Tanzania nchi yenye bei rahisi ya data

Mbaga Lazaro

Senior Member
Joined
Aug 9, 2020
Posts
132
Reaction score
108
"Bado nchi yetu ndio ina bei rahisi ya Data kwa GB kuliko nchi yoyote ya East Africa...SADC, kwa kuwa na gharama ya GB 0.71 kwa Dola ambayo ni sawasawa na shilingi 1600/=". Mkurugenzi Mkuu, Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania - Dkt.Jabiri Kuwe Bakari

#ITVUpdates
 
Airtel Zambia 2 gb 20 kwacha. Kwacha 20 ni sawa na dola 1.06. Kwa hiyo gb 1 = usd 0.50.

Zamtel 5gb =k 20 . Haya mtoa mada piga hesabu. Itakua kakosea hesabu
 
Kwakuwa nchi zingine wanapandisha bei basi na huku wanapandisha ..

Sababu ni kuwa eti nchi zingine ni bei juu
 
Kila siku nyimbo hiyo hiyo,nimetoka kununua gb 1 hapa kwa afu tatu😭😭,halafu eti bei rahisi
 
Hivi ni nani hasa anaetengeneza na kuuza hizi data yaani MB & GB kwa makampuni ya simu🤔
 
Tatizo kila mtu ana bei yake, voda au tigo hiyohiyo huyu atapewa Gb 1 kwa buku tatu na mwingine kwa buku mbili.
 
"Bado nchi yetu ndio ina bei rahisi ya Data kwa GB kuliko nchi yoyote ya East Africa...SADC, kwa kuwa na gharama ya GB 0.71 kwa Dola ambayo ni sawasawa na shilingi 1600/=". Mkurugenzi Mkuu, Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania - Dkt.Jabiri Kuwe Bakari

Chanzo: ITV
 
Tujitahidi ili tuwafikie hao wenye bei kubwa.watu wakishaashiba kodi zetu huwa hawana aibu kabisa
 
Izidi kushuka, kuna ubaya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…