Tanzania ndio ya mkia ukanda huu kwenye kufadhili kilimo

Ulitaka uwekewe pesa mfukoni na serikali? Nenda katafute hiyo nchi ya aina hiyo uhamie huko

Huku Tanzania kazi ya serikali ni kuboresha miundombinu yote wezeshi ya kurahisisha shughuli za kiuchumi kama wewe wataka serikali ya kupikia wananchi wake mapilau na mikuku na kuwawekea midomoni hilo sahau kabisa na hata hivyo ulikosea sana kuwaza hivyo

Hata serikali ikukujengea hospitals za kisasa mpaka chooni jua kwamba haitakupa huduma ya bure sababu dawa utalipia na matibabu utalipia vile vile so kafanye kazi ulalamike barabara mbovu huwezi kusafirisha mali yako hapo utaeleweka
 
Dira ya Taifa ipo na dira yenyewe ni maendeleo tu ambayo ndio yanayotekelezwa awamu hii mambo yote hayo niliyoyasema ni maendeleo na ndio dira yenyewe ya Taifa.
Unajua unaongea nin ama mladi ubishi tu?
 
Waboreshe mazingira ya watu kujituma,hakuna asiyependa maendeleo akiboreshewa mazingira,
 
Waboreshe mazingira ya watu kujituma,hakuna asiyependa maendeleo akiboreshewa mazingira,
Ndio hivyo Boeing, stirgliers, pipeline, SGR, barabara, airports, industries, bandari, bus stands, BRT, etc vinajengwa ili vikupe moyo ujitume sababu means of production zipo simplified
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…