Tanzania ndio nchi yenye mfumuko wa Bei mdogo zaidi Afrika Mashariki

Tanzania ndio nchi yenye mfumuko wa Bei mdogo zaidi Afrika Mashariki

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Kati ya nchi za Afrika Mashariki, Tanzania ndio yenye kiwango kidogo zaidi cha mfumuko wa Bei

Swala la mfumuko wa Bei ni suala la kidunia, wale waliojifungia wasiojua kinachoendelea duniani wafahamu hilo
Screenshot_20230202-205646.png
 
Naomba hazidanganyi, badala ya kuja na matusi,
 
Nadhani Katiba mpya itatuamulia wabunge sio tena swala la kujua kusoma na kuandika matokeo yake kwenye wanatuletea siasa na mifano mfu
 
Kazi iendeleee .....

Hata maharagee bei ifike 10000,mm nikiongea huku mtandaon ntabadilisha bei au ndio bei itaongezekaa km wenye magari walivyopiga kelele za petrol kupanda lkn hkn kilichobadilishwa na hakuna aliyepaki gari yake kisa petrol kupandaaa na maishaa yanaendelea...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom