineyo kwa kufuata utaratibu uliowekwa na sheria iliyotungwa na Baraza la Wawakilishi."

Masharti haya ni kinyume cha Katiba ya Jamhuri ya Muungano Ibara ya 2(2) ambayo inatamka "Kwa ajili ya utekelezaji bora wa shughuli za Serikali ya Jamhuri ya Muungano au Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Rais aweza kuigawa Jamhuri ya Muungano katika mikoa, wilaya na maeneo mengineyo, kwa kufuata utaratibu uliowekwa na sheria au kwa mujibu wa sheria iliyotungwa na Bunge: Isipokuwa kwamba Rais atashauriana kwanza na Rais wa Zanzibar kabla ya kuigawa Tanzania Zanzibar katika Mikoa,Wilaya au maeneo mengineyo."

Ibara hiyo inapoka madaraka ya rais wa JMT, kupoka madaraka ya rais ni kosa la uhaini!.

Katika Ibara ya 132 ya katiba ya Zanzibar, inatamka kwamba "Hakuna Sheria yoyote itakayopitishwa na Bunge la Muungano ambayo itatumika Zanzibar mpaka Sheria hiyo iwe ni kwa ajili ya mambo ya Muungano tu na ipitishwe kulingana na maelekezo yaliyo chini ya vifungu vya Katiba ya Jamhuri ya Muungano.

Sheria kama hiyo lazima ipelekwe mbele ya Baraza la Wawakilishi na Waziri anayehusika.Ibara hii inaeleza zaidi, pale Sheria ndogo inapoundwa kwa mujibu wa uwezo uliowekwa chini ya kijifungu cha 132(1) na (2) itatumika tu pale itakapotimiza shuruti zote zilizowekwa kwa matumizi ya Sheria Mama kama ilivyoainishwa katika kifungu hiki"

Masharti haya ni kinyume cha Katiba ya Jamhuri ya Muungano Ibara ya 64 ambayo inatamka kwamba Bunge la Jamhuri ya Muungano ndilo lenye mamlaka ya kutunga sheria kwa mambo ya Muungano (Bara na Zanzibar) na yasiyo ya Muungano ya Tanzania Bara. Ibara hiyo imepoka madaraka ya Bunge la JMT kutunga sheria za mambo ya muungano na kulifanya BLW ndilo lenye mamlaya ya kuu kuhusu muungano.

Katika Ibara ya 24(3) ya Katiba ya Zanzibar, "Rufaa dhidi ya uamuzi wa Mahakama Kuu (Zanzibar) katika shauri lililofunguliwa dhidi ya masharti ya Sura hii ya Katiba yatasikilizwa na Mahakama Kuu (Zanzibar) mbele ya Majaji watatu, na uamuzi wao utakuwa ni wa mwisho na hautokatiwa rufaa kwenye Mahakama ya Rufaa ya Tanzania." Ibara hii ni kinyume cha Ibara ya 117(1) na (4) ambayo inatamka kwamba Mahakama ya Rufani ndiyo yenye Mamlaka ya juu ya kutoa haki nchini na uamuzi wake ni wa mwisho hivyo Mahakama Kuu ya Zanzibar, kupoka mamlaka ya Mahakama ya Rufani ya JMT na Jaji Mkuu wa Zanzibar kuwa ndie mkubwa kuliko Jaji Mkuu wa Tanzania.

Ukiondoa hiyo mikanganyiko ya katiba ya Zanzibar na katiba ya JMT, mabadiliko hayo ya katiba ya Zanzibar pia yameleta mambo mazuri, Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK), kwa jina maarufu la GNU (Government og National Unity), hili ni jambo jema, kubwa, zuri na la kheri, japo ki protokali, serikali ya JMT inaitambua SUK na viongozi wake wanapewa protokali stahiki kitaifa na kimataifa, sasa ni muda muafaka kwa Katiba ya JMT, ama iitambue rasmi katiba ya Zanzibar, kwa kuifanyia marekebisho katiba ya JMT na kuuingiza SUK, au Zanzibar ilazimishwe kuuondoa huo utata wa Katiba ya Zanzibar kupoka mamlaka ya JMT, Rais, Bunge na Mahakama ili itambuliwe rasmi.

Hitimisho
Je Zanzibar Iadabishwe kwa kulazimishwa kuondoa ubatili wa Katiba yake unaokwenda kinyume na katiba ya JMT, ili katiba ya JMT, iitambue katiba ya Zanzibar, au kwa vile tunaiogopa sana, bora tuu tuendelea kumchelea huyu mwana kulia?

