Tanzania nchi ya asali na maziwa

Sasa ulishasikia shida ya maji Dar au Zanzibar? Ninyi huko shida ya maji mpaka Nairobi na Mombasa miji mikubwa inashida ya maji c bora huku vijijini huko
 
Try again. In EAC in that sector of tap connectivity hakuna mpinzani, nyie ndio mnaamuka unadhani sasa wengine wamekua kama nyinyi[emoji23][emoji23][emoji23]. We progressed long ago since my childhood, sahi ni additions tu[emoji23][emoji23] kweli mmekua kwa msitu muda mrefu karne hii.,
 
Naomba kuuliza. Hivi kushambuliwa na wanyama porini karibu na mbuga ni hajabu?
 
Hivi mmesahau kahata alivyokuwa anatoa msaada wa maji wakati yuko likizo ya Corona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…