Mateso chakubanga
JF-Expert Member
- May 10, 2021
- 587
- 800
Tanzania imetajwa moja ya nchi kumi bora zenye uchumi mzuri, utajiri na pato la Taifa ikiziacha nchi nyingi za Afrika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanzania ina eneo kubwa na watu wengi million 61 sio mchezo kwahiyo hili halinishangazi hata kidogo. Ila huduma za kijamii zilizopo haziendani na hiyo hadhi.Tanzania imetajwa moja ya nchi kumi bora zenye uchumi mzuri, utajiri na pato la Taifa ikiziacha nchi nyingi za Afrika.
Tanzania ni nchi ya pili Africa kua natural resources baada ya Africa kusini ila ndo ya 10 kiutajiri si unaona ni ujinga kua na resources ila bado masikini.Tanzania imetajwa moja ya nchi kumi bora zenye uchumi mzuri, utajiri na pato la Taifa ikiziacha nchi nyingi za Afrika.
Wewe chakubanga weka vielelezo na ushahidi wa hiki ulichokiandika.
Outdated data kumbe wewe unaleta AI kudhibitisha uchumi wa kila siku wa nchiView attachment 3257256
Chat gpt hiyo.
Kwahiyo AI ni outdated? Kuwa serious bro.Outdated data kumbe wewe unaleta AI kudhibitisha uchumi wa kila siku wa nchi
Watanzania tunajidharau ila nchi kama Zambia na Benin wanawaona mna maisha mazuri.Kama ni hivyo basi hao wengine ni walala hoi zaidi.
Utajiri wa Congo na Tanzania hio South Africa inakuwaje ya kwanzaTanzania ni nchi ya pili Africa kua natural resources baada ya Africa kusini ila ndo ya 10 kiutajiri si unaona ni ujinga kua na resources ila bado masikini.
Ulitakiwa kusema hivi tu ingetoshanaona ni ujinga kua na resources ila bado masikini.
Utajiri upi wa Congo na Tanzania Madini?Utajiri wa Congo na Tanzania hio South Africa inakuwaje ya kwanza
South Africa iliendelezwa tangia muda na wakaburu na pia imetawaliwa muda mrefu na waingereza kwahiyo ilipewa headstart na hao watu.Utajiri wa Congo na Tanzania hio South Africa inakuwaje ya kwanza
Shida inakuja pale kwenye kuconvert madini kuwa hela kwa manufaa ya nchi. Wachina hawana madini lakini ni nchi ya pili duniani kinachomatter ni kuwa na madini kichwani na sio ardhini. Babylon ilikuwa jangwa lakini ndo moja ya nchi tajiri zilizowahi kutokea.Utajiri upi wa Congo na Tanzania Madini?