Tanzania ndiyo iliyosababisha vita na Uganda 1978/79

"...na si kuleta kukariri kwako"--kutokana na kipande hicho hustahili hata kupewa "faida"!

Mleta uzi kajitahidi sana kuleta kile anachokiamini na kazi yetu sisi ilikuwa kumkatalia kwa maandiko na si porojo zako za kwenye Mbege,
Huna dalili kaa kimya kama unakiherehere sana yape macho yako haki ya kusoma na kupita na usiipe mikono/vidole vyako uhuru usio kuwa na nidhamu matokeo yake ukaonekana kama hivi sasa unajaza UHARO wako hapa.

Kopo la ngapi hilo hapo mkononi mwako..?
Uishazoea kushinda na kiti moto+mbege+maneno ya mbege= AKILI ZA KUSHIKIWA.
 
huyo kakosea kwanzia elimu aliyochukua mpaka research alizofanya sasa sijui tuanze wapi!

Anzia kwa nini mtu akitoa mawazo yako akiwa nje ya chadema hata kama ni mazuri na yana maslahi anaonekana hafai na hayohayo mawazo akiyatoa akiwa ndani ya chadema anaonekana kafanya jambo zuri sana na akiyoafautiana na mtizamo wa chama hapo hapo anaonekana tena hafai/msaliti?

Mfano huyu swaibaako hapa
Au unashusha na hii kitu huku ukitapika humu?
View attachment 123996
 
Laiti ningekuwa Mod kabla sijafuta huuzi kwanza ningekupa Ban kisha nafuta uzi.
 

sina hakika kama una umri wa kutosha kiasi unataka kushawishi watu kuwa unamjua idiamin. Naomba utoe umri wako tujue kama wewe unadiscuss hii from which premises ; kwa kusimuliwa au kwa kushuhudia kilichotokea
 
itakuwa na wewe umesoma chuo kimoja na huyu jamaa! ni chuo gani?
 
itakuwa na wewe umesoma chuo kimoja na huyu jamaa! ni chuo gani?

Hivi anaitwa nani vile na yupo chama gani?

Chuo alichosoma itabidi tuwaulize wanachama wenzake ambao akili zao kama zake maana level zao zinafanana na wewe pia tupe msaada maana nadhani ni katika huyo, usitupe tabu juu ya hilo jambo dogo.
 
Usituchanganye akili. Kila mwana historia anajua Idi Amini aliingiaje madarakani (Ikulu). Alipindua serikali halali iliyokuwa inaongozwa na Raisi Milton Obote. Obote alikuja kuishi uhamishoni hapa Tanzania. Kitendo cha Obote kupokelewa hapa Tanzania kilisababisha Amini ajenge chuki na nchi ya Tanzania hususani Rais Nyerere, wakati wote wa utawala wake choko choko aidha za maneno au vitendo ziliendelea kuashiria kuwa hakuna maelewano kati ya hawa viongozi wawili. Mwisho wa yote, Amini alipojihakikishia kuwa ana uwezo mkubwa wa kijeshi, ALIVAMIA KIJESHI NA KUCHUKUWA SEHEMU YA ARDHI YA TANZANIA MKOANI KAGERA. Alitangaza kuwa hiyo ardhi imekuwa sehemu ya nchi ya Uganda. Ukweli ni kwamba tofauti zilikuwepo lakini NEITHER MWALIMU NO OUR TPDF SOLDIERS PUT THEIR NOSES INTO THE LAND OF UGANDA. Ulitegemea Tanzania ikae kimya? Kama hangevamia ardhi yetu ulitegemeaMwalimu angevamia ardhi ya Uganda.
 
Hivi anaitwa nani vile na yupo chama gani?

Chuo alichosoma itabidi tuwaulize wanachama wenzake ambao akili zao kama zake maana level zao zinafanana na wewe pia tupe msaada maana nadhani ni katika huyo, usitupe tabu juu ya hilo jambo dogo.
[JFMP3][/JFMP3]unamaneno mengi kwani we ni mwalimu?
 
Wewe kwa kumuonesha kakosea, unatakiwa umuelekeze ukweli ni upi ili kama anakosea ajue wapi anaksea na si kuleta kukariri kwako,

Haya funguka sasa japo page moja tu ili nasi tupate faida kwa niaba yake

Na hili ndio tatizo lililofanya hili jukwaa kukosa mashiko kwa sababu ya washabiki wachache wana kuja wanajifanya wanajua kukosoa bila kusahihisha mambo! Ye badala ya kuelezea anachojua, anaishia kumdhalilisha mtoa mada. Wapo wengi sana humu na kila siku wanazidi kukera
 
Tanzania tunamizigo ming huu nao pia n mzigo wetu,ctaku kujua kuwango chako cha elimu ukchonacho wala umri,kikubwa nkushaur tuuu ufanyye kuhakiki uraia wako make hatuna vitasa kma ww ktk taifa hiki Tukufu
 

Wasikupe tabu sana wapo kazini, huo ni mfumo wa wenye kuambiwa bila kuongeza na za kwao kaka
 
Mwanawafunzi wangu hiyo home work itakuchukua muda gani au bado wauliza kwenye mbege?
Kama umeuingia mwitu bila kujua nami nakukurupua humu kama nguchiro hadi upoteze uelekeo ili siku nyengie usiparamieparamie,

Haya njoo tena nikurahisishie, sikupi mkasi ila ntakukata na ndipo nikubrashi,
 
Mkuu wabara

Nakusoma unavyotoa darsa.
 
Last edited by a moderator:
Sasa na wewe mbona unatuchanganya, mara Mwl Nyerere alianzisha vita kwa chuki zake na Idd Amin, mara wananchi wengi wa uganda hawakumpenda Idd amin na ndiyo maana tulishinda vita kirahisi, mara jeshi lake lili asi mbona hueleweki, hapa ni nyerere au ni out comes za ubaya wa Amin ndizo zilizopelekea kupinduliwa na watanzania walitumika kama wakombozi wa waganda, soma historia na uielewe vizuri ndo utoe argument tafadhal!!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…