Tanzania ndiyo ingekuwa Norway tungekufa tunajiona

Tanzania ndiyo ingekuwa Norway tungekufa tunajiona

Hiyo hali ya winter, usiku yaani giza kuchukua sehemu kubwa au yote ya 24 hrs. Haiathiri chochote katika shughuli za ki binadamu, kwani kazini mnaenda kama kawaida kama unafanya kazi masaa 8 ni hayo hayo. Let say umeingia kazini saa 2 asubuhi wakati ni giza na unatoka 10 jioni giza likiwa palepale. Kinachofuatwa ni saa yako ya mkononi au simu si mwanga wa jua. Jamaa a naona ajabu ya Norway je angeeda Iceland angesemaje?
Iceland kwenye vibwengo😀
 
Sio kwamba mazingira ndio yame shape akili zetu?
Naam mazingira yanachangia.
Hata pata Tanzania linganisha raia wa pwani Tanga to Mtwana, sehemu kame kama Dom, Singida, Tabora, Shinyanga.
Na mikoa ya baridi nyada za juu kusini, kasikazini na Kagera.
Ukituliza akili utajifunza kitu
 
Naam mazingira yanachangia.
Hata pata Tanzania linganisha raia wa pwani Tanga to Mtwana, sehemu kame kama Dom, Singida, Tabora, Shinyanga.
Na mikoa ya baridi nyada za juu kusini, kasikazini na Kagera.
Ukituliza akili utajifunza kitu
Hapo umeniacha mkuu, mi nadhani hiyo mikoa ya ukanda wa pwani tofauti zake na mikoa ya bara ni kutokana na utamaduni uliosababishwa na Imani za kidini
 
Hapo umeniacha mkuu, mi nadhani hiyo mikoa ya ukanda wa pwani tofauti zake na mikoa ya bara ni kutokana na utamaduni uliosababishwa na Imani za kidini
Sio tu utamaduni bali pwani yote ni wavivu, akili ndogo sana na maendeleo duni....linganisha na mikoa ya baridi then nipe jibu
 
Norway ina ufinyu wa rasilimali? Norway ni moja kati ya nchi yenye gas reserve kubwa Duniani, hakuna nchi yq Kiafrika inayoifikia Norway kwa utajiri wa rasilimali!
 
Back
Top Bottom