Kuna mambo mengi tuu ya Zanzibar, JMT inayachelea mwana kulia, moja la mfano ni lile la umeme, Wazanzibari wamekuwa wakitumia umeme wa Tanesco bila kulipia kwa muda mrefu, hali iliyopelekea kulimbikiza deni likawa kubwa la muda mrefu hadi kuwa halihimiliki, Tanesco wakatangaza kuikatia umeme Zanzibar, isipolipa!, rais wa Zanzibar akatangaza hatulipi, kama ni kutukatia umeme waache wakate, tutawasha vibatari na koroboi ndipo serikali ya JMT ikaingilia kati, ikawasamehe deni lote likafutwa. Hii maana yake wenzetu wametumia umeme wa bure!, sijawahi kusikia hata maramoja familia masikini za huku bara wanaoishi kwenye lindi la umasikini uliotopea, wakisamehewa deni la umeme!, lakini wenzetu wamesamehewa!. huku ndiko ninakukuita kumchelea mwana kulia. Sasa kwenye hili la Katiba, je Zanzibar aadabishwe kwa kulazimishwa kuondoa huu ubatili wa katiba yake unaokwenda kinyume na katiba ya JMT, ili katiba ya JMT, iitambue rasmi katiba ya Zanzibar, au kwa vile tunaiogopa sana, Zanzibar kuiambia ukweli, ni bora tuu tuendelea kumchelea huyu mwana kulia?

Paskali
Bado unajua maxhache sana na zaid umeyatafta unayoyataka ww, yatafute na yale usiyoyapenda uone
 
Mimi nadhani Kwa njia za kidiplomasia, Zanzibar anazidi kua Nchi Huru.

Hilo ndio Kosa ambalo Tanganyika inalifanya, uhuru anaoendelea kupewa Zanzibar na kuzidi kujitanua na kujulikana Kimataifa... Amini amini nawaambia, Kuna Siku wataidai Zanzibar, na wataidai hata Kwa Bunduki na wataidai katika wakati ambao nyuma yao kutakua na mataifa mengi ya Kiislam na yale ya wamagharibi .

Kwa namna yoyote Ile, Zanzibar inapaswa kua sehem ya Tanganyika , suala la Zanzibar kujiita Nchi ni Uhaini.

Kama kuilinda Tanzània haiwezekan, basi tuwaache wawe Nchi kamili Sasa.
Hahahaa unachekesha sana kiongoz, kama zanzibar iliwah kua nchi, mkaiteka kwa mwanvuli wa mungano, ko saiz ikidai kutoka ni KOSA KUBWA ??? we jamaa vp ww haujielew
 
Tukiwaambia wazanzibar siyo wenzetu muwe mnatuelewa hatuna nia mbaya wale wamekuja kuchuma mali za wajinga bara na kwenda kujenga Zanzibar yao.
 
Mkuu Pasco,

Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ndiyo sheria kuu ya nchi. Ibara ya 64(5) inasema wazi, "Iwapo sheria yoyote iliyotungwa na Bunge au chombo kingine chochote itakuwa kinyume cha Katiba hii, basi sheria hiyo itakuwa batili kwa kadiri ya ukinzani huo."

Kwa msingi huo, vipengele vyovyote vya Katiba ya Zanzibar vinavyopingana na Katiba ya JMT ni batili kisheria, bila kujali vimetungwa kwa nia njema kiasi gani.

Ibara ya 64(1) ya Katiba ya JMT inaeleza wazi kuwa, "Bunge la Jamhuri ya Muungano ndilo lenye mamlaka ya kutunga sheria kwa ajili ya Jamhuri ya Muungano." Hii ina maana kuwa, Bunge la JMT ndilo lenye mamlaka ya mwisho kuhusu sheria zinazohusu Muungano, na si Baraza la Wawakilishi la Zanzibar.

