Tanzania ndiyo iliyosababisha vita na Uganda 1978/79

Tanzania ndiyo iliyosababisha vita na Uganda 1978/79

East African

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2013
Posts
704
Reaction score
993
Ndug wana JF mimi kama mtanzania kwa elimu niliyoipata na uchunguzi wangu wa kina nimegundua yafuatayo kuhusu vita ya Tanzania na Uganda na ningependa wale wasiojua wayafahamu haya;-

Mara baada ya rais Obote kupinduliwa alikimbilia Tanzania ili apate hifadhi kutokana na urafiki mkubwa kati ya Nyerere na Obote. Mara baada ya kupata hifadhi hapa Tanzania inasemekana kuwa Mwl hakumpenda Idd Amini na kuamua kumsaidia Obote kurudi kwenye kiti chake.

Baada ya Idd Amini kuona vile akatangaza mgogoro na nchi yetu kwa kuwa tulikuwa tunataka kumpindua naye akaamua kujihami kwa kutoleana maneno makali na Mwl. Hiyo ndiyo ikawa mwanzo wa vita ya Tanzania na Uganda.

Lakini ikumbukwe pia baada ya vita kuanza kuna wanajeshi wa Uganda walimchukia Idd Amini na wakaamua kuiasi serikali na kusaidiana na majeshi ya Tanzania ili kumuondoa Idd Amini. Kitendo cha kuasi kwa wanajeshi wa Uganda kulisaidia Tanzania kumpiga Idd Amini kwa urahisi la sivyo ingechukua muda mrefu kumuondoa Idd Amini. Ikumbukwe kuwa wananchi wa Uganda hawakufurahishwa na utawala wa Idd Amini na ndiyo maana uasi ukatokea.

Pia ikumbukwe kuwa vita hiyo isingeweza kutokea kama Mwl asingetaka kumsaidia Obote. Ikumbukwe kuwa Idd Amini alimpindua Obote mwaka 1972 hivi na yeye akaondolewa 1979. Nasikitika kwa kuwa historia ya vita hii inapindishwa sana na kuonekana kuwa eti Idd Amini alitaka kuchukua ardhi yetu. wakati chanzo ni sisi watanzania wenyewe.

Tafadhali sikusema haya kwa kuwa namchukia Mwl ila naeleza kile ninachokifahamu.

R.I.P Mwl. Nyerere
 
Hata Tanzania kwa kiasi fulani ilichangia ila bado tulikua na haki ya kulinda territorial intergrity yetu
 
Kama hujui si uulize au ukae kimya tu ndugu!? Nashangaa eti unajiita "mtanzania"!!

Kavurugwa huyo, eti Idd Amini alimpindua Obote mwaka 1972 na yeye akaondolewa 1979, miaka yote hiyo Mwl. amekaa tu bila kumhelp rafiki yake???? rudia historia kwa makini K- Boko kama kweli ni MTZEE
 
Hata sasa, Akitokeo mpumbav.u yeyote akapindua serikali ya kiraia kokote pale kwa hawa majirani zetu, tutamuondoa pia.
 
Nakushauri ufanye utafiti zaidi kutetea hili hitimisho lako kuwa Tanzania ndio chanzo cha vita kati yake na Uganda. Hizi facts chache ulizoziweka hapa hazinishawishi kukubaliana na hitimisho lako.
 
General Mstafa Idris makamo wa Rais Uganda chini ya Idd Amin , na Lt.col Alli Towili pia jamaa mmoja toka southern Sudan akijilikana kwa jina Mohamed Marella ndio pekee walikuwa wanamsupport Idd Amin kundi lote la jeshi lilikuwa limemchoka kabisa, sasa kama ulivyoona hali ya sasa baada ya suala la Zitto Kabwe kujitokeza likazima kabisa suala la Juma Kapuya.

Hivyo hivyo baada ya Idd Amin kuona kwamba pressure ya jeshi lake kumpinga limezidi akazusha vita vya Kagera kwa lengo wapiganaji washift concertration ya kumpinga ili wajiengage na vita.

Hiyo ndiyo sababu kuu iliyopelekea kuanza kwa vita vya Kagera, kwani hata Mzee Nyerere mwenyewe vita hii ili msuprise hakuitegemaea alimpuuza Idd Amin na matishio yake ya kuteka Kagera mpaka Tanga alimuona mpuuzi yeye akaendelea na shughuri zake Songea usiku huo Hamad waganda wameteka kweli sehemu ya Kagera siku hiyo jioni ndio alitoa ile hutuba kuu ya nia ya kumpiga tunayo.

Kwa hiyo comred EAST AFRICA sababu ya vita vya kagera uliyotoa siyo kweli, wacha wajuzi waje wakueleweshe vizuri zaidi
 
Nadhani cku nyingine ndugu mwandishi ufanye uchunguzi kwa umakini na ulete hoja nzito. Title ya uzi wako inavutia sana ila contents hakuna jipya.
Yaani kumpiga Iddi Amin ilikuwa haina budi.
Ingawa vile vita vimeturudisha nyuma sana kimaendeleo.
 
