Hii ni nchi ya ajabu sana. Unamaliza mpaka chuo kikuu lakini siku ya interview wanakwambia hawakujui eti kisa ulipoteza vyeti tu hata kama viliungua moto ndani.
Nchi ya maajabu sana. Hata IT Tanzania haifanyi kazi kabisa.
Hii niyo nchi ya vi wonder kama alivyosema JPM
Nchi ya maajabu sana. Hata IT Tanzania haifanyi kazi kabisa.
Hii niyo nchi ya vi wonder kama alivyosema JPM