NordicUnaweza kukuta hiyo Norway inatoa misaada kwa baadhi ya nchi.
Watu wangepata muda wa kukaa club zaidi na kwenye mapub.kuna nchi japo na ufinyu wao wa rasilimali kama ardhi ila wanatumia walicho nacho kwa akili zao wote. Nchi ya norway kuna season inakumbwa na giza masaa...
Wanashirika lao linaitwa norwigean church aidsUnaweza kukuta hiyo Norway inatoa misaada kwa baadhi ya nchi.
Office zao ziko wapi kwa Dar Es SalaamWanashirika lao linaitwa norwigean church aids
Hazungumzii tu effects of weather, anazungumzia pia jinsi nchi yetu tulivo wavivu, licha ya changamoto walizonazo huko lakini wameendeleaTunge cope na situation jiulize unaendaga sehemu ngapi ambapo ujazoea mazingira hila ukifika una cope ndicho kingetokea kwetu
Ni aibu sana kusaidiwa na nchi za scandnavia kwa jinsi zisivyokuwa na rasilimali muhimu.kuna nchi japo na ufinyu wao wa rasilimali kama ardhi ila wanatumia walicho nacho kwa akili zao wote. Nchi ya norway kuna season inakumbwa na giza masaa 24 yani ujui usiku wala mchana na mda mwengine juwa linawaka usiku sio mchana.
Baridi ni kali sana ila wanajitaidi nchi yao kufika mbali. Ingekuwa ndio Tanzania hipo Norway ingekuwaje?
View attachment 2483143
Hiyo hali ya winter, usiku yaani giza kuchukua sehemu kubwa au yote ya 24 hrs. Haiathiri chochote katika shughuli za ki binadamu, kwani kazini mnaenda kama kawaida kama unafanya kazi masaa 8 ni hayo hayo. Let say umeingia kazini saa 2 asubuhi wakati ni giza na unatoka 10 jioni giza likiwa palepale. Kinachofuatwa ni saa yako ya mkononi au simu si mwanga wa jua. Jamaa a naona ajabu ya Norway je angeeda Iceland angesemaje?Huenda tungekuwa mbali sana, hayo masaa machache ambayo yangekuwa mchana tungekuwa tunayatumia vizuri
Na martin ødegaardKwa kina haaland huko
Sio kwamba mazingira ndio yame shape akili zetu?Mungu alijua jinsi ya kuumba watu kutokana na mazingira, hata akili alizotupa ametupatia kutokana na mazingira
Norwegian refugee council(NRC)Unaweza kukuta hiyo Norway inatoa misaada kwa baadhi ya nchi.