Ndug wana JF mimi kama mtanzania kwa elimu niliyoipata na uchunguzi wangu wa kina nimegundua yafuatayo kuhusu vita ya Tanzania na Uganda na ningependa wale wasiojua wayafahamu haya;-

Mara baada ya rais Obote kupinduliwa alikimbilia Tanzania ili apate hifadhi kutokana na urafiki mkubwa kati ya Nyerere na Obote. Mara baada ya kupata hifadhi hapa Tanzania inasemekana kuwa Mwl hakumpenda Idd Amini na kuamua kumsaidia Obote kurudi kwenye kiti chake.

Baada ya Idd Amini kuona vile akatangaza mgogoro na nchi yetu kwa kuwa tulikuwa tunataka kumpindua naye akaamua kujihami kwa kutoleana maneno makali na Mwl. Hiyo ndiyo ikawa mwanzo wa vita ya Tanzania na Uganda.

Lakini ikumbukwe pia baada ya vita kuanza kuna wanajeshi wa Uganda walimchukia Idd Amini na wakaamua kuiasi serikali na kusaidiana na majeshi ya Tanzania ili kumuondoa Idd Amini. Kitendo cha kuasi kwa wanajeshi wa Uganda kulisaidia Tanzania kumpiga Idd Amini kwa urahisi la sivyo ingechukua muda mrefu kumuondoa Idd Amini. Ikumbukwe kuwa wananchi wa Uganda hawakufurahishwa na utawala wa Idd Amini na ndiyo maana uasi ukatokea.

Pia ikumbukwe kuwa vita hiyo isingeweza kutokea kama Mwl asingetaka kumsaidia Obote. Ikumbukwe kuwa Idd Amini alimpindua Obote mwaka 1972 hivi na yeye akaondolewa 1979. Nasikitika kwa kuwa historia ya vita hii inapindishwa sana na kuonekana kuwa eti Idd Amini alitaka kuchukua ardhi yetu. wakati chanzo ni sisi watanzania wenyewe.

Tafadhali sikusema haya kwa kuwa namchukia Mwl ila naeleza kile ninachokifahamu.

R.I.P Mwl. Nyerere

Either unajaribu kupotosha historia au wewe unajua historia iliyopotoshwa. Kwanza, Idd Amin alifanya mapinduzi mwaka 1971 na si 1972 kama ulivyoonesha. Pili, Idd Amin ndiye aliyeanza ukorofi kisa sisi nchi huru yenye sera ya umajumui wa Afrika tuliamua kumpokea rais halali wa Uganda aliyepinduliwa na kumpa hifadhi tungali tunamtambua kama mkuu wa nchi. Idd alichukia na kuanza yeye mwenyewe kujihami kwa kuogopa kivuli chake na mgogoro ndio ukaanza mpaka pale tuliposaini makubaliano ya Mogadishu 1972 ambapo pamoja na Tanzania kuheshimu makubaliano na kutumia njia za kidiplomasia yeye Amin alianza kutekeleza sera za Hitler kwa kujijenga kijeshi. Kwa kitendo hicho alikuwa anapanda mbegu iliyomg'oa madarakani na wala si Tanzania, udhalimu ulimng'oa Amin.
 
Kama hujui si uulize au ukae kimya tu ndugu!? Nashangaa eti unajiita "mtanzania"!!

Wewe kwa kumuonesha kakosea, unatakiwa umuelekeze ukweli ni upi ili kama anakosea ajue wapi anaksea na si kuleta kukariri kwako,

Haya funguka sasa japo page moja tu ili nasi tupate faida kwa niaba yake
 
Ndug wana JF mimi kama mtanzania kwa elimu niliyoipata na uchunguzi wangu wa kina nimegundua yafuatayo kuhusu vita ya Tanzania na Uganda na ningependa wale wasiojua wayafahamu haya;-

R.I.P Mwl. Nyerere
kweli umenichekesha hapo kwenye RED halafu ndo ukaja na hiki?
utapiga punyeto mpaka ukome maana ungekuwa na demu asingekuruhusu kusoma halafu ufanye uchunguzi halafu uje na topic hii! uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!
 
Wewe kwa kumuonesha kakosea, unatakiwa umuelekeze ukweli ni upi ili kama anakosea ajue wapi anaksea na si kuleta kukariri kwako,

Haya funguka sasa japo page moja tu ili nasi tupate faida kwa niaba yake
huyo kakosea kwanzia elimu aliyochukua mpaka research alizofanya sasa sijui tuanze wapi!
 
Kavurugwa huyo, eti Idd Amini alimpindua Obote mwaka 1972 na yeye akaondolewa 1979, miaka yote hiyo Mwl. amekaa tu bila kumhelp rafiki yake???? rudia historia kwa makini K- Boko kama kweli ni MTZEE

Sikuelewi!
 
