Tanzania ndiyo iliyosababisha vita na Uganda 1978/79

Tanzania ndiyo iliyosababisha vita na Uganda 1978/79

"...na si kuleta kukariri kwako"--kutokana na kipande hicho hustahili hata kupewa "faida"!

Mleta uzi kajitahidi sana kuleta kile anachokiamini na kazi yetu sisi ilikuwa kumkatalia kwa maandiko na si porojo zako za kwenye Mbege,
Huna dalili kaa kimya kama unakiherehere sana yape macho yako haki ya kusoma na kupita na usiipe mikono/vidole vyako uhuru usio kuwa na nidhamu matokeo yake ukaonekana kama hivi sasa unajaza UHARO wako hapa.

Kopo la ngapi hilo hapo mkononi mwako..?
Uishazoea kushinda na kiti moto+mbege+maneno ya mbege= AKILI ZA KUSHIKIWA.
 
huyo kakosea kwanzia elimu aliyochukua mpaka research alizofanya sasa sijui tuanze wapi!

Anzia kwa nini mtu akitoa mawazo yako akiwa nje ya chadema hata kama ni mazuri na yana maslahi anaonekana hafai na hayohayo mawazo akiyatoa akiwa ndani ya chadema anaonekana kafanya jambo zuri sana na akiyoafautiana na mtizamo wa chama hapo hapo anaonekana tena hafai/msaliti?

Mfano huyu swaibaako hapa
Au unashusha na hii kitu huku ukitapika humu?
View attachment 123996
 
Laiti ningekuwa Mod kabla sijafuta huuzi kwanza ningekupa Ban kisha nafuta uzi.
 
ndug wana jf mimi kama mtanzania kwa elimu niliyoipata na uchunguzi wangu wa kina nimegundua yafuatayo kuhusu vita ya tanzania na uganda na ningependa wale wasiojua wayafahamu haya;-

mara baada ya rais obote kupinduliwa alikimbilia tanzania ili apate hifadhi kutokana na urafiki mkubwa kati ya nyerere na obote. Mara baada ya kupata hifadhi hapa tanzania inasemekana kuwa mwl hakumpenda idd amini na kuamua kumsaidia obote kurudi kwenye kiti chake.

Baada ya idd amini kuona vile akatangaza mgogoro na nchi yetu kwa kuwa tulikuwa tunataka kumpindua naye akaamua kujihami kwa kutoleana maneno makali na mwl. Hiyo ndiyo ikawa mwanzo wa vita ya tanzania na uganda.

Lakini ikumbukwe pia baada ya vita kuanza kuna wanajeshi wa uganda walimchukia idd amini na wakaamua kuiasi serikali na kusaidiana na majeshi ya tanzania ili kumuondoa idd amini. Kitendo cha kuasi kwa wanajeshi wa uganda kulisaidia tanzania kumpiga idd amini kwa urahisi la sivyo ingechukua muda mrefu kumuondoa idd amini. Ikumbukwe kuwa wananchi wa uganda hawakufurahishwa na utawala wa idd amini na ndiyo maana uasi ukatokea.

Pia ikumbukwe kuwa vita hiyo isingeweza kutokea kama mwl asingetaka kumsaidia obote. Ikumbukwe kuwa idd amini alimpindua obote mwaka 1972 hivi na yeye akaondolewa 1979. Nasikitika kwa kuwa historia ya vita hii inapindishwa sana na kuonekana kuwa eti idd amini alitaka kuchukua ardhi yetu. Wakati chanzo ni sisi watanzania wenyewe.

Tafadhali sikusema haya kwa kuwa namchukia mwl ila naeleza kile ninachokifahamu.

R.i.p mwl. Nyerere

sina hakika kama una umri wa kutosha kiasi unataka kushawishi watu kuwa unamjua idiamin. Naomba utoe umri wako tujue kama wewe unadiscuss hii from which premises ; kwa kusimuliwa au kwa kushuhudia kilichotokea
 
Anzia kwa nini mtu akitoa mawazo yako akiwa nje ya chadema hata kama ni mazuri na yana maslahi anaonekana hafai na hayohayo mawazo akiyatoa akiwa ndani ya chadema anaonekana kafanya jambo zuri sana na akiyoafautiana na mtizamo wa chama hapo hapo anaonekana tena hafai/msaliti?

Mfano huyu swaibaako hapa
Au unashusha na hii kitu huku ukitapika humu?
View attachment 123996
itakuwa na wewe umesoma chuo kimoja na huyu jamaa! ni chuo gani?
 
itakuwa na wewe umesoma chuo kimoja na huyu jamaa! ni chuo gani?

Hivi anaitwa nani vile na yupo chama gani?