Ibara ya 1 na 2 za Katiba ya JMT zinaeleza wazi kuwa Tanzania ni nchi moja na Jamhuri ya Muungano. Eneo la Jamhuri ya Muungano ni pamoja na Tanzania Bara na Tanzania Zanzibar. Kwa hiyo, kisheria, Zanzibar si nchi huru, bali ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hata yule mbunge kipindi anasema watanganyika waingie Zanzibar kwa passport aliongea pasipokujua sheria zinasemaje
Katika vitu ambavy nyerer alifanikiw sana katik maish yake ni pmoja na kuteka mlima kilimanjar, ziwa nyasa na kyela yote kuifany ni mali yake, akajarb kuichukua na zanzibar kujimilikisha ila bahat mbaya hakufanikiw kuichukua yote kafa kaiacha ikiw haieleweki,
 
Wanabodi,
Makala yangu ya leo kwenye gazeti la Mwananchi.
View attachment 3174619

Kuna msemo wa Kiswahili usemao, mchelea mwana kulia , hulia yeye!. Makala hii ni swali "Tanzania ni nchi moja ya JMT, Zanzibar sio nchi bali ni sehemu ya JMT, kitendo cha Zanzibar kujiita nchi, huku imenyamaziwa, huu sio uhaini?, kitendo cha hali hii kuachwa bila kukemewa, huku sio kumchelea mwana kulia?, Je Zanzibar Iadabishwe kwa kulazimishwa kuondoa ubatili wa Katiba yake unaokwenda kinyume na katiba ya JMT, ili katiba ya JMT, iitambue katiba ya Zanzibar, au kwa vile tunaiogopa sana, bora tuu tuendelea kumchelea huyu mwana kulia?

Japo kimataifa Tanzania ni nchi moja ya JMT, chini ya serikali moja ya JMT, inayoongozwa na rais mmoja, rais wa JMT ambaye ni mkuu wa nchi, mkuu wa serikali na Amiri Jeshi Mkuu, lakini kitaifa Tanzania ni nchi moja yenye katiba mbili, katiba ya JMT na Katiba ya Zanzibar, yenye marais wawili, rais wa JMT na Rais wa Zanzibar, yenye mabunge mawili, Bunge la JMT na Baraza la Wawawakilishi, yenye mahakama mbili, Mahakama Kuu ya JMT, na Mahakama Kuu ya Zanzibar.

Japo Muungano wetu adhimu na adimu, ni muungano wenye nchi mbili zenye haki sawa na hadhi sawa ndani ya muungani licha ya ukubwa wa eneo la mshirika mmoja Tanzania Bara na udogo wa eneo la mshirika mwingine, Zanzibar, Katiba ya JMT, ndio katiba mama, na inaitambua katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984.

Katiba hiyo ya Zanzibar, ilifanyiwa marekebisho makubwa na kutoa toleo la mwaka 2010, lakini mpaka hivi leo ninapoandika hapa, Katiba ya JMT, imegoma kata kata kuyatambua marekebisho hayo ya Katiba ya Zanzibar na mpaka hii leo, bado katiba yetu hailitambui toleo la mwaka 2010 la ya Zanzibar iliyounda Serikali ya Umoja wa Kitaifa SUK, kutokana na baadhi ya vipengele vya katiba ya Zanzibar kukinzana na Katiba ya JMT.

Ibara ya kwanza ya Katiba ya JMT inasema “1. Tanzania ni nchi moja na ni Jamhuri ya Muungano.
Ibara ya pili ya katiba ya JMT inasema

2.-(1) Eneo la Jamhuri ya Muungano ni eneo lote la Tanzania Bara na eneo lote la Tanzania Zanzibar, na ni pamoja na sehemu yake ya bahari ambayo Tanzania inapakana nayo.

Ibara kwanza ya katiba ya Zanzibar inasema

1. Zanzibar ni Nchi ambayo eneo la mipaka yake ni eneo lote la Visiwa vya Unguja na Pemba pamoja na Visiwa vidogo vilivyoizunguka na bahari yake ambayo kabla ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ikiitwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar.

Ibara ya Pili ya katiba ya Zanzibar inasema

2. Zanzibar ni miongoni mwa Nchi mbili zinazounda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Hizi ibara mbili tuu za kwanza, ni sio tuu zimevunja katiba ya JMT, bali zimefanya kosa kubwa la uhaini kuivunja JMT ndani ya nchi mbili.

Kabla ya muungano wetu adhimu, tulikuwa nan chi mbili za Tanganyika na Zanzibar, muungano wetu ni muungano wa union, kwa nchi mbili kuungana na kuwa nchi moja. Nchi ya Zanzibar na nchi ya Tanganyika, zote zilikufa na kuunda nchi moja ya JMT. Kitendo cha Katiba ya Zanzibar ya Mwaka 1984 inatamka kwamba Zanzibar ni Nchi na inatamka mipaka ya eneo lake katika Ibara ya 1 inayosema "Zanzibar ni Nchi ambayo eneo la mipaka yake ni eneo lote la Visiwa vya Unguja na Pemba pamoja na Visiwa vidogo vilivyoizunguka na bahari yake ambayo kabla ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ikiitwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar." Wakati Katiba ya JMT imeitangaza Tanzania ni nchi moja ya JMT na kutaja eneo la JMT ni eneo lote la Tanzania Bara na eneo lote la Tanzania Zanzibar, na ni pamoja na sehemu yake ya bahari ambayo Tanzania inapakana nayo.
Huu ni mkanganyiko.

Hapa Zanzibar imejitangaza kama nchi, tangazo hili ni kama kuvunja muungano.

Wakati haya yakifanyika, nchi ilikuwa chini ya Rais Jakaya Kikwete, mtu rahimu sana, aliamua kunyamaza kimya bila kuingilia kwa hoja kuwa hayo ni mambo ya ndani ya Zanzibar, kilichofanyika ni kwa Katiba ya JMT, ku ignore (kuyapuuza) mabadiliko hayo ya Katiba ya Zanzibar kwa katiba ya JMT kutofanyiwa mabadiliko hivyo mpaka leo, katiba ya Zanzibar haitambuliwi na katiba ya JMT, huku katiba ya JMT, ikiendelea kuitambua katiba ambayo imeishafutwa.

Katiba hiyo ya Zanzibar katika Ibara ya 26 inatamka kwamba Rais wa Zanzibar ni Mkuu wa Nchi ya Zanzibar Katiba ya Jamhuri ya Muungano katika Ibara ya 33(2) inatamka "Rais wa Jamhuri ya Muungano ndiye Mkuu wa Nchi, Kiongozi wa Serikali na Amiri Jeshi Mkuu". Hapa ni muendelezo wa Zanzibar kujitangaza kuwa ni nchi, na kumtangaza Rais wa Zanzibar kama mkuu wa nchi, wakati ukweli ni Tanzania ni nchi moja ya JMT, Zanzibar sio nchi bali ni sehemu ya JMT, yenye utawala wake wa ndani.

Katiba ya Zanzibar haikuishia hapo, katika Ibara ya 2A inatamka kwamba "Kwa ajili ya utekelezaji bora wa shughuli za Serikali, Rais aweza kuigawa Zanzibar katika Mikoa, Wilaya na maeneo mengineyo kwa kufuata utaratibu uliowekwa na sheria iliyotungwa na Baraza la Wawakilishi."

Masharti haya ni kinyume cha Katiba ya Jamhuri ya Muungano Ibara ya 2(2) ambayo inatamka "Kwa ajili ya utekelezaji bora wa shughuli za Serikali ya Jamhuri ya Muungano au Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Rais aweza kuigawa Jamhuri ya Muungano katika mikoa, wilaya na maeneo mengineyo, kwa kufuata utaratibu uliowekwa na sheria au kwa mujibu wa sheria iliyotungwa na Bunge: Isipokuwa kwamba Rais atashauriana kwanza na Rais wa Zanzibar kabla ya kuigawa Tanzania Zanzibar katika Mikoa,Wilaya au maeneo mengineyo."

Ibara hiyo inapoka madaraka ya rais wa JMT, kupoka madaraka ya rais ni kosa la uhaini!.

Katika Ibara ya 132 ya katiba ya Zanzibar, inatamka kwamba "Hakuna Sheria yoyote itakayopitishwa na Bunge la Muungano ambayo itatumika Zanzibar mpaka Sheria hiyo iwe ni kwa ajili ya mambo ya Muungano tu na ipitishwe kulingana na maelekezo yaliyo chini ya vifungu vya Katiba ya Jamhuri ya Muungano.

Sheria kama hiyo lazima ipelekwe mbele ya Baraza la Wawakilishi na Waziri anayehusika.Ibara hii inaeleza zaidi, pale Sheria ndogo inapoundwa kwa mujibu wa uwezo uliowekwa chini ya kijifungu cha 132(1) na (2) itatumika tu pale itakapotimiza shuruti zote zilizowekwa kwa matumizi ya Sheria Mama kama ilivyoainishwa katika kifungu hiki"

Masharti haya ni kinyume cha Katiba ya Jamhuri ya Muungano Ibara ya 64 ambayo inatamka kwamba Bunge la Jamhuri ya Muungano ndilo lenye mamlaka ya kutunga sheria kwa mambo ya Muungano (Bara na Zanzibar) na yasiyo ya Muungano ya Tanzania Bara. Ibara hiyo imepoka madaraka ya Bunge la JMT kutunga sheria za mambo ya muungano na kulifanya BLW ndilo lenye mamlaya ya kuu kuhusu muungano.