Wewe kwa kumuonesha kakosea, unatakiwa umuelekeze ukweli ni upi ili kama anakosea ajue wapi anaksea na si kuleta kukariri kwako,

Haya funguka sasa japo page moja tu ili nasi tupate faida kwa niaba yake

"...na si kuleta kukariri kwako"--kutokana na kipande hicho hustahili hata kupewa "faida"!
 
Ndug wana JF mimi kama mtanzania kwa elimu niliyoipata na uchunguzi wangu wa kina nimegundua yafuatayo kuhusu vita ya Tanzania na Uganda na ningependa wale wasiojua wayafahamu haya;-

Mara baada ya rais Obote kupinduliwa alikimbilia Tanzania ili apate hifadhi kutokana na urafiki mkubwa kati ya Nyerere na Obote. Mara baada ya kupata hifadhi hapa Tanzania inasemekana kuwa Mwl hakumpenda Idd Amini na kuamua kumsaidia Obote kurudi kwenye kiti chake.

Baada ya Idd Amini kuona vile akatangaza mgogoro na nchi yetu kwa kuwa tulikuwa tunataka kumpindua naye akaamua kujihami kwa kutoleana maneno makali na Mwl. Hiyo ndiyo ikawa mwanzo wa vita ya Tanzania na Uganda.

Lakini ikumbukwe pia baada ya vita kuanza kuna wanajeshi wa Uganda walimchukia Idd Amini na wakaamua kuiasi serikali na kusaidiana na majeshi ya Tanzania ili kumuondoa Idd Amini. Kitendo cha kuasi kwa wanajeshi wa Uganda kulisaidia Tanzania kumpiga Idd Amini kwa urahisi la sivyo ingechukua muda mrefu kumuondoa Idd Amini. Ikumbukwe kuwa wananchi wa Uganda hawakufurahishwa na utawala wa Idd Amini na ndiyo maana uasi ukatokea.

Pia ikumbukwe kuwa vita hiyo isingeweza kutokea kama Mwl asingetaka kumsaidia Obote. Ikumbukwe kuwa Idd Amini alimpindua Obote mwaka 1972 hivi na yeye akaondolewa 1979. Nasikitika kwa kuwa historia ya vita hii inapindishwa sana na kuonekana kuwa eti Idd Amini alitaka kuchukua ardhi yetu. wakati chanzo ni sisi watanzania wenyewe.

Tafadhali sikusema haya kwa kuwa namchukia Mwl ila naeleza kile ninachokifahamu.

R.I.P Mwl. Nyerere

Na mimi nimeshawahi ambiwa habari hii pia.Sijui ukweli hasa ni upi juu ya chanzo cha vita vya Uganda.
 
Ndug wana JF mimi kama mtanzania kwa elimu niliyoipata na uchunguzi wangu wa kina nimegundua yafuatayo kuhusu vita ya Tanzania na Uganda na ningependa wale wasiojua wayafahamu haya;-

Mara baada ya rais Obote kupinduliwa alikimbilia Tanzania ili apate hifadhi kutokana na urafiki mkubwa kati ya Nyerere na Obote. Mara baada ya kupata hifadhi hapa Tanzania inasemekana kuwa Mwl hakumpenda Idd Amini na kuamua kumsaidia Obote kurudi kwenye kiti chake.

Baada ya Idd Amini kuona vile akatangaza mgogoro na nchi yetu kwa kuwa tulikuwa tunataka kumpindua naye akaamua kujihami kwa kutoleana maneno makali na Mwl. Hiyo ndiyo ikawa mwanzo wa vita ya Tanzania na Uganda.

Lakini ikumbukwe pia baada ya vita kuanza kuna wanajeshi wa Uganda walimchukia Idd Amini na wakaamua kuiasi serikali na kusaidiana na majeshi ya Tanzania ili kumuondoa Idd Amini. Kitendo cha kuasi kwa wanajeshi wa Uganda kulisaidia Tanzania kumpiga Idd Amini kwa urahisi la sivyo ingechukua muda mrefu kumuondoa Idd Amini. Ikumbukwe kuwa wananchi wa Uganda hawakufurahishwa na utawala wa Idd Amini na ndiyo maana uasi ukatokea.

Pia ikumbukwe kuwa vita hiyo isingeweza kutokea kama Mwl asingetaka kumsaidia Obote. Ikumbukwe kuwa Idd Amini alimpindua Obote mwaka 1972 hivi na yeye akaondolewa 1979. Nasikitika kwa kuwa historia ya vita hii inapindishwa sana na kuonekana kuwa eti Idd Amini alitaka kuchukua ardhi yetu. wakati chanzo ni sisi watanzania wenyewe.

Tafadhali sikusema haya kwa kuwa namchukia Mwl ila naeleza kile ninachokifahamu.

R.I.P Mwl. Nyerere

utakuwa mtoto mchanga sana kiumri na pia kimawazo!
 
Back
Top Bottom