Chuo alichosoma itabidi tuwaulize wanachama wenzake ambao akili zao kama zake maana level zao zinafanana na wewe pia tupe msaada maana nadhani ni katika huyo, usitupe tabu juu ya hilo jambo dogo.
 
Usituchanganye akili. Kila mwana historia anajua Idi Amini aliingiaje madarakani (Ikulu). Alipindua serikali halali iliyokuwa inaongozwa na Raisi Milton Obote. Obote alikuja kuishi uhamishoni hapa Tanzania. Kitendo cha Obote kupokelewa hapa Tanzania kilisababisha Amini ajenge chuki na nchi ya Tanzania hususani Rais Nyerere, wakati wote wa utawala wake choko choko aidha za maneno au vitendo ziliendelea kuashiria kuwa hakuna maelewano kati ya hawa viongozi wawili. Mwisho wa yote, Amini alipojihakikishia kuwa ana uwezo mkubwa wa kijeshi, ALIVAMIA KIJESHI NA KUCHUKUWA SEHEMU YA ARDHI YA TANZANIA MKOANI KAGERA. Alitangaza kuwa hiyo ardhi imekuwa sehemu ya nchi ya Uganda. Ukweli ni kwamba tofauti zilikuwepo lakini NEITHER MWALIMU NO OUR TPDF SOLDIERS PUT THEIR NOSES INTO THE LAND OF UGANDA. Ulitegemea Tanzania ikae kimya? Kama hangevamia ardhi yetu ulitegemeaMwalimu angevamia ardhi ya Uganda.
 
Hivi anaitwa nani vile na yupo chama gani?

Chuo alichosoma itabidi tuwaulize wanachama wenzake ambao akili zao kama zake maana level zao zinafanana na wewe pia tupe msaada maana nadhani ni katika huyo, usitupe tabu juu ya hilo jambo dogo.
[JFMP3][/JFMP3]unamaneno mengi kwani we ni mwalimu?
 
Wewe kwa kumuonesha kakosea, unatakiwa umuelekeze ukweli ni upi ili kama anakosea ajue wapi anaksea na si kuleta kukariri kwako,

Haya funguka sasa japo page moja tu ili nasi tupate faida kwa niaba yake

Na hili ndio tatizo lililofanya hili jukwaa kukosa mashiko kwa sababu ya washabiki wachache wana kuja wanajifanya wanajua kukosoa bila kusahihisha mambo! Ye badala ya kuelezea anachojua, anaishia kumdhalilisha mtoa mada. Wapo wengi sana humu na kila siku wanazidi kukera
 
Tanzania tunamizigo ming huu nao pia n mzigo wetu,ctaku kujua kuwango chako cha elimu ukchonacho wala umri,kikubwa nkushaur tuuu ufanyye kuhakiki uraia wako make hatuna vitasa kma ww ktk taifa hiki Tukufu
 
Na hili ndio tatizo lililofanya hili jukwaa kukosa mashiko kwa sababu ya washabiki wachache wana kuja wanajifanya wanajua kukosoa bila kusahihisha mambo! Ye badala ya kuelezea anachojua, anaishia kumdhalilisha mtoa mada. Wapo wengi sana humu na kila siku wanazidi kukera

Wasikupe tabu sana wapo kazini, huo ni mfumo wa wenye kuambiwa bila kuongeza na za kwao kaka
 
Mwanawafunzi wangu hiyo home work itakuchukua muda gani au bado wauliza kwenye mbege?
Kama umeuingia mwitu bila kujua nami nakukurupua humu kama nguchiro hadi upoteze uelekeo ili siku nyengie usiparamieparamie,

Haya njoo tena nikurahisishie, sikupi mkasi ila ntakukata na ndipo nikubrashi,
 
Mwanawafunzi wangu hiyo home work itakuchukua muda gani au bado wauliza kwenye mbege?
Kama umeuingia mwitu bila kujua nami nakukurupua humu kama nguchiro hadi upoteze uelekeo ili siku nyengie usiparamieparamie,

Haya njoo tena nikurahisishie, sikupi mkasi ila ntakukata na ndipo nikubrashi,
Mkuu wabara

Nakusoma unavyotoa darsa.
 
Last edited by a moderator:
Sasa na wewe mbona unatuchanganya, mara Mwl Nyerere alianzisha vita kwa chuki zake na Idd Amin, mara wananchi wengi wa uganda hawakumpenda Idd amin na ndiyo maana tulishinda vita kirahisi, mara jeshi lake lili asi mbona hueleweki, hapa ni nyerere au ni out comes za ubaya wa Amin ndizo zilizopelekea kupinduliwa na watanzania walitumika kama wakombozi wa waganda, soma historia na uielewe vizuri ndo utoe argument tafadhal!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom