Mbolabilika
JF-Expert Member
- Jul 30, 2019
- 2,128
- 2,867
Sasa ulishasikia shida ya maji Dar au Zanzibar? Ninyi huko shida ya maji mpaka Nairobi na Mombasa miji mikubwa inashida ya maji c bora huku vijijini hukoHalafu kama kuna mnyama nachukia ni fisi, lipumbavu sana lile, yaani huanza kukutafuna ukiwa hai bora hata simba anayekuua kwanza.
Jameni Tanzania inaitia aibu Afrika, huu umaskini wao utapungua lini kwa kweli.....wana madini na kila kitu, vyote vinachukuliwa na mabeberu kizembe tu, jamaa wameshindwa ujanja kwenye kila nama, wazembe sana hawa.