Tanzania ndiyo ingekuwa Norway tungekufa tunajiona

Tanzania ndiyo ingekuwa Norway tungekufa tunajiona

chizcom

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
8,680
Reaction score
18,035
kuna nchi japo na ufinyu wao wa rasilimali kama ardhi ila wanatumia walicho nacho kwa akili zao wote. Nchi ya norway kuna season inakumbwa na giza saa 24 yani hujui usiku wala mchana na muda mwingine jua linawaka usiku sio mchana.

Baridi ni kali sana ila wanajitahidi nchi yao kufika mbali. Ingekuwa ndio Tanzania ipo Norway ingekuwaje?

norway-europe-map.jpg
 
kuna nchi japo na ufinyu wao wa rasilimali kama ardhi ila wanatumia walicho nacho kwa akili zao wote. Nchi ya norway kuna season inakumbwa na giza masaa...
Watu wangepata muda wa kukaa club zaidi na kwenye mapub.

Huku kwetu Polisi wanasumbuwa watu wanaokunywa pombe mchana kwenye pub zetu, Sasa ingekuwa muda wote ni usiku safi kabisa.
 
kuna nchi japo na ufinyu wao wa rasilimali kama ardhi ila wanatumia walicho nacho kwa akili zao wote. Nchi ya norway kuna season inakumbwa na giza masaa 24 yani ujui usiku wala mchana na mda mwengine juwa linawaka usiku sio mchana.

Baridi ni kali sana ila wanajitaidi nchi yao kufika mbali. Ingekuwa ndio Tanzania hipo Norway ingekuwaje?

View attachment 2483143
Ni aibu sana kusaidiwa na nchi za scandnavia kwa jinsi zisivyokuwa na rasilimali muhimu.
Kwa wale tulifika hizo nchi za Norway, Denmark na Sweeden watanielewa
 
Huenda tungekuwa mbali sana, hayo masaa machache ambayo yangekuwa mchana tungekuwa tunayatumia vizuri
Hiyo hali ya winter, usiku yaani giza kuchukua sehemu kubwa au yote ya 24 hrs. Haiathiri chochote katika shughuli za ki binadamu, kwani kazini mnaenda kama kawaida kama unafanya kazi masaa 8 ni hayo hayo. Let say umeingia kazini saa 2 asubuhi wakati ni giza na unatoka 10 jioni giza likiwa palepale. Kinachofuatwa ni saa yako ya mkononi au simu si mwanga wa jua. Jamaa a naona ajabu ya Norway je angeeda Iceland angesemaje?
 
Back
Top Bottom