Katika Ibara ya 24(3) ya Katiba ya Zanzibar, "Rufaa dhidi ya uamuzi wa Mahakama Kuu (Zanzibar) katika shauri lililofunguliwa dhidi ya masharti ya Sura hii ya Katiba yatasikilizwa na Mahakama Kuu (Zanzibar) mbele ya Majaji watatu, na uamuzi wao utakuwa ni wa mwisho na hautokatiwa rufaa kwenye Mahakama ya Rufaa ya Tanzania." Ibara hii ni kinyume cha Ibara ya 117(1) na (4) ambayo inatamka kwamba Mahakama ya Rufani ndiyo yenye Mamlaka ya juu ya kutoa haki nchini na uamuzi wake ni wa mwisho hivyo Mahakama Kuu ya Zanzibar, kupoka mamlaka ya Mahakama ya Rufani ya JMT na Jaji Mkuu wa Zanzibar kuwa ndie mkubwa kuliko Jaji Mkuu wa Tanzania.

Ukiondoa hiyo mikanganyiko ya katiba ya Zanzibar na katiba ya JMT, mabadiliko hayo ya katiba ya Zanzibar pia yameleta mambo mazuri, Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK), kwa jina maarufu la GNU (Government og National Unity), hili ni jambo jema, kubwa, zuri na la kheri, japo ki protokali, serikali ya JMT inaitambua SUK na viongozi wake wanapewa protokali stahiki kitaifa na kimataifa, sasa ni muda muafaka kwa Katiba ya JMT, ama iitambue rasmi katiba ya Zanzibar, kwa kuifanyia marekebisho katiba ya JMT na kuuingiza SUK, au Zanzibar ilazimishwe kuuondoa huo utata wa Katiba ya Zanzibar kupoka mamlaka ya JMT, Rais, Bunge na Mahakama ili itambuliwe rasmi.

Hitimisho
Je Zanzibar Iadabishwe kwa kulazimishwa kuondoa ubatili wa Katiba yake unaokwenda kinyume na katiba ya JMT, ili katiba ya JMT, iitambue katiba ya Zanzibar, au kwa vile tunaiogopa sana, bora tuu tuendelea kumchelea huyu mwana kulia?

Kuna mambo mengi tuu ya Zanzibar, JMT inayachelea mwana kulia, moja la mfano ni lile la umeme, Wazanzibari wamekuwa wakitumia umeme wa Tanesco bila kulipia kwa muda mrefu, hali iliyopelekea kulimbikiza deni likawa kubwa la muda mrefu hadi kuwa halihimiliki, Tanesco wakatangaza kuikatia umeme Zanzibar, isipolipa!, rais wa Zanzibar akatangaza hatulipi, kama ni kutukatia umeme waache wakate, tutawasha vibatari na koroboi ndipo serikali ya JMT ikaingilia kati, ikawasamehe deni lote likafutwa. Hii maana yake wenzetu wametumia umeme wa bure!, sijawahi kusikia hata maramoja familia masikini za huku bara wanaoishi kwenye lindi la umasikini uliotopea, wakisamehewa deni la umeme!, lakini wenzetu wamesamehewa!. huku ndiko ninakukuita kumchelea mwana kulia. Sasa kwenye hili la Katiba, je Zanzibar aadabishwe kwa kulazimishwa kuondoa huu ubatili wa katiba yake unaokwenda kinyume na katiba ya JMT, ili katiba ya JMT, iitambue rasmi katiba ya Zanzibar, au kwa vile tunaiogopa sana, Zanzibar kuiambia ukweli, ni bora tuu tuendelea kumchelea huyu mwana kulia?

Paskali
Zanzibar ni nchi kamili na wana Jeshi lao kamili, lipo standby
 
Mleta mada na wachangiaji wote hadi sasa...kiwango chenu cha unafiki kwa hakika kinatisha. Juzi tu kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, CCM inadaiwa kushinda kwa asilimia 99%!

Kwa kuwa serikali ya Jamhuri ya Muungano Tanzania (JMT) ni ya CCM, serikali ya Zanzibar ni ya CCM na marais wa pande zote mbili wametokana na CCM, hilo dai la uhaini linakujaje hapo?

Nakiri wako binadamu wanaokula binadamu wenzao lakini...
Nimekuelewa Sana
 
Back
Top Bottom